Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 724
Juliana ,
Maelezo yako yanaonesha unaipenda sana CHADEMA.
Nadhani umewamiss sana makamanda.
Unajua CHADEMA imejengwa na vijana wenye akili na watanashati hivyo lazima utapamiss tu huku.
Rudi tu mama, utasamehewa, tumeambiwa tusamehe saba mara sabini
welcome home baby, we miss you too.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako yanaonesha unaipenda sana CHADEMA.
Nadhani umewamiss sana makamanda.
Unajua CHADEMA imejengwa na vijana wenye akili na watanashati hivyo lazima utapamiss tu huku.
Rudi tu mama, utasamehewa, tumeambiwa tusamehe saba mara sabini
welcome home baby, we miss you too.
Sent using Jamii Forums mobile app