Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,444
Hiyo namba 6 naona kuna baharia ametoa na reference kabisa kutoka kwa baharia Mwana FA
Hivi Don Clericuzio wewe sio baharia e?
Hivi Don Clericuzio wewe sio baharia e?
Tunapo kutana mabaharia kujadili inshu zetu, wewe jinsia ya KE pita kimya kimyaHiyo namba 6 naona kuna baharia ametoa na reference kabisa kutoka kwa baharia Mwana FA
Hivi Don Clericuzio wewe sio baharia e?
View attachment 1202885
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aende jikoni kupikaTunapo kutana ma baharia kujadili inshu zetu, wewe jinsia ya KE pita kimya kimya
Tunapo kutana ma baharia kujadili inshu zetu, wewe jinsia ya KE pita kimya kimya
aende jikoni kupika
Hakunaga baharia kimbele mbele,wewe ni jinsia ya kiume...sio baharia
Naomba usibishe
Hiyo namba 6 naona kuna baharia ametoa na reference kabisa kutoka kwa baharia Mwana FA
Hivi Don Clericuzio wewe sio baharia e?
View attachment 1202885
Na wewe ni baharia?
Vyovyote utakavyo niita wewe..... ila hiyo ni moja ya kanuni yetu mabaharia tunapo kutana katika mazungumzo jinsia ya KE huruhusiwi kutia neno wewe nenda jikoni kapike.
Haina TV NDANI!
Ubaharia unaelekea kua ufala
boraHapana. Mm ni Gentle man
Captain Jack SparowMabaharia tupo vizuriView attachment 1201919
au anapika ugali mgumu mboga ni ugali laini, pia anaweza kula ugali mkubwa na mboga ni ugali mdogoBaharia ni yule mwanaume tu anayeweza pika ugali bila mboga, akaamua kuula ugali wake kwa chumvi
dekio la kudeki gereza la uvinza hahahahaha lBaharia popote alipo lazima anajijua yeye ni baharia, haihitaji mpaka aelezwe sifa au vigezo vya ubaharia.
mimi siku ya kwanza nakutana na neno baharia, niliviona vigezo vyote vya kuitwa baharia ninavyo.
Mfano vigezo moja wapo vya ubaharia.
1- baharia kama baharia lazima uwe mzama uvinza