Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,269
- 33,872
Hizo falsafa za hao watu bado zinatenda kazi hadi sasa duniani. Nenda China kaangalie kama zaidi ya mfumo wa chama kimoja cha siasa kingine nini cha Mao ze Dong kilichobakia. Hizo nadharia za Karl Max na Lenin zinafanya kazi kwenye nchi gani kama hata huko Urusi kwenyewe wameshazitupilia mbali?Angalia revolution za akina Mao ze dong , vradimir ilych Lenin.
Walikuwa na misimamo juu ya kile wanachokipigania.
Hata ukiwasima akina Karl max wanasisitiza juu ya falsafa inayeleweka.
Unawezaje kutoa mifano ya falsafa zilizoshindwa kuwa mfano wa kuigwa na CHADEMA?