Historia ya Sarafu Yetu Tanzania

daaaaaah
ebana somo ni tam mnoooo kwakwel tumetoka mbali mno kumbe enzi hizo fedha zetu zilikuwa na thaman sana wandugu
najiulza sana kwann mpaka leo bado tuko hapa??
 
Kuanzia mwaka 1998, sarafu yetu ilikuwa imara tena na haijatolewa sarafu nyingine mpya kwa karibu miaka tisa sasa. Mpaka sasa sarafu kubwa zinazotumika ni zile za shillingi 50, 100 na 200 zionekazo hapa chini:

Shilingi 50
shilling50_1996.jpg

Shilingi 100
shillingi100_1994.jpg

Shilingi 200
tan-p3a.jpg

Hata hivyo, sarafu zote zilizowahi kutolewa na benki kuu ya Tanzania bado ni halali ingawa ama hazipatikani tena kwenye mzunguko au zimashekuwa na thamani ndogo kiasi kuwa zinahitajika nyingi sana ili kufanya manunuzi ya aina yoyote. Katika historia ya benki kuu, hakuna sarafu yake iliyowahi kufutwa.

Usisahau kusoma Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania
Swali langu ni je!! Kwann fedha hizo zinatafutwa gharama kubwa sana
 
Kuanzia mwaka 1998, sarafu yetu ilikuwa imara tena na haijatolewa sarafu nyingine mpya kwa karibu miaka tisa sasa. Mpaka sasa sarafu kubwa zinazotumika ni zile za shillingi 50, 100 na 200 zionekazo hapa chini:

Shilingi 50
shilling50_1996.jpg

Shilingi 100
shillingi100_1994.jpg

Shilingi 200
tan-p3a.jpg

Hata hivyo, sarafu zote zilizowahi kutolewa na benki kuu ya Tanzania bado ni halali ingawa ama hazipatikani tena kwenye mzunguko au zimashekuwa na thamani ndogo kiasi kuwa zinahitajika nyingi sana ili kufanya manunuzi ya aina yoyote. Katika historia ya benki kuu, hakuna sarafu yake iliyowahi kufutwa.

Usisahau kusoma Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania
Asante sana kwa kutupa historia ya sarafu yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waingereza walipaswa watuambukize kutumia Pounds.... Sasa Hivi tungekuwa tunaita "Tanzanian Pounds"


All in all Mkuu, umetoa bonge la lecture... Safi
 
Back
Top Bottom