Hivi akili za mzee moses nnauye zilikuwa ni sawa na hizi za mwanae nape??

TUMBIRI

JF-Expert Member
May 7, 2011
1,933
1,199
Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.
 
Oh Yes... the father was divisionalist as his Son... he had more Enemies than Friends within the Party...

By then it was OK to be disliked it was One Party Dictatorship make decisions like in a military


LIKE FATHER LIKE SON!!!
 
Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.

nahisi ndivyo alivyo kua,
mara nyingi mtoto ana reflect jinsi alivyo mzazi wake/alivyokua!!!
haiwezekani mgomba uzae maembe bana
 
Je na waliomchagua Je! akili zao zikoje? kama za Nape? Du! kweli watz tunakazi kubwa!
 
Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.

Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui
 
Oh Yes... the father was divisionalist as his Son... he had more Enemies than Friends within the Party...

By then it was OK to be disliked it was One Party Dictatorship make decisions like in a military


LIKE FATHER LIKE SON!!!


Ukiwa na maadui wengi ndani ya CCM bila kujali ni CCM ipi ya kale au ya sasa, definetely wewe ni mtu mzuri. Kuwa mkweli bila kujali ushabiki wala mahaba yako kutasaidia kuliondoa taifa hapa lilipo. Kuujua ukweli na kuukataa kwa mapenzi binafsi ni unafiki. Unafiki ambao ndio umetufikisha hapa tulipo. Tusioneane haya kuambizana ukweli wala kukatazana kufanya majungu
 
..not sure about that! ila kabadilika sana huyo dogo alikua na substance kichwani kipindi cha nyuma, sijui nini kimetokea
 
Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui

True, lkn ungeongeza kuwa alikuwa womanizer mkubwa sana!!
 
Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui
Mnapomzungumzia Mzee Moses Mnauye Mnanikumbusha President wa UDSM - BAZIGIZA, safari ya Pyongyang na statement za mzee mnauye za Chuo kikuu cha Manzese.
 
Oh Yes... the father was divisionalist as his Son... he had more Enemies than Friends within the Party...

By then it was OK to be disliked it was One Party Dictatorship make decisions like in a military


LIKE FATHER LIKE SON!!!

JF mshaanza na nyie, hebu mwacheni mwenzenu atimize wajibu wake, msije mtachokonoa chokonoa mpaka mje na kali kamba ni mtoto wa kufikia ..!!
 
Ukiwa na maadui wengi ndani ya CCM bila kujali ni CCM ipi ya kale au ya sasa, definetely wewe ni mtu mzuri. Kuwa mkweli bila kujali ushabiki wala mahaba yako kutasaidia kuliondoa taifa hapa lilipo. Kuujua ukweli na kuukataa kwa mapenzi binafsi ni unafiki. Unafiki ambao ndio umetufikisha hapa tulipo. Tusioneane haya kuambizana ukweli wala kukatazana kufanya majungu

Good Example Makamba ok he was like Makamba then... weigh your thoughts...
 
Mzee Moses Nnauye alikuwa mtu mwenye akili timamu hasa, mwenye msimamo na aliyeamini katika siasa ya ujamaa, hakumchukia mtu kwa majungu wala kwa kutofautiana nae mawazo, hakuwa mwingi wa maneno bali vitendo zaidi. Alijali watu na kuwaheshimu sana. Hakupenda mali wala hakuitaka kabisa imsogelee. Alipofariki aliagiwa kwa mkuu wa mkoa kwani hakuwa na hekalu la maana ambaolo viongozi wa CCM wangependa awe nalo na mahala hapo ndipo pawe mahali pake pa kuagiwa. Moses Nnauye, Julius Nyerere na Daudi Mwakawago ndi watu walioamini hasa katika ujamaa na kuweza kuutekeleza kwa vitendo. Moses Nnauye wa watu alikuwa mpiga kinanda mashuhuri na hodari sana. katika mashindano ya upigaji vinanda alishindwa na mtu mmoja tu, nae ni mtoto wake wa kiume, sio Nape. Hukuna uhakika kama Nape ni mtoto wa mzee Moses Nnauye au aliwahi kupata malezi ya mzee yule. Nnape ameibuka hivi juzijuzi tu na hilo jina lakini uhusiano na yule mzee marehemu bado unatia mashaka. Anayekuambia Nnape ni kama mzee Moses Nnauye huyo, mwongo au hajui kama hajui halafu hataki kujua kama hajui

haya sasa mengine.
 
Good Example Makamba ok he was like Makamba then... weigh your thoughts...

Makamba alikuwa na maadui lakini si wengi kuliko marafiki ndani ya CCM, kwa tabia zao na utashi wao walimfurahia na walimouna bora kuliko Mangula, Mangula alikuwa na mpaka sasa ana maadui wengi ndani ya CCM kuliko Makamba. Makamba angekuwa na maadui wengi wasingekaruhusu kale katoto kake pale. Makamba hakupendwa na watu wenye akili timamu wengi na hao watu si rahisi kuwakuta CCM, ingawa wapo lakini ni wachache sana
 
Nape namwona kama Magamba in action kwa kuropoka. Asichojua ni kwamba ukizeeka unakuwa kama mtoto na magamba alikuwa kwenye diminishing return
 
Mzee nauye alikuwa mpiga ngoma ktk kikosi cha burudan cha chama. Huyu mzee alikuwa anabusara sana, hata mafanikio ya sasa ya mwanae Nape kwa namna moja yanatokana na msingi aliouacha huyu mzee ktk chama!
 
Si lazima kila mtoto awe na tabia kama za baba yake.
Mzee Nnauye hakuwa mtu wa kuropokaropoka. Alikuwa makini sana.

Lakini kwa upande mwingine si busara kuleta stori za familia yake na kumwongelea Marehemu Nnauye negatively eti kwa sababu tu hupendi mambo ambayo mtoto wake anaongea au anafanya.

Huyu kijana naye sio kwamba ni mropokaji kwa hulka. Ni sehemu tu ya kazi yake, katika kupiga debe, lazima itokee aongee mambo mengine tusiyopenda. He is just doing his job.
Kama akiongea siasa zisizo faa, anatakiwa kumjibu kwa kiwango hicho hicho. Hiyo ndio siasa.
 
Kila mara Nape Nnauye anavyoropoka huwa najiuliza hivi na Baba yake alikuwa hivi? Naombeni msaada kwa wale mnaojua vizuri historia ya Mzee Moses Nnauye isije kuwa tunamponda bure mtoto wa watu kumbe ni mambo ya kurithi.
Mtoto wa nyoka naye huwa nyo...kaaaaaaaaaa................. sisimizi hawezi kumzaa tembo
 
Back
Top Bottom