Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

Una uhakika na hayo unayosema? Au ndio yale yale ya kufikiria matatizo ya ndani ya nyumba yanaletwa na mchawi yuleeee huko nchi za mbali.

Mimi sio wale unaowafikiria kila siku kuwa wana akili hizo! Nenda kakitafute hicho kitabu ukiukosa huo wimbo ndio uamini hivyo. Hizi ni chembe chemchembe tu za mfumo kristo!
 
Mimi sio wale unaowafikiria kila siku kuwa wana akili hizo! Nenda kakitafute hicho kitabu ukiukosa huo wimbo ndio uamini hivyo. Hizi ni chembe chemchembe tu za mfumo kristo!

Sasa kama wimbo huo umo kwenye hicho kitabu, tatizo liko wapi? Hivi wimbo wa Taifa unaipendelea dini gani na kwa maneno gani? Kweli mwenye nacho ataongezewa!
 
Sasa kama wimbo huo umo kwenye hicho kitabu, tatizo liko wapi? Hivi wimbo wa Taifa unaipendelea dini gani na kwa maneno gani? Kweli mwenye nacho ataongezewa!

Kwanza kubali kwamba umo humo ktk hicho kitabu. Pili swala la kitaifa halihitaji kufungamanishwa na dini yoyote ili kuepusha faraka zisizo kuwa na msingi. TZ is a secular state my brother. Ya kanisa yaachiwe kanisa na ya siasa hivyo hivyo.
 
251px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png


Ni nani aliyebuni hiyo Coat of Arms ya Tanzania?
 
Kwanza kubali kwamba umo humo ktk hicho kitabu. Pili swala la kitaifa halihitaji kufungamanishwa na dini yoyote ili kuepusha faraka zisizo kuwa na msingi. TZ is a secular state my brother. Ya kanisa yaachiwe kanisa na ya siasa hivyo hivyo.

Sasa kuna tatizo gani wimbo wa Taifa kuimbwa kanisani? Au sifikirii vizuri....ingekuwa kama wimbo wa kanisani ndio wimbo wa Taifa ningekuelewa. Hakuna mtu anayekatazwa kuimba wimbo wa Taifa kwenye ibada zake ukiwemo wewe mwenyewe...kama hutaki kuimba isiwe tabu kwa wanaotaka kufanya hivyo maana hawajavunja kifungu chochote cha sheria na wala hawajachanganya dini na siasa kama unavyotaka kutuaminisha wewe.

Kwani wimbo wa Taifa ni wa mwana siasa gani? Kama haufai wimbo wa sasa tupe ulioutunga basi tujue moja...
 
Sasa kuna tatizo gani wimbo wa Taifa kuimbwa kanisani? Au sifikirii vizuri....ingekuwa kama wimbo wa kanisani ndio wimbo wa Taifa ningekuelewa. Hakuna mtu anayekatazwa kuimba wimbo wa Taifa kwenye ibada zake ukiwemo wewe mwenyewe...kama hutaki kuimba isiwe tabu kwa wanaotaka kufanya hivyo maana hawajavunja kifungu chochote cha sheria na wala hawajachanganya dini na siasa kama unavyotaka kutuaminisha wewe. Kwani wimbo wa Taifa ni wa mwana siasa gani? Kama haufai wimbo wa sasa tupe ulioutunga basi tujue moja...

Mkuu Ndahani, hizi ndio tunaita chokochoko za kidini.

Ni malalamiko tu hamna intelligent argument, akiambiwa alete wimbo wake, atang'aa macho. Uchawi sio lazima tunguri hata hii inaelekea huko huko. Wimbo wa Taifa ni mzuri na hauko biased, serikali haina dini lakini inatambua uwepo wa Mungu.
 
Ulitungwa na mtu mmoja kutoka South Afrika ambapo kama sikosei uliimbwa kwa mara ya kwanza uliimbwa katika mkutano wa PAFMECA kama mnakumbuka hitoria wana jamvi na ukawa adapted na mataifa kadhaa yakiubadilisha kidogo kukidhi matakwa yao na Tanzania ni moja kati ya nchi hizo.



naomba kufahamu ni nani aliyetunga wimbo wa taifa na je? Mbona ni kama unaendana na ule wa south africa?
Au nani ka mcopy mwenzake?
 
Wimbo wa taifa ulitolewa kutoka katika kitabu cha kanisa katoliki kiitwacho:

''CHUO KIDOGO CHA SALA NA NYIMBO'' ukurasa wa 86.

Kwa faida zaidi dua ya kuliombea bunge upo katika kitabu hicho ukurasa wa 12.

In short watunzi ni wana peramiho.

Wimbo wa taifa na ule wa taifa wa Zambia ni copycat ya wimbo wa ANC, na sidhani kama watu wa peramiho walitunga wimbo wa ANC.
 
Wimbo wa taifa na ule wa taifa wa Zambia ni copycat ya wimbo wa ANC, na sidhani kama watu wa peramiho walitunga wimbo wa ANC.

Hapo ndio umejimaliza kabisa kwa sababu aliyetunga wa South Africa ni methodist.

Tanzania ilipata uhuru 1961, Zambia 1964 na Africa Kusini 1994; hadithi ya kuku na yai.

Lakini Enoch Mankayi Sontonga ndiye inasemekana alianzisha ile ya South Africa. Huyu alikuwa ni choir master na methodist ambayo ni movement ya protestant christianity. Hapa cha msingi ni kwamba asili ya huu wimbo ni kanisani kwa ushahidi wote.
 
Mtunzi ni Enoch Sontonga wa South Africa mwaka 1897 alitunga wimbo unaoitwa Nkosi Sikelel'i Afrika, ambao ndo umezaa nyimbo za taifa la Tanzania, South Africa, Zambia na zamani Zimbabwe. Jamaa alikufa mwaka 1905.
 
Wimbo wa taifa ulitolewa kutoka katika kitabu cha kanisa katoliki kiitwacho:

''CHUO KIDOGO CHA SALA NA NYIMBO'' ukurasa wa 86.

Kwa faida zaidi dua ya kuliombea bunge upo katika kitabu hicho ukurasa wa 12.

In short watunzi ni wana peramiho.

Kama ni kweli basi asante sana kwa kutuelimisha.That is good!
 
Hapo ndio umejimaliza kabisa kwa sababu aliyetunga wa South Africa ni methodist.

Tanzania ilipata uhuru 1961, Zambia 1964 na Africa Kusini 1994; hadithi ya kuku na yai.

Lakini Enoch Mankayi Sontonga ndiye inasemekana alianzisha ile ya South Africa. Huyu alikuwa ni choir master na methodist ambayo ni movement ya protestant christianity. Hapa cha msingi ni kwamba asili ya huu wimbo ni kanisani kwa ushahidi wote.

Mkuu reasoning yako inafurahisha sana. Kwenye post moja umesema ni wimbo wa kikatoliki. Na hapa unasema umetungwa na methodists wa Afrika Kusini. Sasa unachotaka kusema ni kipi? Tangu lini methodism ni movement? Ninachofahamu ni kuwa methodism ni denomination moja ya ukristo, labda wewe una uelewa mzuri zaidi wa maana hii.

Lakini kama wimbo wa ANC asili yake ni kanisani kibaya ni nini? unataka asili yake iwe kaswida au taarab? Nilichosema ni kuwa wimbo wa Taifa wa Tanzania ni copycat ya Wimbo wa ANC, ambao pia Zambia wanautumia. Haijalishi kama mtunzi ni Methodist, Islamist au pagan, lakini si kweli kama wimbo wa taifa wa Tanzania ulitungwa Peramiho.

Unaposema Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961 una maana gani? Tanzania haijawahi kutawaliwa, labda kama una maana Tanganyika labda naweza kuelewa kiasi. Sijui elimu yako, mimi elimu yangu ni ya msingi lakini najua kiasi kuwa Tanzania haijawahi kutawaliwa. Inaonekana wewe si mtanzania, na kama ni mtanzania basi huenda hata darasa la tatu hjafika na hujui kuwa nchi inayoitwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili, moja ilikuwa inaitwa Tanganyika na nyingine inaitwa Zanzibar. Tanganyika iliwahi kuwa koloni la mdachi, na baadaye protectorate iliyokuwa chini ya mwingereza, Zanzibar iliwahi kupitiwa na mreno, kutawaliwa na sultani na kusimamiwa na mwingereza. Nchi mbili zilipoungana na kuunda nchi inayoitwa Tanzania haikuwahi kuwa chini ya mkoloni.

Afrika Kusini ilitawaliwa na mwingereza na ilipata uhuru mwaka 31.05. 1910, sio 1994. Mwaka huo unaouita ni wa uhuru ni mwaka ambao utawala wa kibaguzi wa waafrikaner ulikomeshwa baada ya uchaguzi wa kura moja, mtu mmoja, bila msingi wa rangi.

Uhuru wa Afrika Kusini wa mwaka 1910 au kuondolewa kwa sera ya ubaguzi wa rangi mwaka 1994...hakuna uhusiano na wimbo wa chama wa ANC ambacho kimekuwepo kabla ya Tanzania.

Mkuu kama unaweza kuja kwenye internet na ukasoma, unaweza kupata mengi tu ya kukuelimisha, usije ukadhani hapa JF ni kijiwe cha vilaza, ukaongopa na watu wakaamini.

I hope you will not take this personal.
 
Sasa mbona nimekupa mpaka source. Tatizo unataka uambiwe unayoyataka. Hapa tutakwambia what you need to hear not other wise boss!

Umesema wimbo upo kwenye chuo kidogo cha sala na nyimbo...Kwa hiyo wimbo wa Taifa nao upo kwenye orodha za nyimbo au sio. Nakuuliza wimbo wa Taifa kuwepo kweye kitabu cha nyimbo cha kanisa ndo kanisa wametunga? Mkuu kuwa unashirikisha ubongo wako utachekwa siku moja ukitoa povu kwenye umati wa watu wenye uelewa wa mambo.

Shukuru Mungu uko kwenye keyboard, lakini sio tiketi ya wewe kutotumia ubongo wako kufikiri kwa kitu kidogo kama hicho...

Hebu chukua hii itakusaidia..
1. Before you speak listen

2. Before you Write, think

3. Before you criticize, wait.

4. Before you pray, forgive........


Mkuu nakushauri tena shirikisha akili yako...
 
In short wala wimbo wa Taifa haukutungwa kutoka kwenye vitabu vidogo vya sala ya nyimbo wala nini.Wimbo wa taifa wa Tanzania na wimbo wa taifa wa Zambia na South Africa zinafanana simply because sisi Watanzania na Wazambia tuliiba beats za wimbo wa wapigania uhuru wa South Africa waluiokuwa kwenye makambi ya wakimbizi kule Nachingwea, Kongwa na Dakawa morogoro.

Kwa upande wa Zambia makambi ya wakimbizi wa South Africa yalikuwa maeneo ya Ndola
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom