Sahihi kabisaMkuu,haya si mambo binafsi sana, manake kwa sasa ni raia wa kawaida hivyo ni vyema uende ukaiulize familia yake hilo swali, with due respect.
Aliwahi kuwa kiongozi wa nchi hii hivyo kukumbuka viongozi wetu siyo jambo baya ndiyo maana uwa tunajadiri hata viongozi waliokwisha kufa kama akina sokoine na wengineMkuu,haya si mambo binafsi sana, manake kwa sasa ni raia wa kawaida hivyo ni vyema uende ukaiulize familia yake hilo swali, with due respect.
Muongo yule hana chake pale tena!Yuko pale bandarini na ndiye mmiliki wa TICT'S, kontena zotr zinamhusu yeye kama Niko sahihi
Kwani kujua yupo wapi kwenye jukwaa kunashida ganiMkuu,haya si mambo binafsi sana, manake kwa sasa ni raia wa kawaida hivyo ni vyema uende ukaiulize familia yake hilo swali, with due respect.
Kama muhongo, tibaijuka na chenge wanavyokula bata baada ya ccm kushinda.................angeshinda mamvi urais ungekuta huyo fisadi karamagi bado anawadhifa mkubwa tu serikalini...ndege wafananao
Hahahahahaaaahaa nimecheka sana @@love upendonpo hapa
unasemaje
Tofauti ya mikataba ya hotelini na hii ya ikulu ni ipi kwani?Ndiye aliyesaini mkataba wa mgodi wa buzwagi hotelini huko uswisi.Tulipouliza tukaambiwa eyi muwekezaji angekimbia