Hivi Boban Aliomba Radhi?

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,141
13,215
DSC00012.JPG
Dah soka la bongo ni ubabaishaji tu...............
 
Hv mchezaji atakiwi kunywa kirobo??mara ngpi tumesikia wachezaji wa ulaya wamekutwa nyt clubs ama kulala na makahaba?tunajhic kulishanga soko la bongo bila kujua kua soka la bongo linatushangaa sisi!
 
Toka 5,000$ hadi 700$....na wenzake sasa wanalipwa 20,000$!!!bangi na shule muhimu sana walahi tena!ataishia kuwa marioo tuu acha aje atemwe Simba ataenda team ndogo ndogo kama Kagera Sugar,Moro United mara ataanza ndondo mwishoni ataendesha boda boda au ataanza kunyonga bangi aishie jela!
 
Hv mchezaji atakiwi kunywa kirobo??mara ngpi tumesikia wachezaji wa ulaya wamekutwa nyt clubs ama kulala na makahaba?tunajhic kulishanga soko la bongo bila kujua kua soka la bongo linatushangaa sisi!
hata hapo kwako hakuna mahali panapoonesha viroba
 
Toka 5,000$ hadi 700$....na wenzake sasa wanalipwa 20,000$!!!bangi na shule muhimu sana walahi tena!ataishia kuwa marioo tuu acha aje atemwe Simba ataenda team ndogo ndogo kama Kagera Sugar,Moro United mara ataanza ndondo mwishoni ataendesha boda boda au ataanza kunyonga bangi aishie jela!
naona Ngassa hajaambulia somo hapo
 
maximo alipo mfukuza stars mlimwona maximo hafai semeni sasa huyo ni kunguru hafugiki
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom