Hivi 2020 kuna Mtanzania ataichagua CCM?

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,819
11,513
Kwa aina ya uongozi tulio nao sasa hivi, uongozi usiojali wananchi wake hata pale wanapopata majanga, uongozi usiowajali watumishi wake, uongozi usiowajali wananchi maskini, uongozi usiowajali wanyonge, uongozi usiowajali watoto wa maskini hadi kuwanyima mikopo, kuzuia ajira.

Uongozi uliojaa ghiliba, chuki, visasi vya kila aina, ni uongozi ambao wao ni bora kununua ndege kuliko kununua madawa mahospitalini, uongozi usiopenda kukosolewa hata kama wamekosea lakini ni uongozi unaopenda sifa binafsi kuliko utendaji kazi.

Hivi kuna Mtanzania atapanga foleni tena 2020 kuwachagua watu hawa.
 
Sisiem haina mpinzani hapa tz, wengine wote ni wapiga dili wako kibiashara hawana nia ya dhati kabisa, mtu hana mbinu mbadala yaani sera yake kuu ni kupinga, mwingine uyu ndio usiseme leo kajiuzulu kesho karudi yaani ni mchanganyo tu uyu nae kamezwa hana sauti kafanywa mtaji sasa kwanini asishinde 2020
 
Kwa aina ya uongozi tulio nao sasa hivi, uongozi usiojali wananchi wake hata pale wanapopata majanga, uongozi usiowajali watumishi wake, uongozi usiowajali wananchi maskini, uongozi usiowajali wanyonge, uongozi usiowajali watoto wa maskini hadi kuwanyima mikopo, kuzuia ajira.

Uongozi uliojaa ghiliba, chuki, visasi vya kila aina, ni uongozi ambao wao ni bora kununua ndege kuliko kununua madawa mahospitalini, uongozi usiopenda kukosolewa hata kama wamekosea lakini ni uongozi unaopenda sifa binafsi kuliko utendaji kazi.

Hivi kuna Mtanzania atapanga foleni tena 2020 kuwachagua watu hawa.
kama kura zitapigiwa jf basi watanzania hawatoichagua lakini kama sivyo basi utajionea mwenyewe kwenye sanduku la kura
 
Sisiem haina mpinzani hapa tz, wengine wote ni wapiga dili wako kibiashara hawana nia ya dhati kabisa, mtu hana mbinu mbadala yaani sera yake kuu ni kupinga, mwingine uyu ndio usiseme leo kajiuzulu kesho karudi yaani ni mchanganyo tu uyu nae kamezwa hana sauti kafanywa mtaji sasa kwanini asishinde 2020
Umegonga kwenye pwenti Baba!!!
 
Kwa aina ya uongozi tulio nao sasa hivi, uongozi usiojali wananchi wake hata pale wanapopata majanga, uongozi usiowajali watumishi wake, uongozi usiowajali wananchi maskini, uongozi usiowajali wanyonge, uongozi usiowajali watoto wa maskini hadi kuwanyima mikopo, kuzuia ajira.

Uongozi uliojaa ghiliba, chuki, visasi vya kila aina, ni uongozi ambao wao ni bora kununua ndege kuliko kununua madawa mahospitalini, uongozi usiopenda kukosolewa hata kama wamekosea lakini ni uongozi unaopenda sifa binafsi kuliko utendaji kazi.

Hivi kuna Mtanzania atapanga foleni tena 2020 kuwachagua watu hawa.

Machinga tunajiachia

Mama ntilie tunajiachia

Mtwara tunapesa hadi tunanywesha soda mbuzi
 
Mkianzisha nyuzi muanze kutafakari kwanza kabla ya kuandika chochote. Kila nukta utakayoipitia ijadili kwa kina uandike. Hiv unadhani ndege zilinunuliwa ili hali hakuna dawa? Ajira zipi zilizozuiwa watu wasiajiriwe, kiongozi yupi aliefanyiwa kisasi? Mnyonge gani aliefanyiwa dhihaka! Tafakari kwanza usikurupuke kuninukuu halafu nitakuambia kimoja baada ya kingine utaelewa
 
Back
Top Bottom