Hivi biashara ya mayai ya kware iliishia wapi jamani?

Hata kinguru wa zanZibar wakitangaza wanaongeza nguvi za kiume wataisha wote
 
isije wakaibua mkojo wa kuku au jasho la kunguru. nchi iliyolelewa kwa ushirikia ina mambo aisee.
Jasiri asahau Asili! Ushirikina ndio asili yetu mkuu. Mengine yote wametuletea wazungu!
 
Kikombe cha yule babu TAPELI ,aliye waingiza KING hata WATAALAM, WAJUZI WA MAMBO WALIOBOBEA, UMESHA SAHAU????

Eh kweli hata phd wetu yohane alikwenda kunywa
031c39aa534b56a15d99ad727a88c503.jpg
 
Ufugaji wa mbuzi wa maziwa, ufugaji wa sungura, kilimo cha Uyoga na kilimo cha matikiti maji
Vyote vilikuja kama upepo na kuondoka kama upepo
Ila bora hata hivi ulivyovitaja utaweza kula mwenyewe kama umefanya kwa kiasi na si biashara kubwa
 
Hii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu hasa kukihusisha na nguvu za kiume kinapata soko sana. Akiibuka mtu leo na kusema mayai ya nyoka yanaongeza nguvu za kiume msako mkali utaanza kutafuta mayai ya nyoka popote mashimoni na mapangoni na ukitaka watu waanze kufuga nyoka tangaza kuwa mayai yake yanaleta nguvu za kiume
NAKUMBUKA MTAJI KAMA LAKI SABA ULIKUFA.
 
Waliyapa promo sana hayo mayai ni booster Mara 3 zaidi ya mchuzi wa pweza.....watu wameyala mpaka basi lakini holaaa! Jogoo hapandi mtungi kikamilifu na raundi moja ikimalizika mtu anahema kama punda..watu washarudi zao kwenye michuzi ya pweza
 
Bro Tulimumu utashangaa sanaaaa!!!!! je umesahau kikombe cha "BABU" vipi kuhusu mihogo mibichi na karanga,vipi kuhusu etc etc!!! wengi wetu wamekuwa watu wa kufuata mkombo tuuuuu!!.Hivi sasa ni kumuunga mkono mtukufu ndio ina trend, chambilecho"Hili nalo litapita"
 
Back
Top Bottom