Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,191
Mwanamume mmoja aitwae Mango Sarakikya anaefanya kazi ya kupandisha watalii mlima Kilimanjaro amemaliza hasira zake kwa kumbaka mtoto wake wa kumzaa anaesoma darasa la pili mara baada ya kutokea mzozo kati yake na mkewe.kwakua alinyimwa unyumba. Tukio limeripotiwa kituoa cha polisi Tengeru.
Katika tukio jingine mkazi mmoja wa mtaa wa Kambi ya Fisi hapohapo Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumueka kinyumba mtoto wake wa kumzaa na kumfanya mke wake.
Laana hiyo,ARUSHA MNA MATATIZO GANI?
Katika tukio jingine mkazi mmoja wa mtaa wa Kambi ya Fisi hapohapo Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumueka kinyumba mtoto wake wa kumzaa na kumfanya mke wake.
Laana hiyo,ARUSHA MNA MATATIZO GANI?