Na mimi sidhani kama kuna mtu anaipigia simu ccm, na kama wapo ni wajinga wakutupwa.au wanamaslahi binafsi.Hakuna mwananchi aliye elimika anaipigia kura ccm.Kama aneelimika basi ana maslahi binafsi.teh teh nadhani unatania tu.
Kwan ni Raisi gn alyepta ambae alkuw anatoa chkul mlo 3 kwa kla mwnanch wa Tanzania? Ugumu wa maisha ea ss hautokan na m2 yyt ila ni mabdilik ya hli ya hew mvua hzinyesh kw wkat ndio ttz na chanz cha ugumu wa maish na sfhan km kna Raic yyt dunian ambey anawez kuiyamrsha vua inyesh kw hyo acheni kunasbisha wkati na m2 hii ni mpango ya Mungu.