Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Hahahaha hivi ngorika na msae bado zipo?Nafikiri tereni imekwenda na uchaguzi yeye arudi Ubungo akapande Ngorika
Hahahaha hivi ngorika na msae bado zipo?Nafikiri tereni imekwenda na uchaguzi yeye arudi Ubungo akapande Ngorika
Ni ujinga wa kutokujua biashara kuna ndege zimepaki uwanja wa Dar bila kazi yoyoteUmechukia kuona zimejaa pole mfuasi wa ubeligiji.
Juzi nilikuwa kijiwe flqn cha wazee wa kaskazini wakawa wanasema kwann magu hakujenga SGR kwenda Kaskazini pengine serikali ingeanza kupata chambi msimu huu wa sikukuuGari Moshi ndio limejaa!
Umesoma mpaka mwisho!Umeshawahi kukata tiketi ya ndege mkuu?
Mbona Tunazo ndege nyingi ? . Kwanini Air Tanzania yetu wasiengeze ndege zaidi ktk iyo route yenye abiria wengi.? Na hata tunazo Dreamline yenye kubeba Abiria zaidi ya 200. Nadhani uongozi wa ATC Bado hawajaamka...Wakuu,
Toka last week nahaha kutafuta usafiri wa kunifikisha JRO ,lakini kila nikijaribu kufanya booking,naambiwa tarehe zote flight zimejaa.
Hii ni kweli au kuna usanii unafanyika?
View attachment 1655205
Sasa wakiruhusu zote, habari ya kwamba ndehe zimejaa itatoka wapi? Habari inatakiwa isambae kwa kasi kua ndege zimejaa ili asifiwe mkuu. Propaganda hizi hazita tufikisha mbali.Mbona Tunazo ndege nyingi ? . Kwanini Air Tanzania yetu wasiengeze ndege zaidi ktk iyo route yenye abiria wengi.? Na hata tunazo Dreamline yenye kubeba Abiria zaidi ya 200. Nadhani uongozi wa ATC Bado hawajaamka...
Mzee kumbuka zinarudi tupuMbona Tunazo ndege nyingi ? . Kwanini Air Tanzania yetu wasiengeze ndege zaidi ktk iyo route yenye abiria wengi.? Na hata tunazo Dreamline yenye kubeba Abiria zaidi ya 200. Nadhani uongozi wa ATC Bado hawajaamka...
Kwahiyo ukiwa mvuvi na kwakuwa unaishi porini huwezi kupanda ndege!kinachoangaliwa mkuu ni pesa sio mazingira wala aina ya kazi ya walengwa...Mbona wamefanya usanii kule Chato,wanataka kupeleka Ndege sehemu ambayo haina. abiria/porini (Kijiji Cha wavuvi) ili ionekane kuwa,uwanja haukujengwa kimakosa.