:angry:WANAJAMII kipi hasa ni cheo cha Babu?
1. aITWE nabii? mtume? Mchungaji? Tabibu? mganga? mnajimu?
2. Musa alikuwahi kukutana wa wachawi MISRI wakamrushia nyoka wa kichawi naye mungu akamuamuru arushe fimbo ambayo ilizuka joka akawameza nyoka wote. Je dawa ya babu ni nyoka or joka na tutajuaje?
3. Babu kaoteshwa dawa na jinsi ya kuitumia, kila nikisikiza zaidi napata masharti mengi. Mfano ukiruka foleni huponi, ukipokea kikombe kwa mkono wa kushoto huponi, ukichemsha wewe huponi, na kadhalika,,, hivi babu kaoteshwa yote haya or mengine anaforce mwenyewe? // aliandika sehemu yote hayo or yaonesha usiku kucha hakulala?
4. Ikitokea siku moja dawa ya babu ikazaa deci or kibwetere type, hivi hatuonekani majuha kwa watu wanaotufuatilia? wajukuu zetu watatuonaje endapo itatudhuru hapo baadae?
5. kuna uhusiano gani kati ya kunywewa na watu wakubwa nchini na guarantee yakutokuwa na madhara ya muda mrefu?
6. Hivi babu anapata tena muda wa kusali jumapili or kapata deal? hivi anatozwa kodi (income tax? ), miti anayokata anapanda mingine(kata mti panda kumi)??
Mwenye kitabu cha hekaya za abunuwasi naomba kisa cha kuwauzia watu jivu akifanasha na sukari...
NALIOMBEA TAIFA LISIANGAMIZWE NA MAZINGAOMBWE!!!
1. aITWE nabii? mtume? Mchungaji? Tabibu? mganga? mnajimu?
2. Musa alikuwahi kukutana wa wachawi MISRI wakamrushia nyoka wa kichawi naye mungu akamuamuru arushe fimbo ambayo ilizuka joka akawameza nyoka wote. Je dawa ya babu ni nyoka or joka na tutajuaje?
3. Babu kaoteshwa dawa na jinsi ya kuitumia, kila nikisikiza zaidi napata masharti mengi. Mfano ukiruka foleni huponi, ukipokea kikombe kwa mkono wa kushoto huponi, ukichemsha wewe huponi, na kadhalika,,, hivi babu kaoteshwa yote haya or mengine anaforce mwenyewe? // aliandika sehemu yote hayo or yaonesha usiku kucha hakulala?
4. Ikitokea siku moja dawa ya babu ikazaa deci or kibwetere type, hivi hatuonekani majuha kwa watu wanaotufuatilia? wajukuu zetu watatuonaje endapo itatudhuru hapo baadae?
5. kuna uhusiano gani kati ya kunywewa na watu wakubwa nchini na guarantee yakutokuwa na madhara ya muda mrefu?
6. Hivi babu anapata tena muda wa kusali jumapili or kapata deal? hivi anatozwa kodi (income tax? ), miti anayokata anapanda mingine(kata mti panda kumi)??
Mwenye kitabu cha hekaya za abunuwasi naomba kisa cha kuwauzia watu jivu akifanasha na sukari...
NALIOMBEA TAIFA LISIANGAMIZWE NA MAZINGAOMBWE!!!