Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Shekhe ponda according to Kova ni mcheza karate maarufu hapa mjini....
Jiulize maswali haya,
1.wewe umeshapigwa risasi ngp?
2.umeshafungwa mara ngp hvo vifungo vya ndani na nje kwa ajili ya kutetea amani na uislamu wenu?
Kama hapana, je,wewe c pamoja na ponda?
HUYO BWANA NI GAIDI TU KAMA MAGAIDI WENGINE NA NDIO MAANA AMEPITA KTK MATATZO HAYO.
Waislaam hasa hawamtambui huyu Gaidi PONDA! Bali wenye njaa na msongo wa maisha wanamshabikia wakijua watafaidika ktk VURUGU zitakazotokea kama kupora ....... hakuna upande utakaoshindaJiulize maswali haya,
1.wewe umeshapigwa risasi ngp?
2.umeshafungwa mara ngp hvo vifungo vya ndani na nje kwa ajili ya kutetea amani na uislamu wenu?
Kama hapana, je,wewe c pamoja na ponda?
HUYO BWANA NI GAIDI TU KAMA MAGAIDI WENGINE NA NDIO MAANA AMEPITA KTK MATATZO HAYO.
tutakutafuta tukoonyeshe ugaid ulivyo.<kfl>
Sheikh PONDA ni kielelezo cha kutetea haki ambayo ikiwepo amani itakuwepo hivyo sheikh Ponda ni mtetezi wa amani
Lipumba anamuandaa kuwa mgombea mwenza 2015Huyu ndie anaandaliwa kuwa kiongozi wa chama kimoja cha siasa!!!!
Shk.Ponda tunakuombea nafuu na Salaama Salmini yako kwanza,
Uwe msomi au uwe mweny elimu ya misingi hayo hayatuhusu tunakupongeza kwa kutetea haki za wanyonge na UJASIRI wako wakupenda usawa kwa jamii. umezaliwa hapa na mwisho wako mwema uwe hapahapa na PEPO ferdausi (paradaisoo)
ikufungukie milango yote nawe uwe shahid. Jamaani Mwzi/Mungu ni mwema na mwadilifu kamnusuru shk.Ponda KATIKA HALI isiyoelezeka kwa maneno ya kawaida. Allahu akbar
Mkuu mpendwa Kashi, Nao waloathirika tunawatakia uponyi wa haraka na uzima warudi salam salumini makazini.
Nasikitika kukuambia Shk.Ponda huwa habebagi hata kijichupa cha maji ya kunywa (kilimanjaro)!!
Yeye humwaga lugha tu. Maudhui ya T/kali uliza wanaSiasa na waku wakereketwa wa viyama nchini.
Jiulize maswali haya,
1.wewe umeshapigwa risasi ngp?
2.umeshafungwa mara ngp hvo vifungo vya ndani na nje kwa ajili ya kutetea amani na uislamu wenu?
Kama hapana, je,wewe c pamoja na ponda?
HUYO BWANA NI GAIDI TU KAMA MAGAIDI WENGINE NA NDIO MAANA AMEPITA KTK MATATZO HAYO.
Yes LR, Sijasahau siyo 7 wewee ni 70 na wengine ni vijakazi wao !! Jamenii the jihadist wanaPepo yao peke.umesaau mabikra saba wanamngoja huko mbinguni
Mbona shehe Hemed bin Simba alisema huyu Shehe Ponda hana hata elimu ya dini ya kiislamu?ila katika ilimu ya dini ndiyo kidogo kabobea.