Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,559
- 28,503
wasi wasi wangu ni unaweza ukawa umeloea kwenye huu ukumi ukumi na ukajikuta bado una vidumu hata baada ya kuolewa..Mwakani tu nachagua mmoja kati ya hao kumi kisha naolewa. Sina haja ya kungojea majuto
jiulize je kua nao kumi ni wewe kupenda au huwezi kujizuia unajikuta umekua mama huruma kila anaekutokea na vimistari unajikuta umeingia kingi..
kama unaweza kuamka kesho na ukaamua bila kurudi nyuma kwamba unabaki na mmoja kati ya hao kumi+ basi upo hatua moja mbele...