MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Kuna sehem yyt alimuongelea Mbowe na matiko?Umeambiwa usipobehave utaishia gerezani na ndio fact zenyewe. Ni sawa na kusema ukiiba utafungwa hapa hakuna cha kuingilia Mahakama coz ndio ukweli wenyeweNami nawauliza wajuvi wa sheria na sio mabush lawyer kuwa, hivi ile kauli ya mfunguzi wa maktaba pale mlimani haiwezi kuibatilisha kesi na kuiondoa mahakamani baada ya kuingiliwa mwenendo wake na mtu mkubwa sana?