Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

true true.. inabidi Mzee Said aje atuambie majina yao ili waweze kuenziwa na kuheshimiwa.
Mwanakijiji,

Kama nilivyotanabaisha huko nyuma kuwa "advantage" yangu kubwa kukushindeni mimi ni mengi ambayo nyie hamna. Hilo la kuwaenzi mashujaa ndilo linalowapa shida kwa muda mrefu toka kitabu changu kitoke. Wanajiuliza tunaanzaje na Baba wa Taifa mwenyewe tulipata kumshauri afanye hivyo wakati alipotoa medali kuwaadhimisha wale walifanyia nchi makubwa na yeye akakataa? Soma hapa chini:

"Tarehe 27 Aprili, 1985 Julius Kambarage Nyerere, sasa akijulikana kama Baba wa Taifa,[1] katika sherehe kubwa katika viwanja vya Ikulu, alitoa jumla ya medali 3979 kwa Watanzania waliochangia katika maendeleo ya taifa. Kati ya wale ambao walipewa medali hizo alikuwa Sheikh abdallah Chaurembo. Wazalendo waliotajwa ndani ya kitabu hiki ambao walipigania uhuru wa Tanganyika, hakuna hata mmoja wao aliyekuwa katika orodha ile ya heshima. Baada ya siku chache kupita, Nyerere kama mtu aliyegutuka alimualika Dossa Aziz Ikulu. Dossa Aziz, wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika alikuwa mtu maarufu, mwenye nafasi, na kujiweza sana. Sasa Dossa baada ya miaka kupita hakuwa akifahamika tena na ule umaarufu na utajiri wake ulikuwa umetoweka. Alikuwa akiishi maisha ya kawaida kijijini Mlandizi, maili chache nje ya Dar es Salaam. Katika sherehe ya faragha Nyerere alimtunukia medali Dossa Aziz, rafiki yake wa zamani." [1]

Nilipata kuzungumza na Zuberi Mtemvu kuhusu hili la Dossa. Mtemvu akasema kwa kwelli hata yeye kashangaa kwa Nyerere kutoa medali
ka Dossa akawaacha wengie waliokuwa pamoja naDossa tena kaja kumpa medali hiyo peke yake baada ya wengine kutunukiwa. Akaendelea Mtemvu kusema lipi alofanya Dossa ambalo Abdulwahid hakufanya?Mwenyekiti wa kamati ile ya medali alimuuliza Nyerere mbona huwaadhimisi wale walikupokea Dar es Salaam?

Mwanakijiji nakupa changamoto nyingine mtafute nani alikuwa mwenyekiti wa kamati ya medali akupe jibu Nyerere alisema nini kuhusu wazalendo waliompokea Dar es Salaam.

Mohamed

 
true true.. inabidi Mzee Said aje atuambie majina yao ili waweze kuenziwa na kuheshimiwa.


Mwanakijiji,

Kama nilivyotanabaisha huko nyuma kuwa "advantage" yangu kubwa kukushindeni mimi ni mengi ambayo nyie hamna. Hilo la kuwaenzi mashujaa ndilo linalowapa shida kwa muda mrefu toka kitabu changu kitoke. Wanajiuliza tunaanzaje na Baba wa Taifa mwenyewe tulipata kumshauri afanye hivyo wakati alipotoa medali kuwaadhimisha wale walifanyia nchi makubwa na yeye akakataa? Soma hapa chini:

"Tarehe 27 Aprili, 1985 Julius Kambarage Nyerere, sasa akijulikana kama Baba wa Taifa,[1] katika sherehe kubwa katika viwanja vya Ikulu, alitoa jumla ya medali 3979 kwa Watanzania waliochangia katika maendeleo ya taifa. Kati ya wale ambao walipewa medali hizo alikuwa Sheikh abdallah Chaurembo. Wazalendo waliotajwa ndani ya kitabu hiki ambao walipigania uhuru wa Tanganyika, hakuna hata mmoja wao aliyekuwa katika orodha ile ya heshima. Baada ya siku chache kupita, Nyerere kama mtu aliyegutuka alimualika Dossa Aziz Ikulu. Dossa Aziz, wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika alikuwa mtu maarufu, mwenye nafasi, na kujiweza sana. Sasa Dossa baada ya miaka kupita hakuwa akifahamika tena na ule umaarufu na utajiri wake ulikuwa umetoweka. Alikuwa akiishi maisha ya kawaida kijijini Mlandizi, maili chache nje ya Dar es Salaam. Katika sherehe ya faragha Nyerere alimtunukia medali Dossa Aziz, rafiki yake wa zamani." [1]

Nilipata kuzungumza na Zuberi Mtemvu kuhusu hili la Dossa. Mtemvu akasema kwa kwelli hata yeye kashangaa kwa Nyerere kutoa medali
ka Dossa akawaacha wengie waliokuwa pamoja naDossa tena kaja kumpa medali hiyo peke yake baada ya wengine kutunukiwa. Akaendelea Mtemvu kusema lipi alofanya Dossa ambalo Abdulwahid hakufanya?Mwenyekiti wa kamati ile ya medali alimuuliza Nyerere mbona huwaadhimisi wale walikupokea Dar es Salaam?

Mwanakijiji nakupa changamoto nyingine mtafute nani alikuwa mwenyekiti wa kamati ya medali akupe jibu Nyerere alisema nini kuhusu wazalendo waliompokea Dar es Salaam.

Mohamed

 
Hayo yote unayoyasema ni mawazo yako na ni haki yako. Cha msingi ni kuwa mpaka sasa tunakwenda sambamba, hakuna kati yenu aliyepinga hao wazee wanaoelezewa na Mohamed Said kuwa hawakuwepo na au hawakuwa kama wanaovyolezewa. Hapo sasa.
Tangu mwanzo Faizafoxy miye mwenyewe nimesema sina tatizo na Uislamu wala waislamu kwani kuna ndugu zangu wa damu moja ambao ni waislamu. Pia sina tatizo na wazee wa Gerezani kushiriki kwenye kupigania Uhuru wa Tanganyika, pia sikani kwamba mkondo mkuu wa Historia ya nchi hii haujawapa nafasi kubwa ya kutambuliwa mchango wao.

Tatizo langu na MS ni kwamba anasema hao wazee wake wa Gerezani walisahauliwa kwa sababu ya dini yao ya Kiislamu. Hapo ndipo ugomvi wangu ulipo!!
 
Wanajamvi, hivi nikiandika kitabu au kutoa makala gazetini inatosha kuwa ni ushahidi wa kweli kuhusu madai yatolewayo? Kwanini Mohamed hajibu maswali na anataka tuamini'reference' zake ni kweli. Ningemuelewa kama angekuwa anaambatanisha na nyaraka kama za chama au serikali. Anaposema soma hapa akaweka habari zile zile alizoandika inatisha.

Mkandara na Mwita Maranya na wengine wamelichambua suala la elimu na asilimia 17 kwa mantiki na kisomi. Kinachonishangaza ni kuwa Mohamed amegoma kutupa analysis ya hiyo asilimia ila anaamini na anaaminisha watu kuwa ni aslimia 17 bila hesabu yoyote.

Sina hakika kama amewahi kuishi sehemu zenye matatizo makubwa huko vijijini. Kama tutasema waislam walidhulumiwa, je wamang'ati, wamasai n.k nao watasemaje. Kwanini Mohamed haangalii matatizo yaliyopo sasa hivi katika shule za waislam kwanza kabla ya conclusion?

Nitawapa mfano mmoja. Nyerere alipewa offer na swahiba wake Fidel Castro kujenga shule nne kwa msaada wa CUBA.
Shule hizo ni Ruvu, Ifakara, Kilosa na Kibiti. Shule hizi zilichukua wanafunzi kwa mfumo wa ukanda. Kilosa ikichukua mikoa ya kaskazini, Ifakara nyanda za juu na Ruvu kanda ya ziwa na magharibi. Kibiti ikapewa kanda ya pwani, Tanga, Lindi, Mtwara na Dar es salaam.

Kilichonishangaza ni kuwa shule ya Kibiti wanafunzi wa pwani ima hawakuripoti shule au walikatiza masomo. 'Wajanja' walipogundua hilo wakahamishia watoto wao huko, matokeo yake watoto wote wakawa wanachaguliwa kutoka mkoa wa Pwani lakini si wenyeji wa huko.
Hapa nani alaumiwe? asiyetaka mwanawe aende shule au yule Mpare aliyeamua kuchukua nafasi ya ualimu kwenda Lindi(wakati huo kila mtu alikuwa anakimbia) ili aweze kusomesha watoto wake na wanduguze katika ushindani hafifu. Hili nina ushahidi nalo.

Nimetoa mfano huo kutahadharisha kuwa suala linaloonekana kuwa la 'positive affirmative action' halitaweza kuleta suluhu. Badala ya kutaja namba na asilimia, watafiti wanatakiwa waangalie factors nyingine kama je, kuna mwamko wa elimu na kama siyo kwanini. Je, kuna wanafunzi wa kutosha kama siyo kwanini.Je, kuna mazingira mazuri yakuvutia walimu, kama siyo ni kwanini. Je wanafunzi wanamaliza shule? Je, kwanini wanakatiza masomo?

Mwaka jana mkurugenzi wa halamshauri ya Kilwa alilalamika kuwa kuna shule ya sekondari imefungwa kwasababu hakuna wanafunzi. Hakuna wanafunzi ina maana hakuna mtoto darasani. Sio kuwa hawakufaulu, hata walioshindwa walibebwa lakini hawakutokea. Bado tunategemea kuwa baada ya miaka 6 tutakuwa na wanafunzi kutoka Kilwa wanaojiunga na chuo kikuu! kama hawapo tutakimbilia makabrasha na kutoa asilimia 17.

Watu hawaoni ukweli huu, wanatafuta mchawi kwa kumsingizia jirani. lah!

Kurukia namba bila tahthmini ni utafiti wa hali ya chini sana kwa msomi kuuwasilisha popote.
 
Kama unatambua thamani ya kuomba msamaha, basi kabla hujamshinikiza mwanakijiji kuomba msamaha unatakiwa uanze wewe kwa kuendekeza tabia ya kutukana tukana hapa jukwaani.

Kama kuna yoyote nimemtukana au anahisi tu kuwa nimemtukana naomba anisameh sana tena sana.
 
Baada ya kuomba huo msamaha kama nilivyoshauriwa, namshauri Mzee Mwanakijiji awaombe msamaha wanaukumbi si Waislaam pekee kwani kubandika Qur'an sivyo ni kupotosha wote kwa makusudi kabisa. Tusingemshtukia ingekuwa ndio kisha aminisha watu visivyo.
 
Wanajamvi, hivi nikiandika kitabu au kutoa makala gazetini inatosha kuwa ni ushahidi wa kweli kuhusu madai yatolewayo? Kwanini Mohamed hajibu maswali na anataka tuamini'reference' zake ni kweli. Ningemuelewa kama angekuwa anaambatanisha na nyaraka kama za chama au serikali. Anaposema soma hapa akaweka habari zile zile alizoandika inatisha.

Mkandara na Mwita Maranya na wengine wamelichambua suala la elimu na asilimia 17 kwa mantiki na kisomi. Kinachonishangaza ni kuwa Mohamed amegoma kutupa analysis ya hiyo asilimia ila anaamini na anaaminisha watu kuwa ni aslimia 17 bila hesabu yoyote.

Sina hakika kama amewahi kuishi sehemu zenye matatizo makubwa huko vijijini. Kama tutasema waislam walidhulumiwa, je wamang'ati, wamasai n.k nao watasemaje. Kwanini Mohamed haangalii matatizo yaliyopo sasa hivi katika shule za waislam kwanza kabla ya conclusion?

Nitawapa mfano mmoja. Nyerere alipewa offer na swahiba wake Fidel Castro kujenga shule nne kwa msaada wa CUBA.
Shule hizo ni Ruvu, Ifakara, Kilosa na Kibiti. Shule hizi zilichukua wanafunzi kwa mfumo wa ukanda. Kilosa ikichukua mikoa ya kaskazini, Ifakara nyanda za juu na Ruvu kanda ya ziwa na magharibi. Kibiti ikapewa kanda ya pwani, Tanga, Lindi, Mtwara na Dar es salaam.

Kilichonishangaza ni kuwa shule ya Kibiti wanafunzi wa pwani ima hawakuripoti shule au walikatiza masomo. 'Wajanja' walipogundua hilo wakahamishia watoto wao huko, matokeo yake watoto wote wakawa wanachaguliwa kutoka mkoa wa Pwani lakini si wenyeji wa huko.
Hapa nani alaumiwe? asiyetaka mwanawe aende shule au yule Mpare aliyeamua kuchukua nafasi ya ualimu kwenda Lindi(wakati huo kila mtu alikuwa anakimbia) ili aweze kusomesha watoto wake na wanduguze katika ushindani hafifu. Hili nina ushahidi nalo.

Nimetoa mfano huo kutahadharisha kuwa suala linaloonekana kuwa la 'positive affirmative action' halitaweza kuleta suluhu. Badala ya kutaja namba na asilimia, watafiti wanatakiwa waangalie factors nyingine kama je, kuna mwamko wa elimu na kama siyo kwanini. Je, kuna wanafunzi wa kutosha kama siyo kwanini.Je, kuna mazingira mazuri yakuvutia walimu, kama siyo ni kwanini. Je wanafunzi wanamaliza shule? Je, kwanini wanakatiza masomo?

Mwaka jana mkurugenzi wa halamshauri ya Kilwa alilalamika kuwa kuna shule ya sekondari imefungwa kwasababu hakuna wanafunzi. Hakuna wanafunzi ina maana hakuna mtoto darasani. Sio kuwa hawakufaulu, hata walioshindwa walibebwa lakini hawakutokea. Bado tunategemea kuwa baada ya miaka 6 tutakuwa na wanafunzi kutoka Kilwa wanaojiunga na chuo kikuu! kama hawapo tutakimbilia makabrasha na kutoa asilimia 17.

Watu hawaoni ukweli huu, wanatafuta mchawi kwa kumsingizia jirani. lah!

Kurukia namba bila tahthmini ni utafiti wa hali ya chini sana kwa msomi kuuwasilisha popote.

Nguruvi3,

Tutakuwa tunarudia mle kwa mle. Nimesema sisi huko unakotaka kuturudisha tumepita siku nyingi. Mimi sijaegemea katika makala kama ndiyo nguzo yangu.

Mimi nina "papers" hata ziko ngapo sijui ninazoziorodhesha ni zile nilizotoa vyuo vikuu kwa suala hili hililililopo jamvini.

Mimi nguzo yangu ni kitabu cha Abdu Sykes na nimekupeni changamoto na nyinyi andikeni michango ya wazee wenu tuisome kwani hamtoweza kunijibu kwa "paragraphs" katika JF.

Muda mnao Insha Allah angalau mnaweza mkatoa makala katika gazeti kama mimi tukawaachia waomaji waamue.

Mohamed
 
Tangu mwanzo Faizafoxy miye mwenyewe nimesema sina tatizo na Uislamu wala waislamu kwani kuna ndugu zangu wa damu moja ambao ni waislamu. Pia sina tatizo na wazee wa Gerezani kushiriki kwenye kupigania Uhuru wa Tanganyika, pia sikani kwamba mkondo mkuu wa Historia ya nchi hii haujawapa nafasi kubwa ya kutambuliwa mchango wao.

Tatizo langu na MS ni kwamba anasema hao wazee wake wa Gerezani walisahauliwa kwa sababu ya dini yao ya Kiislamu. Hapo ndipo ugomvi wangu ulipo!!

Kigarama huo ndio ukweli waliogopa historia nzima itajaa Waislam watupu. Lakini hilo lisikuhangaishe shughulika na yake walofanya na hayakusemwa katika historia rasmi tusonge mbele.

Mohamed
 
Tangu mwanzo Faizafoxy miye mwenyewe nimesema sina tatizo na Uislamu wala waislamu kwani kuna ndugu zangu wa damu moja ambao ni waislamu. Pia sina tatizo na wazee wa Gerezani kushiriki kwenye kupigania Uhuru wa Tanganyika, pia sikani kwamba mkondo mkuu wa Historia ya nchi hii haujawapa nafasi kubwa ya kutambuliwa mchango wao.

Tatizo langu na MS ni kwamba anasema hao wazee wake wa Gerezani walisahauliwa kwa sababu ya dini yao ya Kiislamu. Hapo ndipo ugomvi wangu ulipo!!

Iwe walisahauliwa kwa sababu zozote uzipendazo. Jee, leo imekuwa ni vibaya Mohamed Said kuwakumbuka na kuweka historia yao kama walivyo? Na au unaweza kutupa sababu za wao kusahauliwa? Ikiwa wao ndio waasisi wa vyama vyote AA, TAA na TANU ambavyo ni chimbuko la harakati za Wananchi kudai madaraka?

Naona mpaka sasa tumekubaliana kuwa hakuna ubishi kuwa hawa wazee anaowaelezea Mohamed Said, ni kweli walikuwa waasisi wa harakati za kudai madaraka. Hakuna ubishi katika hilo na wala hakuna ubishi kwa nyadhifa na harakati zao kama zinavyoelezwa.

Sasa kama wewe una hoja mbadala iweke wazi tuichambuwe. Na kama Mohamed Said kafanya kosa katika kuandika kwake tunaomba tuwekee hapa hiyo mistari ya makosa. Mohamed Said yupo hapa, ni muandishi wa historia wa kwanza anaeweka Historia Tanzania, kuandika na kutetea maandiko yake kwenye mtandao kwa siku kadhaa sasa. Hiyo pia ni Historia "in the making" akitokea mwengine yoyote akafanya kama afanyavyo Mohamed Said itakuwa kafata nyayo.

Weka mistari ya Mohamed Said inayofanya umuone kakosea, na yeye yupo hapa tunamuomba asubiri kuijibu.
 
Ahsante kwa kunipa sifa njema.

Kwani hata hii nchi inaongozwa kwa kutumia nini? Soma preface ya Mwembechai Killings umsikie Nyerere anajibu nini alipoulizwa, alisema anatumia "Gospel of Jesus", sasa hicho ni nini?

Gospel of Jesus? Ndio gani hiyo? labda ulitaka kusema gospel according to... na hata hivyo hakuna gospel according to jesus. za mbayuwayu unachanganya na zako dadangu!
 

Jasusi,

Swali je, imewezekana kupuuzwa?
Jibu hapana.

Leo historia hii niliyoandika imekuwa maarufu.
Katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru makala zangu za historia hii ndizo zilizopamba gazeti la Mwananchi na kwa hakika zimefungua macho wengi.

Hilo moja pili baada ya kutoka kitabu nimelikwa kwingi ndani na nje ya nchi kuzungumza.


Kweli mtu anaweza kujilazimisha kukataa ukweli huu lakini mambo yamebadilika sana. Tanzania ile si hii. Waislam wanajiangalia upya kila kuchao.

Mohamed

Ndugu Moh, mimi ndiyo nimejuwa kwa mara ya kwanza kwamba Chief Songea alikuwa mwislaam! Pili nilisikitishwa sana aliposema kwamba kumbukumbu nyingi za nchi hii zimefutwa mpaka kwenye microfilms - hii imenikumbusha vitabu fulani nilivyo wahi kusoma kuhusu URUSI wakati wa utawala wa Stalin naye alikuwa na tabia hii hii ya ajabu, sasa kama mabo ya ajabu kama hayo yalikuwa yanafanyika katika Taifa letu - nani alikuwa anahidhinisha ufutwaji wa historia ya kweli ya nchi hii, mimi nina uhakika watu walio husika na vitu kama hivyo baadhi yao wako hai, je roho zao zinawasuta kwa kiasi gani?

Kuna mengi ambayo niliwahi kuhadithiwa na kuyasikia kutoka kwa watu walito kuwa wanajuwa mambo mengi kuhusu nchi hii, mmoja wao alikuwa BABA yangu mzazi aliye wahi kumfundisha Julius K. Nyerere pale TABORA, na wakati Nyerere alipo kwenda Makerere wakati wa likizo alikuwa na kawaida ya kupitia pale Bwiru Sekondary kumtembelea nadhani mjomba ua ndugu yake aliyekuwa anafundisha na Baba pale BWIRU kwa hiyo fulsa hiyo ilikuwa inampa Baba ya kumuelewa vyema Kambarage-kuna mambo mengi abayo siwezi kuya andaka hapa mpaka hapo baadae.

Mtu wa pili alikuwa na marehemu mzee Zuberi Mtemvu huyu aliyawahi kuja nyumbani kwetu na akalala pale siku mbili nilikuwa nawasikia walichokuwa wanazungumza na baba na wageni wengine, mzee Mtemvu alikuwa amefuatana na baba yake au Mjomba wake Titi Mohamed sikumbuki vizuri, mzee Mtemvu alikuwa ni binadamu aliye kuwa na busara nyingi na alikuwa anaona mbali SANA alikuwa na analytical mind hisiyo yakawaida, we sema tataizo lake alikuwa anakula pilipili SANA sijuhi hizo ndizo zilikuwa zinamfanya achangamke akili(joke).

Mtu mwingine ni Dr. Kyaruzi naye alikuwa nayake na kwa kuwa walikuwa wanaelewana sana na Baba yangu naye alimweleza mengi mzee wangu kuhusu Taifa letu, mwingine niliyewahi kumuona lakini sikuzungumza naye kwa kuwa nilikuwa mdongo alikuwa anaitwa mzee Ali Migeyo lakini yeye alikuwa anataka aitwe ALI MATATA na katika waslaamu niliyo wahi kuona mzee huyu alikuwa jasiri sana na a good orator, siyo kwa nia mbaya alikuwa anawapeleka puta wakoloni.

Sasa nikiona watu humu wako hell bent kumsema vibaya Mohamend Saidi, as if nimuahani au sijuhi kavunja miiko gani nashindwa kuwaelewa, yeye amesema anayo yajuwa kuhusu taifa letu, kama kuna mwingine ana ya kwake ya keueleza ayaleta hapa jamvini tumsikilize, siyo kuanza kumuhita majina ya kila aina na wakati mwingine kutisha watu eti umoja wetu utatoweka sijuhi vita vitazuka kufuatia makala zake; waytu wanachezea saikolojia - to instill FEAR hili mtoa makala aogope kusema ukweli, hizi ndizo mbinu ninazo ona zinatumika humu, mimi natoka kanda ya ziwa na najuwa kilicho kuwa kinaendelea huko laini huwezi ku-water down juhudi za wenzetu hawa wa Dar-Es-Salaam- yaani impression ninayo pata ni as if jamam wa gerezani walikuwa ni watu wa vijiweni tu ambao hawakuwa na DIRA! Hiyo si kweli, kusema eti TAA alikuwa confined DSM si kweli- nimesoma humu mtu anasema Bomani sijuhi kafanya nini, mbona kwenye kingereza wanasema Bomani alikuwa anajishighulisha zaida na mambo ya ushirika wakina Sykes ndio walimshtua ili ajiunge na harakati za ukombozi, Skyes alikuwa nanakwenda mpaka huko kanda ya ziwa. Kinacho takiwa kufanywa ni ku-compile historia nzima ya kweli kuhusu nchi yetu na watu walio husika watajwe majina hata kama ni ya Kislaam yatajwe, kwa nini tanashikwaga na kigugumizi inapokuja kutaja mazuri yaliyo fanywa na waislaam, kwa nini? Watu mnataka kutuletelea vurugu zisizo na mantiki nchini kwa kukandamiza waslaam kwa nini? wasikilizeni malalamiko yao na myafanyie kazi, na malalamiko yao yana ukweli, msilete mambo ya kuwabeza beza hapa. Nchi hii ikivurugika kwa viangozi kukosa kuona mbali hakuna atakaye salimika, na kurudisha amani kutatu-cost an arm and LEG.
 
Ndugu Moh, mimi ndiyo nimejuwa kwa mara ya kwanza kwamba Chief Songea alikuwa mwislaam! Pili nilisikitishwa sana aliposema kwamba kumbukumbu nyingi za nchi hii zimefutwa mpaka kwenye microfilms - hii imenikumbusha vitabu fulani nilivyo wahi kusoma kuhusu URUSI wakati wa utawala wa Stalin naye alikuwa na tabia hii hii ya ajabu, sasa kama mabo ya ajabu kama hayo yalikuwa yanafanyika katika Taifa letu - nani alikuwa anahidhinisha ufutwaji wa historia ya kweli ya nchi hii, mimi nina uhakika watu walio husika na vitu kama hivyo baadhi yao wako hai, je roho zao zinawasuta kwa kiasi gani?

Kuna mengi ambayo niliwahi kuhadithiwa na kuyasikia kutoka kwa watu walito kuwa wanajuwa mambo mengi kuhusu nchi hii, mmoja wao alikuwa BABA yangu mzazi aliye wahi kumfundisha Julius K. Nyerere pale TABORA, na wakati Nyerere alipo kwenda Makerere wakati wa likizo alikuwa na kawaida ya kupitia pale Bwiru Sekondary kumtembelea nadhani mjomba ua ndugu yake aliyekuwa anafundisha na Baba pale BWIRU kwa hiyo fulsa hiyo ilikuwa inampa Baba ya kumuelewa vyema Kambarage-kuna mambo mengi abayo siwezi kuya andaka hapa mpaka hapo baadae.

Mtu wa pili alikuwa na marehemu mzee Zuberi Mtemvu huyu aliyawahi kuja nyumbani kwetu na akalala pale siku mbili nilikuwa nawasikia walichokuwa wanazungumza na baba na wageni wengine, mzee Mtemvu alikuwa amefuatana na baba yake au Mjomba wake Titi Mohamed sikumbuki vizuri, mzee Mtemvu alikuwa ni binadamu aliye kuwa na busara nyingi na alikuwa anaona mbali SANA alikuwa na analytical mind hisiyo yakawaida, we sema tataizo lake alikuwa anakula pilipili SANA sijuhi hizo ndizo zilikuwa zinamfanya achangamke akili(joke).

Mtu mwingine ni Dr. Kyaruzi naye alikuwa nayake na kwa kuwa walikuwa wanaelewana sana na Baba yangu naye alimweleza mengi mzee wangu kuhusu Taifa letu, mwingine niliyewahi kumuona lakini sikuzungumza naye kwa kuwa nilikuwa mdongo alikuwa anaitwa mzee Ali Migeyo lakini yeye alikuwa anataka aitwe ALI MATATA na katika waslaamu niliyo wahi kuona mzee huyu alikuwa jasiri sana na a good orator, siyo kwa nia mbaya alikuwa anawapeleka puta wakoloni.

Sasa nikiona watu humu wako hell bent kumsema vibaya Mohamend Saidi, as if nimuahani au sijuhi kavunja miiko gani nashindwa kuwaelewa, yeye amesema anayo yajuwa kuhusu taifa letu, kama kuna mwingine ana ya kwake ya keueleza ayaleta hapa jamvini tumsikilize, siyo kuanza kumuhita majina ya kila aina na wakati mwingine kutisha watu eti umoja wetu utatoweka sijuhi vita vitazuka kufuatia makala zake; waytu wanachezea saikolojia - to instill FEAR hili mtoa makala aogope kusema ukweli, hizi ndizo mbinu ninazo ona zinatumika humu, mimi natoka kanda ya ziwa na najuwa kilicho kuwa kinaendelea huko laini huwezi ku-water down juhudi za wenzetu hawa wa Dar-Es-Salaam- yaani impression ninayo pata ni as if jamam wa gerezani walikuwa ni watu wa vijiweni tu ambao hawakuwa na DIRA! Hiyo si kweli, kusema eti TAA alikuwa confined DSM si kweli- nimesoma humu mtu anasema Bomani sijuhi kafanya nini, mbona kwenye kingereza wanasema Bomani alikuwa anajishighulisha zaida na mambo ya ushirika wakina Sykes ndio walimshtua ili ajiunge na harakati za ukombozi, Skyes alikuwa nanakwenda mpaka huko kanda ya ziwa. Kinacho takiwa kufanywa ni ku-compile historia nzima ya kweli kuhusu nchi yetu na watu walio husika watajwe majina hata kama ni ya Kislaam yatajwe, kwa nini tanashikwaga na kigugumizi inapokuja kutaja mazuri yaliyo fanywa na waislaam, kwa nini? Watu mnataka kutuletelea vurugu zisizo na mantiki nchini kwa kukandamiza waslaam kwa nini? wasikilizeni malalamiko yao na myafanyie kazi, na malalamiko yao yana ukweli, msilete mambo ya kuwabeza beza hapa. Nchi hii ikivurugika kwa viangozi kukosa kuona mbali hakuna atakaye salimika, na kurudisha amani kutatu-cost an arm and LEG.

Bukyagandi,

Kwani hufahamu fearmongering is a technic to stop someone from searching the truth??? Walianza na siasa kali kipindi cha mwinyi, wakahamia mujahidina kipindi cha mkapa, siku hizi wadini ijapokuwa haina nguvu sana kwasababu wao wenyewe wamejigundua ndio wadini number 1. Mwishoe wanaishia kutishana (fear mongering). Hii ni hatua ya mwisho kwani kinachofuatia baada ya hapo ni kushindwa kwa hoja. Vumulia mkuu kama una nondo shusha. Ndio maana Mohamed Said amewaomba kama kuna wazee wao wanahisi wamesahauliwa waandike basi historia yao tuisome tuifahamu vyenginevyo wakae kimya tu wamwache mzee wetu atembee kwenye bahari ya historia.
 
Gospel of Jesus? Ndio gani hiyo? labda ulitaka kusema gospel according to... na hata hivyo hakuna gospel according to jesus. za mbayuwayu unachanganya na zako dadangu!

Bahati mbaya kwa sasa nipo kwenye simu ya mkono. Lakini ukirejea hizi posts vizuri utaona kuwa hayo ni maneno ya Nyerere na yamenukuliwa kwenye gazeti tena la nje na reference zimewekwa. Kama kukosea alikosea Nyerere na si mimi, upo hapo ulipo?
 
Ndugu Moh, mimi ndiyo nimejuwa kwa mara ya kwanza kwamba Chief Songea alikuwa mwislaam! Pili nilisikitishwa sana aliposema kwamba kumbukumbu nyingi za nchi hii zimefutwa mpaka kwenye microfilms - hii imenikumbusha vitabu fulani nilivyo wahi kusoma kuhusu URUSI wakati wa utawala wa Stalin naye alikuwa na tabia hii hii ya ajabu, sasa kama mabo ya ajabu kama hayo yalikuwa yanafanyika katika Taifa letu - nani alikuwa anahidhinisha ufutwaji wa historia ya kweli ya nchi hii, mimi nina uhakika watu walio husika na vitu kama hivyo baadhi yao wako hai, je roho zao zinawasuta kwa kiasi gani?

Kuna mengi ambayo niliwahi kuhadithiwa na kuyasikia kutoka kwa watu walito kuwa wanajuwa mambo mengi kuhusu nchi hii, mmoja wao alikuwa BABA yangu mzazi aliye wahi kumfundisha Julius K. Nyerere pale TABORA, na wakati Nyerere alipo kwenda Makerere wakati wa likizo alikuwa na kawaida ya kupitia pale Bwiru Sekondary kumtembelea nadhani mjomba ua ndugu yake aliyekuwa anafundisha na Baba pale BWIRU kwa hiyo fulsa hiyo ilikuwa inampa Baba ya kumuelewa vyema Kambarage-kuna mambo mengi abayo siwezi kuya andaka hapa mpaka hapo baadae.

Mtu wa pili alikuwa na marehemu mzee Zuberi Mtemvu huyu aliyawahi kuja nyumbani kwetu na akalala pale siku mbili nilikuwa nawasikia walichokuwa wanazungumza na baba na wageni wengine, mzee Mtemvu alikuwa amefuatana na baba yake au Mjomba wake Titi Mohamed sikumbuki vizuri, mzee Mtemvu alikuwa ni binadamu aliye kuwa na busara nyingi na alikuwa anaona mbali SANA alikuwa na analytical mind hisiyo yakawaida, we sema tataizo lake alikuwa anakula pilipili SANA sijuhi hizo ndizo zilikuwa zinamfanya achangamke akili(joke).

Mtu mwingine ni Dr. Kyaruzi naye alikuwa nayake na kwa kuwa walikuwa wanaelewana sana na Baba yangu naye alimweleza mengi mzee wangu kuhusu Taifa letu, mwingine niliyewahi kumuona lakini sikuzungumza naye kwa kuwa nilikuwa mdongo alikuwa anaitwa mzee Ali Migeyo lakini yeye alikuwa anataka aitwe ALI MATATA na katika waslaamu niliyo wahi kuona mzee huyu alikuwa jasiri sana na a good orator, siyo kwa nia mbaya alikuwa anawapeleka puta wakoloni.

Sasa nikiona watu humu wako hell bent kumsema vibaya Mohamend Saidi, as if nimuahani au sijuhi kavunja miiko gani nashindwa kuwaelewa, yeye amesema anayo yajuwa kuhusu taifa letu, kama kuna mwingine ana ya kwake ya keueleza ayaleta hapa jamvini tumsikilize, siyo kuanza kumuhita majina ya kila aina na wakati mwingine kutisha watu eti umoja wetu utatoweka sijuhi vita vitazuka kufuatia makala zake; waytu wanachezea saikolojia - to instill FEAR hili mtoa makala aogope kusema ukweli, hizi ndizo mbinu ninazo ona zinatumika humu, mimi natoka kanda ya ziwa na najuwa kilicho kuwa kinaendelea huko laini huwezi ku-water down juhudi za wenzetu hawa wa Dar-Es-Salaam- yaani impression ninayo pata ni as if jamam wa gerezani walikuwa ni watu wa vijiweni tu ambao hawakuwa na DIRA! Hiyo si kweli, kusema eti TAA alikuwa confined DSM si kweli- nimesoma humu mtu anasema Bomani sijuhi kafanya nini, mbona kwenye kingereza wanasema Bomani alikuwa anajishighulisha zaida na mambo ya ushirika wakina Sykes ndio walimshtua ili ajiunge na harakati za ukombozi, Skyes alikuwa nanakwenda mpaka huko kanda ya ziwa. Kinacho takiwa kufanywa ni ku-compile historia nzima ya kweli kuhusu nchi yetu na watu walio husika watajwe majina hata kama ni ya Kislaam yatajwe, kwa nini tanashikwaga na kigugumizi inapokuja kutaja mazuri yaliyo fanywa na waislaam, kwa nini? Watu mnataka kutuletelea vurugu zisizo na mantiki nchini kwa kukandamiza waslaam kwa nini? wasikilizeni malalamiko yao na myafanyie kazi, na malalamiko yao yana ukweli, msilete mambo ya kuwabeza beza hapa. Nchi hii ikivurugika kwa viangozi kukosa kuona mbali hakuna atakaye salimika, na kurudisha amani kutatu-cost an arm and LEG.

Mkwawa vilevile alikuwa Muislam na alikuwa na ndugu yake ambae alikuwa mmoja wa makamanda wake akiitwa Yusuf.

Mohamed
 
Ukisikia vita vya MajiMaji na ukisikia Wakristo walikuwa wakipigana upande wa Wageni hapo ndio utaanza kupata picha ya MfumoKristo ukoje. Upo tayari kuwakandamiza na kuwagawa wananchi kwa jina la ukristo. Uzalendo uko wapi?
 
Ukisikia vita vya MajiMaji na ukisikia Wakristo walikuwa wakipigana upande wa Wageni hapo ndio utaanza kupata picha ya MfumoKristo ukoje. Upo tayari kuwakandamiza na kuwagawa wananchi kwa jina la ukristo. Uzalendo uko wapi?

FF,

Ndiyo maana ukitaja Uislam na harakti za kupigania uhuru wa Tanganyika hawapendi kwa sababu historia hii inawaweka katika kundi la wale waliosimama kuupa nguvu ukoloni.

Sasa tuwaulize akina Nguruvi, Mwanakijiji, Jasusi, Wild Card na mfano wa hao kwa nini wazee wenu walikuwa upande wa wakoloni?

Mohamed
 

Mkwawa vilevile alikuwa Muislam na alikuwa na ndugu yake ambae alikuwa mmoja wa makamanda wake akiitwa Yusuf.

Mohamed
Natokana na Ukoo wa kina Muyinga hili la Mkwavinyika (MKWAWA) kuwa muislamu hakika si kweli kabisa. Baba yake Mkwawa, Mnyigumba ambaye kaburi lake liko pale Lungemba hakuwahi kuwa muislamu. Uislamu Kalenga makao makuu ya Mkwawa uliletwa na wanubi na Wamanyema ambao walikuja na Mjerumani kumpiga Mkwawa. Baada ya mkwawa Kujinyonga pale Kikongoma ndipo wajerumani wakaweka kikosi cha askari wao pale Kalenga ambao wengi wao walikuwa ni Wamanyema na wanubi na kwa upande wa dini walikuwa ni waislamu.

Kama FaizaFoxy anavyoshangaa wakristo kuwasaidia wajerumani kumpiga Kinjeketile ndivyo waslamu walivyowasaidia wajerumani kumpiga Mkwawa. Hawa tunaowaona kama "wakristo" au "waislamu" walikuja Afrika kwa maslahi yao na wala si maslahi ya waafrika. Kwa hili la Mkwawa kwamba alikuwa Muislamu husemi ukweli.

Kwenye ukoo wa kina Mkwawa wapo wakristo na waislamu na hii inatokana na ukweli wa migawanyiko kwenye ukoo wenyewe tngu mkwawa akiwa hai.
 
UOTE=Kigarama;2729584]Natokana na Ukoo wa kina Muyinga hili la Mkwavinyika (MKWAWA) kuwa muislamu hakika si kweli kabisa. Baba yake Mkwawa, Mnyigumba ambaye kaburi lake liko pale Lungemba hakuwahi kuwa muislamu. Uislamu Kalenga makao makuu ya Mkwawa uliletwa na wanubi na Wamanyema ambao walikuja na Mjerumani kumpiga Mkwawa. Baada ya mkwawa Kujinyonga pale Kikongoma ndipo wajerumani wakaweka kikosi cha askari wao pale Kalenga ambao wengi wao walikuwa ni Wamanyema na wanubi na kwa upande wa dini walikuwa ni waislamu.

Kama FaizaFoxy anavyoshangaa wakristo kuwasaidia wajerumani kumpiga Kinjeketile ndivyo waslamu walivyowasaidia wajerumani kumpiga Mkwawa. Hawa tunaowaona kama "wakristo" au "waislamu" walikuja Afrika kwa maslahi yao na wala si maslahi ya waafrika. Kwa hili la Mkwawa kwamba alikuwa Muislamu husemi ukweli.

Kwenye ukoo wa kina Mkwawa wapo wakristo na waislamu na hii inatokana na ukweli wa migawanyiko kwenye ukoo wenyewe tngu mkwawa akiwa hai.[/QUOTE]

Mkuu,
kwa kiasi gani una uhakika na haya maneno yako?
Kwa kusoma vitabu au unawajua hawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom