Ni ukosefu wa fikra tu kudhani kuna mtu bora kuliko wengine.
Daah!!!! Kweli usemayo? Yule Mwamba angefufuka leo akasikia hili Daah!!!!! Wahenga walikuwa sahihi "Baniani Mbaya Kiatu Chake dawa", Lile Kundi mlilolibatiza Sukuma Gang njooni Mjibu mapigo. The late King is being dishonored ...