titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,764
Kitu wanavaa wengine kuwashwa uwashwe wewe,binaadamu sijui mkoje.Ili ni swali la msingi wasivae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu wanavaa wengine kuwashwa uwashwe wewe,binaadamu sijui mkoje.Ili ni swali la msingi wasivae
Hakuna. Sasa na wewe nipe jibu kama kuvaa hijabu ni hitaji la dini ya Islam. Nipe Aya.NI wapi kumeandikwa KWENYE BIBLE SISTER Avae KILEMBA,,,mkristo wa KIKE wa kawaida AVAE WIGI KICHWANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwnz tafuta majibu yako..halafu ulete MAREJESHO kwenye DINI ZA WENZIOHakuna. Sasa na wewe nipe jibu kama kuvaa hijabu ni hitaji la dini ya Islam. Nipe Aya.
Kama huwezi kunijibu pita kimya wala usini quote. Sijakulazimisha unijibu. Acha wanaojua watanipa jibu.
Acha chuki zakishamba!!!Kaka mi huwa sikejeli dini ya mtu. Halafu ujue mnachokosea nyie Waislam ni kudhania mna hati miliki ya Uislam. Uislam haumilikiwi na yoyote. Mtu yoyote mwenye mawazo huru anaweza kuusoma na kuuelewa vizuri tu. Mi nina rafiki zangu waislam na wao wanasema hawaamini chochote zaidi ya Quran. Mimi nakubaliana nao. Sasa wao kuna vitu wanaona vinalazimishwa na havipo kwenye Quran mojawapo ni hii ya kuvaa hijab. Ndiyo maana nimeuliza kwa wema tu ni aya ipi katika Quran inataka wanawake wavae hijab badala ya kujibu nyie mnaleta kejeli. Mimi sipo huko.
Suala la hijabu kuvaliwa shuleni sisi wanaoona mbali tulishajua litaleta matatizo,
Hasa kwa wanafunzi wanaokua tena ni wakike, madhara yake wameshaanza kuzificha mimba, Nywele chafu, na wengine wamesuka, inaondoa Uniformity of students,
Alafu pia nasikia maeneo mengine hata wakatoliki wameanza kudai nao kuvaa baadhi ya ishara za kikatolik shuleni, vipi kila dini hata hasiyekuwa na dini akisema aende na Tunguli zake?
Tutafakari upya juu ya hijabu kuvaliwa shuleni kwa shule za serikali,
Britanicca
Hivi kila mwanafunzi akivaa uniform kulingana na dini yake patatosha kweli?? Wengine nao watataka kuja wamevaa majoho ya kipadre!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hivi unaelewa ulichoandika? Au unasukumwa na hisia kuliko logic?Acha chuki zakishamba!!!
We hijabu kwako inakutatiza nini mpaka utafutiwe andiko, kwanini usiende kumuuliza Sista kule kanisani akakupa jibu, au yeye kavaa kimini.!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la hijabu mashuleni ni bomu kwa Taifa. Huwezi kuwaonyesha watoto/ wanafunzi kubaguana kwa misingi ya dini hali unagenga taifa lenye umoja. Tumsaidie Mama Ndalichako kupiga kelele.analijua lakini anaogopa kushambuliwa na waislamu kumbukeni alivyokuwa baraza la mtihaniHakuna. Sasa na wewe nipe jibu kama kuvaa hijabu ni hitaji la dini ya Islam. Nipe Aya.
Kwani shule tunatangaza dini .mambo ya dini ni kwenye nyumba za ibada na siyo shuleni wenzetu Kenya wameachaUnaona ugumu gani kunipa tu hiyo aya ndipo uulize haya maswali yako? Ugumu uko wapi?
Kwanza fuatilia kwann MASISTA WANAVAA VILEMBA?ukishajuwa itakuwa rahisi KUELEWEKA,,,Jibu swali langu kwaanza maana mm ndiye niliyeanza kuuliza, baaada ya hapo lete swali lako nitakujibu. Hiyo ndiyo constructive argument inavyofanyika. Sasa nitakujibuje swali lako na wakati mm niliyekuuliza kwanza hujanijibu?
Na mm nimekwambia kama hauwezi kujibu swali langu potezea najua wapo Waislam wengi sanaa wako rational na wanajua dini yao watakuja hapa watanijibu sio kwa mihemko kama wewe ila kwa maandiko. Kwa hiyo kama ww hauna jibu pita kimya tu. Sio ugomvi.Kwanza fuatilia kwann MASISTA WANAVAA VILEMBA?ukishajuwa itakuwa rahisi KUELEWEKA,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo kuu ni kuelimika au kuwa uniform? Which after all uniforms tayari wanavaa, sioni kama hijabu kichwani ni issue.Inabidi wawe uniform siyo mambo ya kutofautiana
Suala la hijabu kuvaliwa shuleni sisi wanaoona mbali tulishajua litaleta matatizo,
Hasa kwa wanafunzi wanaokua tena ni wakike, madhara yake wameshaanza kuzificha mimba, Nywele chafu, na wengine wamesuka, inaondoa Uniformity of students,
Alafu pia nasikia maeneo mengine hata wakatoliki wameanza kudai nao kuvaa baadhi ya ishara za kikatolik shuleni, vipi kila dini hata hasiyekuwa na dini akisema aende na Tunguli zake?
Tutafakari upya juu ya hijabu kuvaliwa shuleni kwa shule za serikali,
Britanicca
Kaka mi huwa sikejeli dini ya mtu. Halafu ujue mnachokosea nyie Waislam ni kudhania mna hati miliki ya Uislam. Uislam haumilikiwi na yoyote. Mtu yoyote mwenye mawazo huru anaweza kuusoma na kuuelewa vizuri tu. Mi nina rafiki zangu waislam na wao wanasema hawaamini chochote zaidi ya Quran. Mimi nakubaliana nao. Sasa wao kuna vitu wanaona vinalazimishwa na havipo kwenye Quran mojawapo ni hii ya kuvaa hijab. Ndiyo maana nimeuliza kwa wema tu ni aya ipi katika Quran inataka wanawake wavae hijab badala ya kujibu nyie mnaleta kejeli. Mimi sipo huko.
Maneno mengi ya nini mkuu. Wewe niwekee aya inayowataka wanawake wa Kiislam kuvaa hijab. Vinginevyo huo ni ubunifu wenu tu wa kwenye hadith. Mimi ni Quranist. Sisikilizi chochote nje ya Quran Tukufu.
Ni matumaini yangu kwamba nia yako ni njema coz' sikuja hapa kubishana na watu, hususani wanaopenda kutumia kashifa kwenye mijadala kama hii wakati dini zenyewe tumeletewa tu! Dini tumeletewa lakini bado wapo tupo radhi kutoleana maneno machafu na ya kejeli bila sababu za msingi!Kaka mi huwa sikejeli dini ya mtu. Halafu ujue mnachokosea nyie Waislam ni kudhania mna hati miliki ya Uislam. Uislam haumilikiwi na yoyote. Mtu yoyote mwenye mawazo huru anaweza kuusoma na kuuelewa vizuri tu. Mi nina rafiki zangu waislam na wao wanasema hawaamini chochote zaidi ya Quran. Mimi nakubaliana nao. Sasa wao kuna vitu wanaona vinalazimishwa na havipo kwenye Quran mojawapo ni hii ya kuvaa hijab. Ndiyo maana nimeuliza kwa wema tu ni aya ipi katika Quran inataka wanawake wavae hijab badala ya kujibu nyie mnaleta kejeli. Mimi sipo huko.
Hata uki-Google English Version, utakutana na hii hapa:-Na waambie wanawake waaminio kwamba wainamishe macho yao na wazilinde tupu zao, na wasidhihirishe uzuri wa sura zao wala mapambo yao isipokuwa yale yaliyo bayana katika hayo, na kwamba washushe shungi zao mpaka vifuani mwao, na wasionyeshe uzuri wa sura zao wala mapambo yao
isipokuwa kwa waume zao, au......
In short, aya yenyewe ndo hiyo hapo, na imetaja mwanamke anaweza kuwa kichwa wazi mbele ya nani! Kimsingi anaruhusiwa kudhihirisha uzuri wake pamoja na kichwa chake ama mbele ya mumewe au mbele ya watu ambao sharia hairuhusu kuolewa nao!And tell the believing women to reduce [some] of their vision and guard their private parts and not expose their adornment except that which [necessarily] appears thereof and to wrap [a portion of] their headcovers over their chests and not expose their adornment except to their husbands, their fathers, their husbands' fathers,....
Shukrani sana kaka. Wengine wanadhani kila muuliza swali anatafuta kukashfu. Kaka asante sana.Ni matumaini yangu kwamba nia yako ni njema coz' sikuja hapa kubishana na watu, hususani wanaopenda kutumia kashifa kwenye mijadala kama hii wakati dini zenyewe tumeletewa tu! Dini tumeletewa lakini bado wapo tupo radhi kutoleana maneno machafu na ya kejeli bila sababu za msingi!
Back to the topic! Je, Hijab ni uzushi tu au Quran, imeagiza?! Jibu utapata kwenye Sura ya 24, Aya ya 31 ambayo inasema:-
Hata uki-Google English Version, utakutana na hii hapa:-In short, aya yenyewe ndo hiyo hapo, na imetaja mwanamke anaweza kuwa kichwa wazi mbele ya nani! Kimsingi anaruhusiwa kudhihirisha uzuri wake pamoja na kichwa chake ama mbele ya mumewe au mbele ya watu ambao sharia hairuhusu kuolewa nao!
Inabidi wawe uniform siyo mambo ya kutofautiana
Hijabu inavaliwa kichwani, sasa inafichaje mimba inayokuwa tumboni?! Hivi unafahamu maana ya Hijab kweli wewe?!Hasa kwa wanafunzi wanaokua tena ni wakike, madhara yake wameshaanza kuzificha mimba,
Hivi kabisa unaamini kwenye picha hii hapa chini hakuna uniformity?Nywele chafu, na wengine wamesuka, inaondoa Uniformity of students,
Kama wewe ni Mkristo basi bila shaka unafahamu ni namna gani maandiko yanavyosisitiza kwa Mkristo kuwa mkweli! Je, unaweza kutamka kwa yakini kabisa kwamab Wakristo wamezuiliwa kuvaa rozali shuleni?!Alafu pia nasikia maeneo mengine hata wakatoliki wameanza kudai nao kuvaa baadhi ya ishara za kikatolik shuleni,
Hivi utakana vipi ukiambiwa lengo la mada yako ilikuwa ni kukashifu tu?! Kama hilo halikuwa ndio lengo lako, umetumia vigezo gani hadi kuweka hijab daraja moja na tunguli?! Tunguli ni ushirikina; ina maana kutokana na mafundisho yako unaamini kabisa hijab ni ushirikina?! Btw, suala la wapagani na tunguli linahusiana vipi?! Au sio tu hufahamu nini maana ya ajabu, inawezekana hufahamu hata Pagani ni mtu wa aina gani? Si ndio?!vipi kila dini hata hasiyekuwa na dini akisema aende na Tunguli zake?
Kwa kumbukumbu zangu, shule za serikali ziliruhusu kuvaa hijabu awamu ya Ali Hassan Mwinyi! Now tell me:-Tutafakari upya juu ya hijabu kuvaliwa shuleni kwa shule za serikali,