Mimi sionagi shida kwa wao kujiita chochote kwani hali add value yoyote kwenye makabila yao. Wote ni Watanzania kwa sasa msije tufukuzia South mwe.Huu uzi watu wa kaskazini hawachelewagi kujiita asili yao ni Ethiopia na Uyahudi.
Mimi sionagi shida kwa wao kujiita chochote kwani hali add value yoyote kwenye makabila yao. Wote ni Watanzania kwa sasa msije tufukuzia South mwe.Huu uzi watu wa kaskazini hawachelewagi kujiita asili yao ni Ethiopia na Uyahudi.
Hata Kenya kuna watu wana majina ya koo za kichaga hii ni fact sababu nimewaona na kuishi nao MkuuMsisahau Kenya Pia kuna wameru, tena wanafanana exactly na wameru wa Tz, hadi kafudhi, culture na Lugha kwa kiasi, pia asili yao ni milimani, na pia ni kabila dogo huku but lina ushawishi. Wameru wa huku pia hata akija Tanzania akasema ni mchaga hakuna mtu atakataa kwa muonekano ni wachaga kabisa, maybe lugha itawatofautisha.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Na wale wa upande wa Kenya pia asili yao ni milima ya Usambara?Wameru asili yao Ni tanga kwa wasambaa
Hawa ni wabantu. Nilotes ni Maasai, Wadatooga (Wabarbaig), Wataturu, Dinker (Sudan), Karamanjong (Kenya), kalenjin (Kenya) n.k.Wameru na wachagga ni niĺotes toka Ethiopia,ni warembo na wasomï wasio yumbishwa
Hamna Mmeru URASSA au MASAWEAcha ujinga kama jambo hulijui ni vyema ukauliza na kuambiwa na wajuzi wa jambo lenyewe.Kimeru ni kimachame 100%.Tena baadhi ya koo zipo kote kote eg Urio,Urassa,Massawe.....
kabisa. Wairaqw ni Wakushi ambao asili yao ni Ethiopia.Ethiopia na Wairaq au Wambulu...hawa hata ukiwaona sidhani kama utakua na haja ya kuleta ubishani.
Kimuonekano na lugha yao itakufanya tu utafakari asili yao.
WADATOGA hawa jamaa ni harari sana, wanaishi na wahazabe hapa lake Eyasi, ni wazuri sana na damu yao ni moto.Hawa ni wabantu. Nilotes ni Maasai, Wadatooga (Wabarbaig), Wataturu, Dinker (Sudan), Karamanjong (Kenya), kalenjin (Kenya) n.k.
Ila asili yao inaweza kuwa Mlima Meru ya Kenya. Siyo Usambara Mountain.
Baada ya kuchoshwa na matukio ya awamu ya tano ngoja leo tujifunze kidogo kuhusu kabila la Wameru
Mpaka sasa hivi haswa sijafahamu asili ya hawa jamaa wengine wanadai ni machame but wa karibu zaidi na Wameru ni Waarusha na Wamasai kwa Magharibi na jamii ya wasiha kwa Mashariki
Maswali yangu ni haya:
1. Ilikuaje wakafika Arusha wakahamia wotee na lugha yao? maana kiasili nimeambiwa Arusha walikuja tu.
2. Nini kiliwafanya wakimbilie Arusha
3. Kwanini hawajiiti Wachaga wakati wanatumia lugha ya Kichaga?
Karibuni wajuzi
exactly kama Mboya, ni jina wanatumia ukoo mingi sana huku.Hata Kenya kuna watu wana majina ya koo za kichaga hii ni fact sababu nimewaona na kuishi nao Mkuu
Lakini mbona wachaga na wameru wanasikilizana? Mmeru akiongea namuelewa mbonaWameru hawatumii lugha ya kichaga mkuu, wana lugha yao kimeru. Pia wameru sio wamasai wala wachaga.
Wameru ni WAMERU tu
Ni sahihi. Ila umeshasema ni mmeru na mchaga. Inawezekana huko nyuma walikuwa watu wamoja waka split. Mbona hata wachagga wenyewe hatusikilizani mkuu.Lakini mbona wachaga na wameru wanasikilizana? Mmeru akiongea namuelewa mbona
PepHaya maswali ya siku hizi nina wasi wasi nayo sana, ukute mnatafuta asili ya watu halafu muwarudishe walikotoka
Hatukubali kurudishwa 🤣🤣
Sijui ukirudishwa ntafanyaje😂😂😂Hatukubali kurudishwa 🤣🤣
Tutahamia ileje madukani 🤣🤣Sijui ukirudishwa ntafanyaje😂😂😂
😂😂😂😂😂Tutahamia ileje madukani 🤣🤣
Wapo mkuu tena sio mmojaHamna Mmeru URASSA au MASAWE
Urassa wameru wapo MaghayoHamna Mmeru URASSA au MASAWE