Wana JF naomba kujua wapi(kama mgonjwa anaishi Mwenge,DSM,TZ) anaweza kupata ushauri wa mwanzo kuhusu cha kufanya all the basics hata kama ni hapa jukwaani, kwa mtu ambaye matokeo kuwa ni HIV positive mapema, mojawapo ya vitu ninavyotaka kujua niwapi wanatoa msaada wa mawazo i.e like vyakula gani,jinsi ya kuishi au hata kama kuna habari yoyote ya muhimu kwa mgonjwa ambaye ndio kwanza amepimwa na kujigundua .
Asante.
Asante.