Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.
Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.
Oh Yes... the father was divisionalist as his Son... he had more Enemies than Friends within the Party...
By then it was OK to be disliked it was One Party Dictatorship make decisions like in a military
LIKE FATHER LIKE SON!!!
Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui
True, lkn ungeongeza kuwa alikuwa womanizer mkubwa sana!!
Mnapomzungumzia Mzee Moses Mnauye Mnanikumbusha President wa UDSM - BAZIGIZA, safari ya Pyongyang na statement za mzee mnauye za Chuo kikuu cha Manzese.Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui
Oh Yes... the father was divisionalist as his Son... he had more Enemies than Friends within the Party...
By then it was OK to be disliked it was One Party Dictatorship make decisions like in a military
LIKE FATHER LIKE SON!!!
Ukiwa na maadui wengi ndani ya CCM bila kujali ni CCM ipi ya kale au ya sasa, definetely wewe ni mtu mzuri. Kuwa mkweli bila kujali ushabiki wala mahaba yako kutasaidia kuliondoa taifa hapa lilipo. Kuujua ukweli na kuukataa kwa mapenzi binafsi ni unafiki. Unafiki ambao ndio umetufikisha hapa tulipo. Tusioneane haya kuambizana ukweli wala kukatazana kufanya majungu
Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui
Good Example Makamba ok he was like Makamba then... weigh your thoughts...
Mtoto wa nyoka naye huwa nyo...kaaaaaaaaaa................. sisimizi hawezi kumzaa temboKila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.