kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,408
- 7,190
Dalili za ufanisi zinajionyesha tangu mwanzo. kabla ya kuja bombadier mbili air tanzania walikua wanarusha ndege moja tu aina ya dash... ya kiholanzi. tulifikiri baada ya kuwasili bombadier mbili wangekua wanarusha ndege tatu. la ajabu wame neglect ile moja ya zamani eti mbovu. ina maana wasingepata hizo mbili wangefunga ofisi kwa kukosa ndege. nawashauri atcl kabla ya kupokea bombadier ya tatu waoneshe umahiri kwa kuhakikisha ile ndege nyingine ya tatu inaruka au waeleze hatima ya ndege hiyo. huwezi kutegemea ndege mpya tu ndio uweze kujidai hewani.