Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Huu uzi utakuwa wa kuleta updates zote za mabaharia,naona mods wameunganisha uzi wangu
Once a baharia always a baharia
Once a baharia always a baharia
New port, new wife.baharia mi ndo natoa nanga,leo naenda kupaki meli ambiance sinza
Once a baharia always a bahariaView attachment 1206667
tiliza wenge tahira wewe,mbona unakuwa kama sio shoga wewe?? hayo mavi ya mama ako au we kitobo nini
Once a baharia always a baharia
so what????Unachoandika na unavyoandika inakutafsiri wewe ni nani
there you areNew port, new wife.
Msimbe weweMbwembwe zikizidi mnabore sasa
baharia anzisha uziDaaaaa baharia hii mikasa (maana ninayo zaidi ya mmoja) kimsingj inahitaji uzi wake wa kujitegemea baharia!
Ila kifupi, mm hawa single mazas ndio huwa mapigo yangu, si wasumbufu na huwa wana adabu, akikuachia huwa anakuachia cha ela yote baharia maana huwa anakuona ww kama mtetezi wake kihisia na kimahusiano!
We penda na kuwajali mtoto/watoto wake tu baharia.........ukifanya hivyo matunda utayaona!
Cha mwisho, single mazas huwa ni watamu sana baharia!
Msimbe wewe
MsimbeMpari wewe
Imeelewek iyoMiaka ya nyuma watu walikuwa wakijiita masela kutokana na kuwaiga watu waliokuwa wamepanda meli na kwenda ulaya.
Sailor "msela" ni mfanyakazi wa meli ambaye sio ofisa au baharia wa kawaida.
Huyu ni mtu ambaye alikuwa amesafiri sana na meli kipindi hicho.
Ambapo walikuwa wakirudi Tanzania wanakuja na vitu vya thamani kama cheni,saa,viatu na nguo. Pia walipenda kuninginiza cheni na miondoko yao ilikuwa ni ya kutembea kwa kudunda kutokana na kuishi kwenye meli ambapo muda mwingi walikuwa wakivaa safety booty kubwa na ile hali ya chombo kuyumba kutokana na wimbi.
Kipindi cha sasa vijana wengi wanajiita "Baharia" hii ni kutokana na mabaharia kuwa watu wa kusafiri kila eneo, kusaidiana,kuweka kambi popote na kwenye mahusiano baharia kuwa na mahusiano ya kimapenzi kila sehemu atayofika ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakitumia msemo wa "New Port, New Wife".
Hii imepelekea sasa vijana wengi mtaani na kwenye kada mbalimbali kutumia neno la baharia au kujiita baharia.
View attachment 1165954Mfahamu Baharia wa meli, Idara za meli na nafasi za mabaharia katika meli
Baharia (Seafare) ni mfanyakazi yeyote katika meli. Katika meli kuna mabaharia ambao ni maofisa (Officers) na ambao si maofisa(Crew). Meli ina idara kuu 3 kulingana na mgawanyo wa majukumu na vitengo. 1.DECK DEPARTMENT (Kuongoza meli) 2.ENGINE DEPARTMENT (Wahandisi wa meli) 3.CATERING...www.jamiiforums.com