misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
kila ikifika jumapil utaona wale ambao hatupendi kwenda church tunaingizia vitu kibao, mara oooh leo nmeamka vibaya siendi church, mr dah nlitaka kwenda ibada ya asubuh ila nmepitiwa, mr umeme umekatika sijanyoosha, hiv kwanin iimambo?