Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza swali la msingi...je magufuli atapigiwa kura na wananchi?
Msingi wa swali lako unaangalia hasa vigezo gani, kuimarika kwa maisha ya Wananchi, kuboreka kwa huduma au hasa kitu gani?baada ya uchaguzi 2015 kumalizika watanzania wengi, vijana wengi waliounga mkono upinzani asilimia kubwa wanaonekana wameshakata tamaa kuhusu mambo ya siasa.
haswa za upinzani kupitia chadema.
nimejaribu kupita pita sehemu nyingi na nimegundua kuna vijana ambao wameshaapa hawatapiga kura kupitia upinzani hawata piga kura tena maana siasa kupitia upinzani .
lakini pia ukiangalia viongozi wa upinzani ukiangalia mbowe,maalim seif,lowassa,lisu, mnyika,halima mdee wanaonekana wameshapoteza ushawishi wa kisiasa.
lakini pia kuna watu wameshavunjika moyo kutokana na upinzani kupitia chademaa inaonekana imani watu imeshawapunguaaa.
katika haya yote hivi kuelekea 2020 kuna watu kweli wataipigia kura chadema au upinzani
Acha uongo wako, bodaboda wanalalamika hakuna wateja tena! hakuna cha hapa kazi tu, bali hapa kupigika tu!Hapa jirani kwangu na kituo cha boda boda vijana wa boda boda hawana hamu na upinzani tena, wamechoka matamko mazitp yasiyotekelezwa, UKUTA, KATA FUNUA etc.
Wao ni hapa kazi tu.
Mgombea wenu ataomba kura kinyume nyume kama anaingia nyumba ya mganga mana kwa sasa anachukiwa zaidi
Hapa jirani kwangu na kituo cha boda boda vijana wa boda boda hawana hamu na upinzani tena, wamechoka matamko mazitp yasiyotekelezwa, UKUTA, KATA FUNUA etc.
Wao ni hapa kazi tu.
Baada ya uchaguzi 2015 kumalizika watanzania wengi, vijana wengi waliounga mkono upinzani asilimia kubwa wanaonekana wameshakata tamaa kuhusu mambo ya siasa haswa za upinzani kupitia CHADEMA.
Nimejaribu kupita pita sehemu nyingi na nimegundua kuna vijana ambao wameshaapa hawatapiga kura kupitia upinzani hawata piga kura tena maana siasa kupitia upinzani.
Lakini pia ukiangalia viongozi wa upinzani ukiangalia Mbowe, Maalim Seif, Lowassa, Lissu, Mnyika, Halima Mdee wanaonekana wameshapoteza ushawishi wa kisiasa.
Lakini pia kuna watu wameshavunjika moyo kutokana na upinzani kupitia CHADEMA inaonekana imani watu imeshawapungua.
Katika haya yote hivi kuelekea 2020 kuna watu kweli wataipigia kura CHADEMA au upinzani.
Uliza swali la msingi...je magufuli atapigiwa kura na wananchi?Baada ya uchaguzi 2015 kumalizika watanzania wengi, vijana wengi waliounga mkono upinzani asilimia kubwa wanaonekana wameshakata tamaa kuhusu mambo ya siasa haswa za upinzani kupitia CHADEMA.
Nimejaribu kupita pita sehemu nyingi na nimegundua kuna vijana ambao wameshaapa hawatapiga kura kupitia upinzani hawata piga kura tena maana siasa kupitia upinzani.
Lakini pia ukiangalia viongozi wa upinzani ukiangalia Mbowe, Maalim Seif, Lowassa, Lissu, Mnyika, Halima Mdee wanaonekana wameshapoteza ushawishi wa kisiasa.
Lakini pia kuna watu wameshavunjika moyo kutokana na upinzani kupitia CHADEMA inaonekana imani watu imeshawapungua.
Katika haya yote hivi kuelekea 2020 kuna watu kweli wataipigia kura CHADEMA au upinzani.
Hivi ni sawa na kuhoji kama ile Great Wildebeest migration itaendelea kwa kuwa Crocs wameongezeka Mto Mara.Baada ya uchaguzi 2015 kumalizika watanzania wengi, vijana wengi waliounga mkono upinzani asilimia kubwa wanaonekana wameshakata tamaa kuhusu mambo ya siasa haswa za upinzani kupitia CHADEMA.
Nimejaribu kupita pita sehemu nyingi na nimegundua kuna vijana ambao wameshaapa hawatapiga kura kupitia upinzani hawata piga kura tena maana siasa kupitia upinzani.
Lakini pia ukiangalia viongozi wa upinzani ukiangalia Mbowe, Maalim Seif, Lowassa, Lissu, Mnyika, Halima Mdee wanaonekana wameshapoteza ushawishi wa kisiasa.
Lakini pia kuna watu wameshavunjika moyo kutokana na upinzani kupitia CHADEMA inaonekana imani watu imeshawapungua.
Katika haya yote hivi kuelekea 2020 kuna watu kweli wataipigia kura CHADEMA au upinzani.
VIPI wale wajumbe wa mkutano mkuu wa FISIEM waliokuwa wanaimba kale kanyimbo maarufu.. TUNAIMAAANI NA LOWAAAASAAAA OYAAA.. OYAAA.. OYAAAAA.. LOWASA KWEEELI... KWELI.. KWEEELI.. hawa nao unawaitajee??Msigwa "anayemuunga Lowassa mkono akapimwe akili"
Usifikiri kwa kutumia uwazi wa katikati..unajua maana ya "anachukiwa" kuna sehemu nimekutaja wewe au umepata mshawashaUsitusemee, mm nimezidi kumpenda!!!
teh teh nadhani unatania tu.Jiamini mleta Thread sema kweli usihofu na kuwatekenya wakubwa wako sema ukweli tu msema kweli nimpenzi wa Mungu,kuna Mtu ataipigia kura ccm???