UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,511
- 7,705
Mkuu, ebu angalia hii video ya Eng Kakoko akielezea juu ya majadiliano ya serikali na wawekezaji ili upate picha nzuri.Mimi sijui kama kweli Magufuli aliona taarifa hizo, kwa sababu hawa waliopo sasa wao hawazizungumzii kabisa, na kwa kweli litakuwa jambo la kushangaza sana ikitokea kwamba masharti hayo ndiyo kweli yatakayotumika katika ujenzi wa mradi huo. Sijui hawa viongozi watajificha wapi ikigundukika kwamba matakwa yaliyokataliwa na Magufuli, wao wameyakubali.
Ingewezekana hawa viongozi wakawa wawazi juu ya mradi huo ingependeza zaidi.
Kama link yangu siyo active basi search YouTube 'Kakoko babdari ya bagamoyo' utaipata.