- Thread starter
- #21
Ushauri nauchukuwa kisha niuchambue ili kama vipi niufanyie kaziPima kwa mizani ya moyo wako ubaki na umpendae umshape vile utakavyo hiyo idadi mkuu ipunguze ni nyingi sana
Ushauri nauchukuwa kisha niuchambue ili kama vipi niufanyie kaziPima kwa mizani ya moyo wako ubaki na umpendae umshape vile utakavyo hiyo idadi mkuu ipunguze ni nyingi sana
Tehe tehe tehe tehe tehe...wachumba FCWachumba serious 10? Tafuta wa 11 uanzishe timu ya mpira wa miguu Wachumba Fc!!
Waliopo kwenye ndoa wangekua wanaonesha mifano mizuri wadada wangevutika kuolewa.
okay...sasa soma acha uhuni....hautakusaidia on your future life....Akuu. Nimewasubirisha wote. Maana mm bado dent tena mwaka wa pili tu
Ndiyo mantiki yangu ya kuwasubirishaokay...sasa soma acha uhuni....hautakusaidia on your future life....
Sawa mkuu nashukuru kuchat na weweUshauri nauchukuwa kisha niuchambue ili kama vipi niufanyie kazi
hayaNdiyo mantiki yangu ya kuwasubirisha
aiseeWachumba serious 10? Tafuta wa 11 uanzishe timu ya mpira wa miguu Wachumba Fc!!
Waliopo kwenye ndoa wangekua wanaonesha mifano mizuri wadada wangevutika kuolewa.
Ninawashangaa sana akina dada ambao umri unaenda halafu kila siku wanalalamika mtaani eti "wanaume waoaji hakuna". Mpk wengine wanafikia hatua ya kuzalishwa watoto pasipo ndoa.
Mbona mm nina wachumba serious zaidi ya 10? Wangekuwa wanagawanywa ningewagawia.
Bila shaka kuna laana inawatafuna akina dada hawa. Wenzenu wanagombaniwa kuolewa halafu ninyi mnakosa wa kutoa posa?
Ama kama siyo laana mmelelewa vibaya, hivyo hamna maadili. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Sasa ndiyo mnasomeshwa namba na ulimwengu kwa kukosa wanaume wa kuwaoa.
Mm nikiwa njiani, kwenye msiba, kwenye harusi, kwenye daladala, kwenye mkutano, kwenye lecture, kote huko ni full shida....yaani natafutwa na kuwindwa na wanaume. Ninyi wenzetu inakuwaje mnakosa wanaume wa kuwaoa?
wewe ulielelewa vizuri, binti mwenye maadili una wachumba kumi !!!!!!!!!!!!Ninawashangaa sana akina dada ambao umri unaenda halafu kila siku wanalalamika mtaani eti "wanaume waoaji hakuna". Mpk wengine wanafikia hatua ya kuzalishwa watoto pasipo ndoa.
Mbona mm nina wachumba serious zaidi ya 10? Wangekuwa wanagawanywa ningewagawia.
Bila shaka kuna laana inawatafuna akina dada hawa. Wenzenu wanagombaniwa kuolewa halafu ninyi mnakosa wa kutoa posa?
Ama kama siyo laana mmelelewa vibaya, hivyo hamna maadili. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Sasa ndiyo mnasomeshwa namba na ulimwengu kwa kukosa wanaume wa kuwaoa.
Mm nikiwa njiani, kwenye msiba, kwenye harusi, kwenye daladala, kwenye mkutano, kwenye lecture, kote huko ni full shida....yaani natafutwa na kuwindwa na wanaume. Ninyi wenzetu inakuwaje mnakosa wanaume wa kuwaoa?
Hivi una miaka mingapi?Mtata mkuu namwaga mapema, halafu anatafutwa mbadala mwenye subira. Atakayeyavumilia masharti mpk mwisho ndiyo atapewa nafasi ya kunywa maji matamu
Atakuja kupigwa na mshangao hataamini.Usidanganyike hao wote ni wadanganyifu kuna kitu wanatafuta kwako wakishapata hakuna mwoaji hapo.Chunga sana
Kwa namna wanavyoshoboka hawachomoki hawa mkuu.Mkuu kumbe wewe ni dent tu
Sheria za uchumba unazijua kwelii..
Unataka kuniambia hao wote 10 wanatambuliwa na wazazi wako...na umeshatangaza nia ..!?
Sema una madangaa/masponsor na vitu vingine kama hivyoo ...
Tunataka kujua mzizi wa tatizo. Kwann wao wakose riziki (,kuolewa ) huku wengine wakigombewa?Kila mtu ana riziki yake...na hamna anaeijua kesho!!
Kitu wanachokitaka kwangu ni uchumba tu mkuu hakuna kingine. Mambo ya kikubwa nimewapiga stop na hakuna anayeleta bughudha juu ya hiloUsidanganyike hao wote ni wadanganyifu kuna kitu wanatafuta kwako wakishapata hakuna mwoaji hapo.Chunga sana