GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,454
- 108,566
- Thread starter
- #161
Chukua hiyo.....itakufaa huko mbeleni ku'beware na ku'behave.
Mbona unaandika Kishoga sana au ni Miongoni mwao?
Chukua hiyo.....itakufaa huko mbeleni ku'beware na ku'behave.
Unajidanganya mwenyewe,hivi huoni hata aibu?Kumbe na Wewe ni Empty Head hivi na umeamini nilichokiandika na kudhani kuwa nimechanganya au nimekosea? Narudia tena kusema kuwa kweli sasa Werevu wamepungua kama si wameshaisha kabisa nchini Tanzania. Leo nimewawezeni kweli kweli huku sasa mkihangaika Kuzijadili hizi ID's mbili na mkiipumzisha Moja ambayo mmekuwa mkihangaika nayo nenda rudi kuwa nayo pia ina mahusiano na hizi ID's mbili. Endeleeni Kufurahia kufanywa Wapumbavu na Kukamatika vizuri sana leo.
Cc: Victoire, Frank Wanjiru, NAKWEDE, GODZILLA, mwananyaso, MENGELENI KWETU, Joowzey, MR KUO, residentura, joshydama, Amanito, Saguda47, dnjoki
Unajidanganya mwenyewe,hivi huoni hata aibu?
Unahamia kwenye ubaguzi sasa!!!Mwalimu Nyerere aliwahi ongelea suala hili la ubaguzi!!!Umeanza na kujamii kisha utahamia udini....ukabila....chama....rangi!!Ulivyo pimbi,hukawii kuandika na jina lako halisi na kuambatanisha cheti cha kuzaliwa humu!!!Mbona unaandika Kishoga sana au ni Miongoni mwao?
Alaa, kumbe fundi!Miss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
Tatizo tembea yako ni kama ya Getamisin...H ah ahaa! (Jokes).Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Miaka minne tu nyie mshamchoka bwana mkubwa
Imagine yeye kavumilia miaka mingapi
Anyway kisarawe oyeee
Cc Bujibuji
Viatu vya Samaki
Kumbe ile ID umeipiga chini...hatariNaitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
An eagle or cleverbright?.any way First lady anasifa zote za kuwa Mrs kwa mkuu.polite, kind asiependa kamera kabisa.mimi nampongeza sanaNaitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Kwani nanili ni Msukuma?Naunga mkono hoja, ila ujue tuu kule usukumani wanawake ni kama tool ya mtu .wanawake ni kama watumwa wa familia zao. Halafu bango lingekuwa safi zaidi ungebandika na picha
Mkuu Genta aka Popoma kubali tuu leo umechomoa betri kama sio kuruka sarakasi ukweni ukiwa umevaa msuli au taulo.Hivi siyo nyie hapa hapa mnaoihusisha hizi ID's mbili za An Eagle na cleverbright kuwa zote ni za huyo sijui Gentamisino ( samahani Kwake kama nitakuwa nimekosea Kuliandika vyema jina lake ) hilo? Kwahiyo na Wewe unaamini kabisa kuwa nimejichanganya na ndiyo maana nikakutajia hiyo ID / hilo Jina? Endelea na endeleeni Kuamini hivyo.
Cc: Ruttashobolwa, Frank Wanjiru, NAKWEDE, GODZILLA, mwananyaso, MENGELENI KWETU, Joowzey, MR KUO, residentura, joshydama, Amanito, Saguda47, dnjoki
Sawa Sawa Nimekupata Mkuu Ile K hotel sio.Kuna Hotel Maarufu pale...
Nani ni genius mkuu ?
Well said and answered, ma genius ni wengi sana hii nchi