Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

Mbona link mmepewa? hebu BOFYA HAPO Mungu ibariki Afrika - Wikipedia, the free encyclopedia
Mungu ibariki Afrika
is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika that is also used as Zambia's anthem (with different words) and part of South Africa's.[SUP][1][/SUP] It was formerly also used as Zimbabwe's anthem. The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.

In Finland the same melody is used as the children's psalm Kuule Isä Taivaan (Hear, Heavenly Father). In this form the song has found its way to the common book of psalms used by the major church of Finland.

Bado wimbo una Melody ya kiKANISA la huko FINLAND
 
Kwanza kubali kwamba umo humo ktk hicho kitabu. Pili swala la kitaifa halihitaji kufungamanishwa na dini yoyote ili kuepusha faraka zisizo kuwa na msingi. TZ is a secular state my brother. Ya kanisa yaachiwe kanisa na ya siasa hivyo hivyo.

Hivi haiwezekani kanisa liwe limekopi na kuuweka kwenye hicho kitabu?
 
Huenda ukawa umejiuliza swali hili kwa kipindi kirefu lakini hujawahi kupata jibu. Kwanini Tanzania, Afrika Kusini na Zambia zinatumia wimbo wa taifa wenye melody inayofanana?
page6.jpg

Melody za wimbo huo ambao kwa Tanzania unaitwa ‘Mungu Ibariki Afrika, zimetoka kwenye wimbo uitwao "Nkosi Sikelel' iAfrika", neno la lugha ya Xhosa lenye maana hiyo hiyo pia).
Wimbo huo ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, aliyekuwa mwalimu kwenye shule ya misheni ya jijini Johannesburg.

Wimbo huo ulianza kutumika kama wimbo maalum wa hekaheka za ukombozi wa Afrika na baadaye kuanza kutumiwa kama nyimbo za taifa za nchi tano barani Afrika, zikiwemo Zambia, Tanzania, Namibia na Zimbabwe baada ya kupata uhuru.

Zimbabwe na Namibia zimepata nyimbo zingine za taifa. Wimbo huo kwa sasa unatumika Tanzania, Zambia na tangu mwaka 1994 kama sehemu ya wimbo wa taifa wa Afrika Kusini.
Hata hivyo ikumbukwe kuwa Tanzania ndio ilikuwa nchi ya kwanza kuanza kuutumia wimbo huo kama wimbo wa taifa 1961 pale ilipokuwa Tanganyika na kuendelea nao baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964

Tafsiri ya mashairi ya awali yaliyokuwa kwa lugha Xhosa kwenda Kiswahili ilifanya na kundi la watu.
Wimbo unaotumiwa na Afrika Kusini hata hivyo ni mchanganyiko wa "Nkosi Sikelel' iAfrika" na "The Call of South Africa" (unaojulikana kwa lugha ya Afrikaan kama "Die Stem van Suid Afrika").

20 April, 1994 ndipo ilipotangazwa kwamba zote Nkosi Sikelel' iAfrika na Die Stem ziwe nyimbo za taifa za Afrika Kusini. Wimbo uliounganishwa ulianza kufanya kazi October, 1997, baada ya maneno ya Kiingereza yalipoongezwa na wimbo kupangwa upya na Jeanne Rudolph.

Chanzo: Bongo5
 
Nikupeni na Nyongeza juu ya nyimbo za taifa za nchi mbalimbali

1. Wimbo wa Taifa mfupi kuliko zote duniani ni WIMBO WA UGANDA has only 8 bars of music,

2.Wimbo wa Taifa mrefu kuliko zote duniani ni ule wa Greece wenye beti 158, ukifuatia wa Uruguay wenye 105 bars of music

3.Wimbo wa taifa uliodumu kwa muda mfupi duniani ni ule wa Somaliland ambao umedumu kwa siku 5 tu

4.Wimbo wa Taifa wa kale kabisa ni wa Japan ambao ulitungwa karne ya 9

5. Nchi isiyo na wimbo wa taifa ni CYPRUS na badala yake inatumia wimbo wa CREECE
 
Nikupeni na Nyongeza juu ya nyimbo za taifa za nchi mbalimbali
1. Wimbo wa Taifa mfupi kuliko zote duniani ni WIMBO WA UGANDA has only 8 bars of music,
2.Wimbo wa Taifa mrefu kuliko zote duniani ni ule wa Greece wenye beti 158, ukifuatia wa Uruguay wenye 105 bars of music
3.Wimbo wa taifa uliodumu kwa muda mfupi duniani ni ule wa Somaliland ambao umedumu kwa siku 5 tu
4.Wimbo wa Taifa wa kale kabisa ni wa Japan ambao ulitungwa karne ya 9
5. Nchi isiyo na wimbo wa taifa ni CYPRUS na badala yake inatumia wimbo wa CREECE



Please elaborate on somaliland national anthem

Sijaelewa, ulitumika only 4 five days kivp?
 
Huenda ukawa umejiuliza swali hili kwa kipindi kirefu lakini hujawahi kupata jibu. Kwanini Tanzania, Afrika Kusini na Zambia zinatumia wimbo wa taifa wenye melody inayofanana?

Melody za wimbo huo ambao kwa Tanzania unaitwaMungu Ibariki Afrika, zimetoka kwenye wimbo uitwao Nkosi Sikelel iAfrika, neno la lugha ya Xhosa lenye maana hiyo hiyo pia). Wimbo huo ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, aliyekuwa mwalimu kwenye shule ya misheni ya jijini Johannesburg.

Wimbo huo ulianza kutumika kama wimbo maalum wa hekaheka za ukombozi wa Afrika na baadaye kuanza kutumiwa kama nyimbo za taifa za nchi tano barani Afrika, zikiwemo Zambia, Tanzania, Namibia na Zimbabwe baada ya kupata uhuru.

Zimbabwe na Namibia zimepata nyimbo zingine za taifa. Wimbo huo kwa sasa unatumika Tanzania, Zambia na tangu mwaka 1994 kama sehemu ya wimbo wa taifa wa Afrika Kusini.

Hata hivyo ikumbukwe kuwa Tanzania ndio ilikuwa nchi ya kwanza kuanza kuutumia wimbo huo kama wimbo wa taifa 1961 pale ilipokuwa Tanganyika na kuendelea nao baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Tafsiri ya mashairi ya awali yaliyokuwa kwa lugha Xhosa kwenda Kiswahili ilifanya na kundi la watu.

Wimbo unaotumiwa na Afrika Kusini hata hivyo ni mchanganyiko wa Nkosi Sikelel iAfrika na The Call of South Africa (unaojulikana kwa lugha ya Afrikaan kama Die Stem van Suid Afrika).

20 April, 1994 ndipo ilipotangazwa kwamba zote Nkosi Sikelel iAfrika na Die Stem ziwe nyimbo za taifa za Afrika Kusini. Wimbo uliounganishwa ulianza kufanya kazi October, 1997, baada ya maneno ya Kiingereza yalipoongezwa na wimbo kupangwa upya na Jeanne Rudolph.


Enoch Sontonga(kwenye picha)
1386876601266.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom