Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,917
- 6,002
Salaam wanaJF!
Niliwahi sikia kuwa ktk kila mwanamke mmoja kati ya watano ana tendency ya kuachia fluid (mkojo?) kidogo ktk pichu yake kiasi cha 1/2 kijiko kidogo cha chai pale anapofanya haya: kupiga chafya, kucheka, kukohoa, kufanya mazoezi ya viungo na kubeba vitu vizito.
Hivi ni kweli? If so, why 're women more prone to this? Why does this happen, and what can be done about it?
P'se drop your expert analysis and comments.
Niliwahi sikia kuwa ktk kila mwanamke mmoja kati ya watano ana tendency ya kuachia fluid (mkojo?) kidogo ktk pichu yake kiasi cha 1/2 kijiko kidogo cha chai pale anapofanya haya: kupiga chafya, kucheka, kukohoa, kufanya mazoezi ya viungo na kubeba vitu vizito.
Hivi ni kweli? If so, why 're women more prone to this? Why does this happen, and what can be done about it?
P'se drop your expert analysis and comments.