dnjoki
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 423
- 418
Khaaaa!!!!mapimbi mna taabu sana!!!!ulipotema mate juu ulitegemea nini......haya sasa go create another fake ID ujiunge uje,shubhaaamiti zako!!!kwanza njoo utuondolee liuzi lako la kilofa humu!!!Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.