Madabwada
JF-Expert Member
- May 8, 2009
- 541
- 314
ulidesiwa kutoka South Africa. Siupendi huo wa kudesiwa south. bora ule wa TanzaniaX2 nakupenda kwa moyo wote, nchi yangu Tanzania jina lako ni Tamu sana.
Sasa badilisha weka Tanganyika, hapo mpaka nasikia burudani juu ya ngozi.
teheteheh ... kazi ipo!!