Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,911
- 5,979
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda amemfanyia dem wake suprise ya ku-doo!
hi kumkurupua dem wako ghafla bila kumtaarifu akavae ile Pichu mpya ndo inaleta haya majanga!
Waafrica resources zetu ni chache!
labda amemfanyia dem wake suprise ya ku-doo!
hi kumkurupua dem wako ghafla bila kumtaarifu akavae ile Pichu mpya ndo inaleta haya majanga!
Waafrica resources zetu ni chache!
Salaam wanaJF!
Niliwahi sikia kuwa ktk kila mwanamke mmoja kati ya watano ana tendency ya kuachia fluid (mkojo?) kidogo ktk pichu yake kiasi cha 1/2 kijiko kidogo cha chai pale anapofanya haya: kupiga chafya, kucheka, kukohoa, kufanya mazoezi ya viungo na kubeba vitu vizito.
Hivi ni kweli? If so, why 're women more prone to this? Why does this happen, and what can be done about it?
P'se drop your expert analysis and comments.
Hawa viumbe wako na complication mingi sana.
Hawa viumbe wako na complication mingi sana.
Salaam wanaJF!
Niliwahi sikia kuwa ktk kila mwanamke mmoja kati ya watano ana tendency ya kuachia fluid (mkojo?) kidogo ktk pichu yake kiasi cha 1/2 kijiko kidogo cha chai pale anapofanya haya: kupiga chafya, kucheka, kukohoa, kufanya mazoezi ya viungo na kubeba vitu vizito.
Hivi ni kweli? If so, why 're women more prone to this? Why does this happen, and what can be done about it?
P'se drop your expert analysis and comments.
Heshima mbele
wakuu, matatizo ya kulegea "breki" za mkojo ni tatizo linalowapata
kinamama ambao wajifungua kwa njia ya kawaida. Wakati kichwa kinaelekea
kutoka panapo kujifungua kinachana misuli iitwayo pelvic floor muscles.
Misuli hii inasaidiana na misuli maalumu ya kuziba njia ya mkojo kuzuia
mkojo kutoka ovyo. Ndio maana kinamama waliojifungua kawaida
wanashauriwa kufanya Kegel exercises kuweza kurudisha asilimia kadhaa ya
ufanyaji kazi wa misuli hiyo.
na atakuwa hatumiii condom huyu....
nakubaliana na wewe 100%Heshima mbele wakuu, matatizo ya kulegea "breki" za mkojo ni tatizo linalowapata kinamama ambao wajifungua kwa njia ya kawaida. Wakati kichwa kinaelekea kutoka panapo kujifungua kinachana misuli iitwayo pelvic floor muscles. Misuli hii inasaidiana na misuli maalumu ya kuziba njia ya mkojo kuzuia mkojo kutoka ovyo. Ndio maana kinamama waliojifungua kawaida wanashauriwa kufanya Kegel exercises kuweza kurudisha asilimia kadhaa ya ufanyaji kazi wa misuli hiyo.
nafikiri tungehitaji pia kutembea na nguo za kubadilisha maana wengine siku haziishi bila vicheko. muwe mnaangalia na mambo ya kuandika bana.