Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Historia ya wachaga ni pana sana waheshimiwa kwa mfano mnafahamu ni kwanini wakibosho hawapatani na wamachame?
hapa sio chumba cha majaribio mkuu.
Kama unajua ni kwanini hao uliowataja hawapatani, tupe ushahidi hapa jamvini, tukiridhika nao tutauhalalisha.
Sawasawa?