Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Baada ya miaka mingi sana, nilibahatika kukutana na ex-girl friend wangu wa enzi za mwalimu na kama zali wote tukajikuta tuko single! Kukawa hakuna kipingamizi cha mimi na yeye kukumbushiana enzi ila this time ilibidi tutumie condom kwa kuwa yeye pamoja na mimi tulitoka na watu wengine wengi baada ya kupotezana. I must say baada ya game ya kwanza, hakuna aliyeridhishwa na matokeo ya mchezo na tuliwekana wazi kuhusu hilo na tuligundua sababu iliyozuia tusienjoy kama enzi zile za mwalimu ni hiyo condom, kipindi kile tulikua tunapiga mchezo kavukavu. Basi tukakubaliana kwamba tukokotane mguu kwa mguu tukapime ili kama wote tuko fresh, ngoma irudiwe kavukavu. Sikuwa na wasiwasi wala yeye hakua na woga na thanks god majibu yetu yakawa poa na tukakumbukia enzi zetu big time...tena si mara moja wala mbili....
Hii story nilimuelezea mshkaji wangu mmoja na alichosema kilinikata stimu to say the least, akasema kwamba kwa anavyojua yeye HIV inachukua at least mwezi kuwa detected kwenye damu ya mtu baada ya maambukizi. Mi nilikua najua ukipima kama uko fresh unajiachia tu. Je hii kitu ni kweli au story za kijiweni? Does it mean am at risk? Kuna kipimo chenye uwezo wa kusoma hivo vidudu baada tu ya masaa machache mtu kuambukizwa?
Happy belated World AIDS day
KKN
Hii story nilimuelezea mshkaji wangu mmoja na alichosema kilinikata stimu to say the least, akasema kwamba kwa anavyojua yeye HIV inachukua at least mwezi kuwa detected kwenye damu ya mtu baada ya maambukizi. Mi nilikua najua ukipima kama uko fresh unajiachia tu. Je hii kitu ni kweli au story za kijiweni? Does it mean am at risk? Kuna kipimo chenye uwezo wa kusoma hivo vidudu baada tu ya masaa machache mtu kuambukizwa?
Happy belated World AIDS day
KKN