Historia Yenye Ukakasi Kuhusu Uanzishwaji wa Taifa la Israel

Mipaka ya nchi ya Israel nchi ya ahadi/canaan ya Abraham aliyopewa na Mungu ipo, soma hapo katika Biblia Kumbukumbu la Tourati/Sheria sura ya 34.

Bwana Mungu mwenyewe ana muelekeza na kumuonesha Musa wakiwa nchi ya Moabu muda mfupi kabla ya Musa kufa.

Na baada ya Musa kufa Bwana Mungu mwenyewe akamzika Musa na mpaka leo mahali halisi palipo kuwa na kaburi la Musa wanadamu hawapajui.

Na jaribu kuwaza kama hapo Yerusalem pahala ambapo lilikuwepo hekalu la mfalme Suleimani/Solomon panagombewa na wafuasi wa Imani tatu za kidini vipi kama pahala pa kaburi la Musa pangalijulikana?


kwa sababu ingekua rahisi saana kuwashusha hata ndugu zao ambao wapo ethiopia ambao ni watoto wa seleman na queen of sheba, hivyo basi kama wangeletwa uganda wangeungana na ndugu zao kutoka ethiopia na kuanzisha taifa lao, ila theodore ambae ndie mossad alieteuliwa kutunza na kubeba kumbukumbu na ramani ya nchi yao ya ahadi aliwatonya wenzao kua tokea kipindi cha joshua kizazi na kizazi kimekua kinaitunza ile ramanai ya nchi yao ya ahadi ambayo ni canaan ambayo baba yao yakobo aka israel alipewa na mungu wao na kuahidiwa kua wataishi huko.......
there fore walichomoa kwenda uganda.......
 
Nashukuru kwa maelezo yako mujarabu, hili la kushabiana lugha ya kibantu na kiebrania, majina na tamaduni sikuwahi lisikia kabisa nafikiria kufanya utafiti wangu binafsi kuthibitisha.
Asante kwa kunifungua walau kidogo.
[HASHTAG]#Eiyer[/HASHTAG]
Kuna eneo uchaggani mila zao na zilizoko kwenye agano la kale ktk Biblia zinafanana sana mkuu.
Hapaa nami naanza kuona mwanga kidogo.
 
Not convincing enough. The mighty bold would have gone extra mile. You are trying hard but you will never touch the bold heights. Kuwa msomaji kama mimi.
mbona unataka kulazimisha watu wngine kuwa kama the bold mkuu
unashundwa kuelewa kila mmoja ana vision zake .hujamtendea haki mwenzio it means Jamaa hanahaki yakuwa huru nakutoa mawazo yake kwakuwa tu unahisi kuwa hajamfikia huyo aliyemtaja...
mwanaume hupaswi kuwa hvi
 
Malcom Lumumba heshima kwako mkuu. Aandikapo Malcom Lumumba huwa siachi hata nukta kuisoma. Pia barafu, @PNC1 maandishi ya watu hawa huwa ni ya kitafiti hasa, maana si wachoyo hutoa shahidi kadhaa wa kadha ili uene ukajithibitishie kwa uelewa wako.

Wengine ni wasimuliaji tu, na wamejaa nadharia (nao nawapa heshima yao kwa kiasi Fulani, maana nacho ni kipaji) zaidi ni kama vile waandika scripts, wao huwepo mahali popote pale na wakati wowote, huandika hadi kile mtu alichokua akiwaza, wakati mwingine hutusimulia hadi kiwango cha joto ambacho character alikua nacho mwilini.
afadhali wewe umesema humu ndani kunawatu wanabongo zenye upeo unaosafiri kwakasi ya Umeme wakiwapo hao uliowataja hapo...
ila mimi naomba nimuingeze huyu jamaa [HASHTAG]#mnepha[/HASHTAG] huyo mtu niliyemtaja hapo anaichambua historia kama amazaliwa zama za babeli huwa haiachi akili yangu Salama kabisa
 
afadhali wewe umesema humu ndani kunawatu wanabongo zenye upeo unaosafiri kwakasi ya Umeme wakiwapo hao uliowataja hapo...
ila mimi naomba nimuingeze huyu jamaa [HASHTAG]#mnepha[/HASHTAG] huyo mtu niliyemtaja hapo anaichambua historia kama amazaliwa zama za babeli huwa haiachi akili yangu Salama kabisa
Mkuu mimi ni mtu wa kawaida sanaa...
Kuna watu wana viwango vikubwa sana vya uelewa kunizidi mimi humu ndani.

Mimi mwenyewe nipo hapa kujifunza kutoka kwao.
 
Mkuu,harakati ni nyingi sana muda unakuwa kikwazo....

Tuendelee kuombeana tu niweze kuandaa huu uzi...

Nina nyuzi kama tatu hivi ninatakiwa kuziandaa na siyo za kuandika siku moja tu...

mkuu kwemaa? ukiziandaa usiache kunitag kaka
 
Kumbe. ndio maana hawa jamaa wababe sana wanaweza kuingia nchi yoyote without UN details kama kule kwenye milima Golan syria hawatoki kamwe na wameapa , kumbe wana kadamu ka PUTIN,,,,,,,,,
Avigdor Lieberman
220px-Avigdor_Lieberman_2017.jpg



Date of birth 5 July 1958 (age 59)

Place of birth Kishinev, Soviet Union

Year of aliyah 1978

Knessets 15, 16, 17, 18, 19, 20

Faction represented in Knesset

1999–2006
Yisrael Beiteinu

2006–2016 Yisrael Beiteinu

Ministerial roles
2001–2002
Minister of National Infrastructure
2003–2004 Minister of Transportation
2006–2008 Deputy Prime Minister
2006–2008 Minister of Strategic Affairs
2009–2012 Deputy Prime Minister
2009–2012 Minister of Foreign Affairs
2013–2015 Minister of Foreign Affairs
2016– Minister of Defense
 
Back
Top Bottom