Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,187
Weka chanzoKwa Tanzania ni cha 103
Kwa Afrika Mashariki ni cha 3,971
Kwa Afrika nzima ni cha 79,200
Kwa dunia nzima ni cha 758,222
Weka chanzoKwa Tanzania ni cha 103
Kwa Afrika Mashariki ni cha 3,971
Kwa Afrika nzima ni cha 79,200
Kwa dunia nzima ni cha 758,222
Nakushukuru sana Mkuu wangu hasa hapa mwisho ulipomalizia kwani ulichosema ndiyo Uhalisia wangu kwa 100%GENTAMYCINE nimekuja kwa kuchelewa. Maishani kuna kujifunza na kufundishwa. Tunapofundishwa tunapata maarifa kidogo sana ukilinganisha na tunavyojifuna.
Tunapojifunza mazingira, asili yetu na utu wetu unakusanyika pamoja kutafuta maarifa.
Tunapofundishwa tunalishwa werevu na ukengeufu wa mwalimu.
Daima nasema unyago na elimu ya ujando na ya jadi vidumishwe. Hii elimu ndio ilileta wakulima hodari, wafugaji mahiri, wawindaji madhubuti nk.
Nakaribisha mawazo na maoni yako. Vijana wa leo hawakujui wanadhani wewe ni mjivuni, mtukanaji ec. Lakini wewe ni bonge la muungwana
Pamoja sana mkuuHuwa nafurahi sana kukutana na Watu 'Genius' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mnanielewa upesi GENTAMYCINE na aina yangu ya Mada hapa pamoja na uibuaji wangu wa Masuala ( Issues ) ambazo huwa zinahitaji Mjadala mpana wa Wana Taaluma na Great Thinkers Kuujadili.
Watu wengi wanadhani nakashifu OUT.
bangi.comWeka chanzo
Pimbi ndio nnWewe Pimbi ni Lecturer na siyo Lecture sawa? Hebu rekebisha upesi kote ulikokosea kwa kuandika Lecture badala ya Lecturer. Fanya haraka!!
Si ndio hapa,Mkuu umenikumbusha kina jamaa mmoja askari alisoma uhasibu yeye alikuwa anachukua time table pale chuoni , mambo mengine hayamuhusu mtaonana siku ya paper na test, assigment anajua mwenyewe alivyofanya.
Baba zoma ikakae darasani wakati unamajukumu ya familia.
Kipofu wa Fikra / Akili kama Wewe tu.Pimbi ndio nn
Kwa test ipiMbilikimo wa Fikra / Upeo kama Wewe tu.
Oyaa...acha kunichosha tafadhali sawa?Kwa test ipi
Engineering courses zinatolewa SAUT?SAUT Mwanza ndiyo Chuo Kikuu pekee Tanzania nzima ambacho kinafundisha Wanafunzi 'Brainy' kabisa na Kinazalisha 'Think Tanks' na 'Intellectuals' wa Ukweli.
Kama hujasoma SAUT Mwanza jinyonge.
Wewe una kipaji cha kufikirisha. Wengi wetu hatuna kipaji hicho. Matokeo yake ni kwamba tunakuona nunda. Ndio maana adhabu za kila hazikuachi. Ukiwa ni Yusufu tegemea kutengwa na ndugu, kuuzwa utumwani, jela etc ila mwisho wake utakuwa waziri mkuuNakushukuru sana Mkuu wangu hasa hapa mwisho ulipomalizia kwani ulichosema ndiyo Uhalisia wangu kwa 100%
Watu wengi ( tena 95% ) wanadhani GENTAMYCINE ni Mjivuni, Mkorofi na ana Dharau na Matusi ila Wengi wao wangepata bahati ya kuishi nami nina uhakika wangenipongeza kwa kuwa Binadamu na siyo Mtu Kitabia.
Napenda mno Utani, Udadisi, Kuchokoza Jambo, Kufikirisha 'Brains' za Watu na Kuchangamsha Watu hapa JamiiForums na hata Vijiweni na ni mpenda Haki, Uwazi na Ukweli halafu sipendi Unafiki, Uwongo na Sifa.
Nawapenda tu JF Members wote Mkuu.
acha uongoKwa Tanzania ni cha 103
Kwa Afrika Mashariki ni cha 3,971
Kwa Afrika nzima ni cha 79,200
Kwa dunia nzima ni cha 758,222
Aweke viashiria vya utani kama mada ni ya utani, kama tetesi, maoni binafsi ai tafiti aweke wazi.Wewe una kipaji cha kufikirisha. Wengi wetu hatuna kipaji hicho. Matokeo yake ni kwamba tunakuona nunda. Ndio maana adhabu za kila hazikuachi. Ukiwa ni Yusufu tegemea kutengwa na ndugu, kuuzwa utumwani, jela etc ila mwisho wake utakuwa waziri mkuu
Upo sahihi kabisa ndugu!Aweke viashiria vya utani kama mada ni ya utani, kama tetesi, maoni binafsi ai tafiti aweke wazi.
JF kuna tabia ya kubeza baadhi ya makundi ya watu kitaaluma,kisiasa, kiuchumi, kikanda, kiutamaduni nk.
Utani unajukwaa lake la Jokes. Asijitetee awaombe radhi waliosoma OUT.
Mi binafsi sijapendezwa na awasilishaji wake japo nilihisi hakuwa siliasi maana hakuweka ushahidi.
Utani mwingine sio mzuri kwa sababu unabeza maisha ya watu.
Unajua mtu humu atatafsiri vipi huo utani, je akiushikilia hawezi athiri maisha ya watu.
Mtu mwingine anaweza asiwaamini kabisa wahitimu wa OUT. Hili ni andiko baya aombe radhi tena JF moderator wamuonye kabisa asirudie tena. Mitandao mikubwa yote duniani inapinga ubguzi wa aina yoyote na lugha za kejeli.