Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Hello JF members Mugona Vihi?
Niende kwenye story, Mimi ni Mkristo, ila katika maisha yangu na safari ya mahusiano, macho yangu na nafsi yangu imetokea nawapenda na navutiwa sana na wadada na mabinti waislam na wao pia huvutiwa na mimi na huwa nadumu nao kwenye mahusiano.
Tofauti na hawa visokolokwinyo wakristo mcharuko siivi nao kbsa hata mood nao sina huo ndio ukweli, sijui hata sababu nawadisi tu hata nikiwa na manzi mkristo namdinyo tu twice or thrice na block, au akipiga ntapokea kwa sauti ya kidwanzi ya kisharo niko kwenye kikao cha bajeti Dodoma au narekebisha bajeti ya OC robo za mwaka. Sio type zangu ifahamike.
#Wenye uzoefu na visa mfanano au kinzani karibuni
Hitimisho kila mtu ana haki na wajibu kwa chochote.
#Angalizo: Simchezei mtoto wa mtu mimi sio dancer wa singeli tunaanza fair na kumalizana fair.
Niende kwenye story, Mimi ni Mkristo, ila katika maisha yangu na safari ya mahusiano, macho yangu na nafsi yangu imetokea nawapenda na navutiwa sana na wadada na mabinti waislam na wao pia huvutiwa na mimi na huwa nadumu nao kwenye mahusiano.
Tofauti na hawa visokolokwinyo wakristo mcharuko siivi nao kbsa hata mood nao sina huo ndio ukweli, sijui hata sababu nawadisi tu hata nikiwa na manzi mkristo namdinyo tu twice or thrice na block, au akipiga ntapokea kwa sauti ya kidwanzi ya kisharo niko kwenye kikao cha bajeti Dodoma au narekebisha bajeti ya OC robo za mwaka. Sio type zangu ifahamike.
#Wenye uzoefu na visa mfanano au kinzani karibuni
Hitimisho kila mtu ana haki na wajibu kwa chochote.
#Angalizo: Simchezei mtoto wa mtu mimi sio dancer wa singeli tunaanza fair na kumalizana fair.