*Elimu bure
*Madawati
*Ujenzi
*Miundombinu
*Ukiritimba.nk
TGazeti la jamvi la habari leo juma tatu katika makala yake ya kuchambua mafanikio 12 aliyo yapata Rais Joseph John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka miwili ya madaraka yake wameanza na elimu
ikumbukwe kwa Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyelele alituambia ujinga ni moja kati ya maadui zetu wakubwa kama Taifa ili kuweza kulikomboa Taifa ni razima tuukatae ujinga
Na njia pekee ya kukataa ujinga ni kupita elimu ndio maaana utaona serikali zote zilizo pita ziliwekeza na kuipigia kelele elimu
Ras JPM amefanikiwa kwa kiasi kikubwa na anaendelea kufananikiwa kupamabana na Adui huyu Ujinga kwa kiasi kikubwa kutoaka na jitihada zake katika kutatua changamoto zinazo ikumba secta ya elimu
Mara tu alipo ingia madarakani alianza na elimu bure hii ni kumsaidia hata mtoto wa mkulima kupata haki za kusomeshwa na serikali mpka ngazi ya kidato cha sita kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kutimiza ndoto za masikini wengi walio kata tamaa na shule
katika kampeni zake alisema elimu ya juu haita kuwa bure ila nitaweka mazingira rafiki kwa wanafunzi kwa hili wanavyuo vikuu vyote watakuwa mashaidi Rais JPM alipo ingia madarakani idadi ya wanufaika iliongezeka na mwaka huu imeongezeka zaidi na kiasi cha shillingi billion 147 zimetegwa kwaajiri ya mikopo ya wanufaika wotefadhali Hakikisha unasoma Gazeti lako Makini la JAMVI LA HABARI leo.*
Unamaanisha wenye mawazo mbadala au???Wa kupinga watapinga.
Ndo hao haswaUnamaanisha wenye mawazo mbadala au???
Hadithi haiko balanced, pia bado matumizi ya R na L katika uandishi limekuwa ni tatzo sugu.Gazeti la jamvi la habari leo juma tatu katika makala yake ya kuchambua mafanikio 12 aliyo yapata Rais Joseph John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka miwili ya madaraka yake wameanza na elimu
ikumbukwe kwa Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyelele alituambia ujinga ni moja kati ya maadui zetu wakubwa kama Taifa ili kuweza kulikomboa Taifa ni razima tuukatae ujinga
Na njia pekee ya kukataa ujinga ni kupita elimu ndio maaana utaona serikali zote zilizo pita ziliwekeza na kuipigia kelele elimu
Ras JPM amefanikiwa kwa kiasi kikubwa na anaendelea kufananikiwa kupamabana na Adui huyu Ujinga kwa kiasi kikubwa kutoaka na jitihada zake katika kutatua changamoto zinazo ikumba secta ya elimu
Mara tu alipo ingia madarakani alianza na elimu bure hii ni kumsaidia hata mtoto wa mkulima kupata haki za kusomeshwa na serikali mpka ngazi ya kidato cha sita kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kutimiza ndoto za masikini wengi walio kata tamaa na shule
katika kampeni zake alisema elimu ya juu haita kuwa bure ila nitaweka mazingira rafiki kwa wanafunzi kwa hili wanavyuo vikuu vyote watakuwa mashaidi Rais JPM alipo ingia madarakani idadi ya wanufaika iliongezeka na mwaka huu imeongezeka zaidi na kiasi cha shillingi billion 147 zimetegwa kwaajiri ya mikopo ya wanufaika wote
*Elimu bure
*Madawati
*Ujenzi
*Miundombinu
*Ukiritimba.nk
Tafadhali Hakikisha unasoma Gazeti lako Makini la JAMVI LA HABARI leo.*
kuunyamazisha upinzani kwa namna yeyote hata kwa ....
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga