History in the making: NASA’s Juno spacecraft arrives at Jupiter!

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
July 05, 2016

1467689880769406.png


The biggest space event of the year is happening soon. On July 4, NASA’s un-crewed Juno spacecraft will end its nearly five-year journey through space and embark on a mission to study the planet Jupiter like never before.



But first, the spacecraft must lock on to Jupiter into what’s called a polar orbit. This is the most dangerous part of the entire Juno mission, and is what NASA will be watching instead of fireworks this holiday weekend.

1800.jpg


As Juno approaches its destination on July 4, Jupiter’s tremendous gravitational pull will accelerate the spacecraft to blazing speeds of more than 150,000 mph (241,000 km/h), making Juno one of the fastest human-made objects ever built.

After reaching a max speed of 165,000 mph (266,000 km/h) – fast enough to fly around Earth in 9 minutes – Juno will slam on the breaks by firing its engines. This is where things get tricky.

CmkdoV3UIAEQREp.jpg


The Juno spacecraft weighs 3,500 pounds (1,600 kg) and will be barreling through space at 215 times the speed of sound. To slow down, the engines will fire for 35 minutes straight, burning through 17,600 pounds (7,900 kg) of fuel in the process.

If all goes according to plan, this perilous manoeuvre will place Juno into orbit around Jupiter, where the spacecraft will remain over the next 18 months, providing an unprecedented look at Jupiter’s powerful gravitational and magnetic fields.

If something goes wrong, the US$1.13 billion mission will shoot past Jupiter, into deep space with no chance of return.

NASA only has one shot at this. The engine burn will start at 11:18pm ET on July 4.

You can watch the action at NASA unfold beginning at 10:30pm ET, as engineers monitor Juno’s instruments and anxiously await confirmation of the burn’s success. Witness history in the making on NASA TV or below:



Kwa wanaotaka kujua imefikaje hapa:



 
Ni mafanikio makubwa kwa Dunia
mkuu hapa hakuna Mafanikio yeyote kwa Dunia Bali ni Uharibifu kwa Dunia.

Hawa wana sayansi ndiyo chanzo cha uaribifu, kila kukicha wana Mchokonoa Mungu.

Wewe unajua ni Athari gani zinaweza kutokea pindi makosa yanapotokea kwa wao kurusha vyombo hivyo kwenye sayari?

Embu tujiulize mabadiliko ya tabia nchi na ali ya hewa yanatokana na nini?

Magonjwa mbali mbali kwa wanadam, ambayo haya kuwepo yanatokana na nini?

Wanadamu watajiangamiza wenyewe kwa kujifanya wanajua maarifa kuliko Mungu.

Asikiaye na Afahamu.
 
mkuu hapa hakuna Mafanikio yeyote kwa Dunia Bali ni Uharibifu kwa Dunia.

Hawa wana sayansi ndiyo chanzo cha uaribifu, kila kukicha wana Mchokonoa Mungu.

Wewe unajua ni Athari gani zinaweza kutokea pindi makosa yanapotokea kwa wao kurusha vyombo hivyo kwenye sayari?

Embu tujiulize mabadiliko ya tabia nchi na ali ya hewa yanatokana na nini?

Magonjwa mbali mbali kwa wanadam, ambayo haya kuwepo yanatokana na nini?

Wanadamu watajiangamiza wenyewe kwa kujifanya wanajua maarifa kuliko Mungu.

Asikiaye na Afahamu.

We're not living in a Stone Age, Bro!.
 
mkuu hapa hakuna Mafanikio yeyote kwa Dunia Bali ni Uharibifu kwa Dunia.

Hawa wana sayansi ndiyo chanzo cha uaribifu, kila kukicha wana Mchokonoa Mungu.

Wewe unajua ni Athari gani zinaweza kutokea pindi makosa yanapotokea kwa wao kurusha vyombo hivyo kwenye sayari?

Embu tujiulize mabadiliko ya tabia nchi na ali ya hewa yanatokana na nini?

Magonjwa mbali mbali kwa wanadam, ambayo haya kuwepo yanatokana na nini?

Wanadamu watajiangamiza wenyewe kwa kujifanya wanajua maarifa kuliko Mungu.

Asikiaye na Afahamu.

Dini inakupeleka ujingani.

Wasingewekeza kwenye tafiti mbalimbali hata hii internet unayoitumia kuweka huu ujinga wako usingekuwa nayo.

Endelea kulala na kushinda huko kanisani, waache wanaojaribu na walio serious wafanye.
 
Dini inakupeleka ujingani.

Wasingewekeza kwenye tafiti mbalimbali hata hii internet unayoitumia kuweka huu ujinga wako usingeweza kuuweka hapa.

Endelea kulala, waache wanaojaribu wafanye.
hata Mijinga akitoa Maoni yake Basi yaheshimiwe Ndugu Zanguni.

Lakini mjue kwamba ikiwa mimi ni Mjinga Katika kusema ukweli basi Mimi ni mweruvu kuliko wote.

Maana uaribifu utukuzwa kuliko kuliko uerevu asomae na Afaham.
 
Setelite iitwayo Juno imefika salama salimin katika sayari ya Jupiter. Setelie hii imefika saa 06:15 a.m. Setelite hii ilitumwa na jopo la wana sayansi wa marekani mwaka 2012. huu ndo mwaka wa tano ikiwa inasafiri tu.

Setelite hii itakaa huko kwa kiasi cha takriban mwaka mmoja na nusu, harafu itarudi dunian. itakuwa imechukua information mhimu kuhusu sayar ya jupiter.

Kumbuka kuwa sayar ya jupiter ni kubwa mno kiasa cha dunia kuingia mara 1000.

Funzo. waafrika tuache kulogana, fitina roho mbaya zisizo na misingi. wakat sisi tumeendekeza uchawi, fitina, umaskin, umbea, elimu za kuunga unga wenzetu wanarusha setelite kwa miaka mitano mpaka jupter. Kesho na kesho kutwa utasikia wameenda kuishi huko.
 
Setelite iitwayo Juno imefika salama salimin katika sayari ya Jupiter. Setelie hii imefika saa 06:15 a.m. Setelite hii ilitumwa na jopo la wana sayansi wa marekani mwaka 2012. huu ndo mwaka wa tano ikiwa inasafiri tu.

Setelite hii itakaa huko kwa kiasi cha takriban mwaka mmoja na nusu, harafu itarudi dunian. itakuwa imechukua information mhimu kuhusu sayar ya jupiter.

Kumbuka kuwa sayar ya jupiter ni kubwa mno kiasa cha dunia kuingia mara 1000.

Funzo. waafrika tuache kulogana, fitina roho mbaya zisizo na misingi. wakat sisi tumeendekeza uchawi, fitina, umaskin, umbea, elimu za kuunga unga wenzetu wanarusha setelite kwa miaka mitano mpaka jupter. Kesho na kesho kutwa utasikia wameenda kuishi huko.
Mkuu mbona unatuchamba tena hahaaaaaa...... halafu kweli bado kuna watu humu wanasemaga wazungu ni wenzetu
 
Back
Top Bottom