TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Uzushi kila siku uzushi tu, hivi unafahamu Historia ya
Raisi wako wa awamu ya Tatu? Je yule Mzanaki!
Msumari huo unachoma,utawataja mbaka wakoroni!
Uzushi kila siku uzushi tu, hivi unafahamu Historia ya
Raisi wako wa awamu ya Tatu? Je yule Mzanaki!
Chanzo cha chabari hizi kinaanza kwa kueleza kuwa, imebainika kuwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda si raia wa Tanzania.
Uchunguzi uliofanywa na chanzo hiki nchini Burundi, Kigoma na taarifa za uhakika kutoka idara ya Uhamiaji na vyombo mbali mbali vya dola umebaini kuwababa yake Ponda mzee Issa Ponda alizaliwa mwaka 1921, na kuishi eneo la Rumonge barabara ya 6, nyumba namba 31, Bujumbura nchini Burundi, na kuhamia nchini mwaka 1957.
Mzee Issa Ponda alifikia ujiji, kwenye mji wa Ball (hivi sasa Kawawa) na kupokewa na mtanzania abaye baadaye alikuja kuwa mjomba wake Ponda anayeitwa Iddy Matata. Mara baada ya kahamia kwenye mji huo na kupewa kiwanja na mzee Matata mzee Issa ndipo alipomuoa Mariam Ally Kassa (huyu ndiye mama wa Shehe Issa Ponda) na alimzaa Shehe Ponda Mwaka 1958.......
Hiimijitu inakuw kama miskule fulani hivi....!!!!kama ponda ndio chanzo cha vurugu,sasa kawanini wanpiga kelele pale watu wanaposema chadema ifutwe????ponda anadai haki za waislam kama inavyojitambulisha chadema.Waislam na wenyewe wameona kweli kuna haja ya kuwa karibu na ponda na kushirikiana nao kwenye kudai haki zao...ndio maana watu mamia kwa maelfu wanamkubali ponda.Haya majitu yanayoitwa wa kristo ni watu waahajabu sana...mbona hata siku moja hawajawahi kukemea maandamano ya cdm,ndio kwanza wanawapa support!!!!viwanda vya uongo vinafanya kazi, kwanini wasipeleke taarifa uhamiaji?
Hayo ni magazeti uchwara, habari haziko balanced, hazijawahoji wahusika wakiri au kukanusha wanayo tuhumiwa nayo.
Chanzo cha chabari hizi kinaanza kwa kueleza kuwa, imebainika kuwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda si raia wa Tanzania.
Uchunguzi uliofanywa na chanzo hiki nchini Burundi, Kigoma na taarifa za uhakika kutoka idara ya Uhamiaji na vyombo mbali mbali vya dola umebaini kuwababa yake Ponda mzee Issa Ponda alizaliwa mwaka 1921, na kuishi eneo la Rumonge barabara ya 6, nyumba namba 31, Bujumbura nchini Burundi, na kuhamia nchini mwaka 1957.
Mzee Issa Ponda alifikia ujiji, kwenye mji wa Ball (hivi sasa Kawawa) na kupokewa na mtanzania abaye baadaye alikuja kuwa mjomba wake Ponda anayeitwa Iddy Matata. Mara baada ya kahamia kwenye mji huo na kupewa kiwanja na mzee Matata mzee Issa ndipo alipomuoa Mariam Ally Kassa (huyu ndiye mama wa Shehe Issa Ponda) na alimzaa Shehe Ponda Mwaka 1958.
Taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa, mzee Ponda baada ya kuoa na kupata mtoto, alianza kutafuta namna ya kuzoeleka kwenye eneo alilokuwa anaishi ili aonekane ni mzaliwa wa Tanzania na alifanikiwa kwa hilo hadi akagombea udiwani uliodumu kuanzia mwaka 1964 hadi 1965.
Taarifa za uhamiaji zinaonyesha kuwa, Ponda ambaye alipata elimu yake ya msingi Kigoma na kuishia darasa la saba, hakuwai kuukana uraia wake kama sheria ya uhamiaji inavyoelekeza, kwa hiyo bado anatambulika kama raia wa Burundi.
Hata hivyo Sheikh Ponda kwa kutumia njia anazozijua (njia za panya), mwaka 1995 alpohamia njini Dar es salaam akitokea Kigoma alikuwa anafanya biashara, alaipata hati ya kusafiria namba A0143978 (nakala chanzo cha habari kinayo) iliyotolewa Juni mwaka 1995 kwa jina la Pondamali Issa Pondamali ambayo ilitakiwa kuisha 21, June mwaka 2000, ingawa aliongezewa muda hadi 2005, na inaonyesha anuani yake ya posta ni 21842 Kigoma namba ya simu ni 21842.
Sheikh Ponda aliamia Dar es salaam baada ya tukio la kupigwa risasi mguuni na polisi wakati akisafirisha magendo ziwa Tanganyika kati ya Tanzania na Burundi, ambapo duru za kiusalama zinaonyesha kuwa, alipelekwa kwa gari hadi Mwanza na kisha kwa ndege mpaka jijini Dar es salaam na kuojiwa na aliyekuwa afisa upelelezi pamoja na aliyekuwa mkuu wa usalama wa taifa wakati huo Haidery Zuberi kabla ya kuachiwa (Ponda).
Sheikh Ponda pia amewahi kuhusishwa na uuzaji wa madawa yaliyokwisha muda wake na mara kadhaa amekamatwa akijaribu kuyavusha kuelekea nchi jirani.
Sheikh na kundi lake ni wanasadikika kutumiwa na vyama fulani vya kisiasa ili kuanzisha vurugu na uvunjifu wa amani nchini, Sheikh Ponda pamoja na wenzake walikutana 7, Septemba kwenye msikiti wa kichangani (TIC), Magomeni Mpipa jijini Dar es salaam na 8, septemba kwenye msikiti wa Mtambani Kinondoni na kupanga namna ya kufanikisha vurugu hizo, pamoja na mkakati wa kumung'oa Mufti wa Tanzania Sheikh mkuu Shabani Bin Simba.
Wanaomfahamu vizuri Ponda wameishauri idara ya uhamiaji kumrudisha kwao Burundi kwa kuwa ni kinara wa vurugu na uvunjifu wa amani hapa nchini.
Chanzo cha habari ni gazeti la Afrika leo la Jumatano Septemba 12-18, 2012 Toleo namba 60.
Katika gazeti la Kiislamu la safina la tarehe 7, Septemba 2012 toleo namba 25, lineeleza kuwa Ponda analo genge linalomfadhili limempa ponda hadhi ya usheikh licha ya kujua kuwa hastihili kuwa sheikh.
Nanukuu: Gazeti moja linalojiweka mbele katika kudai haki za waislamu limekuwa likiandika habari zake si kwa kuwasilina naye bali kwa kupitia kumbukumbu za zamani tu.
Katika kuhakikisha malengo yao yanafanikiwa genge hili limempa Ponda, hadhi ya Sheikh wa kiislamu licha ya kujua fika kwamba Ponda si sheikh hana elimu ya dini inayompa hadhi hiyo. Baadhi ya watu wanadai sheikh huyu hajamaliza hata juzuu 30 zinzzokamilisha msahafu wa qu'raan licha ya kutojua masomo mengine yanayomfanya mtu afikie kiwango cha usheikh, kama Figh na kadhalika.
Mwisho wa kunukuu.
Tuangalie kwa ufupi mtu anayeitwa Farid Had
Farid Had ni kiongozi wa kikundi cha uhamsho au genge la vurugu na machafuko Zanzibar ambalo wengi wa wafuasi wake ni watu kutoka Pemba wenye kuutukuza uarabu. Ni mtu anayemwataka Wazanzibar wjiondoe kwenye muungano. Lakini wazanzibar wanafikiri ni mwenzao kumbe sivyo. Farid Had ana uraia wa mchi mbili, kinyume na katiba ya nchi yetu.
Yupo mtu aliyesema aliwahi kukutana na Farid kwenye mkusanyiko mmoja wa wanadini wa kiislamu nchini Mauritania akiwa anawakilisha si Zanzibar wala Tanzania, bali aliwakilisha nchi ya Oman. Hakuna anayejua mtanzania aliwezaje kupata nafasi ya kuwakilisha Oman nje ya nchi yake lakini hayo yanasemwa na sina shaka kama hayapo yanakuja, maana pafukapo moshi usikanyage moto upo.
Huyo ndiye bwana Farid Had.
tena Ponda ni mtanganyika,maana tanzania imemkuta akiwa mkubwa tu,sisi wengine ndio sio watanzania wala sio watanganyika maana vyote tumevikuta vikiwa tayari vimeanza.....Ooh, Ok.
Ndio kusema 1958 alizaliwa Tanganyika ......tena kabla ya uhuru wa 1961, na kabla ya muungano wa 1964 uliozaa nchi ya Tanzania?
viwanda vya uongo vinafanya kazi, kwanini wasipeleke taarifa uhamiaji?
kuna watu wamekuwa wakieneza propaganda kuwa elimu ni ziada tu katika uelewa bali kuna watu wenye vipaji.Duh! Kumbe Ponda ni darasa la saba!!Ndio maana ufahamu wake ni mdogo
viwanda vya uongo vinafanya kazi, kwanini wasipeleke taarifa uhamiaji?
Hayo ni magazeti uchwara, habari haziko balanced, hazijawahoji wahusika wakiri au kukanusha wanayo tuhumiwa nayo.
Kama habari hii ni ya uhakika, kwa nini serikali isimrudishe Pona nchi ni kwake??? Na huyo Farida arudishwe kwake Omani??Chanzo cha chabari hizi kinaanza kwa kueleza kuwa, imebainika kuwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda si raia wa Tanzania.
Uchunguzi uliofanywa na chanzo hiki nchini Burundi, Kigoma na taarifa za uhakika kutoka idara ya Uhamiaji na vyombo mbali mbali vya dola umebaini kuwababa yake Ponda mzee Issa Ponda alizaliwa mwaka 1921, na kuishi eneo la Rumonge barabara ya 6, nyumba namba 31, Bujumbura nchini Burundi, na kuhamia nchini mwaka 1957.
Mzee Issa Ponda alifikia ujiji, kwenye mji wa Ball (hivi sasa Kawawa) na kupokewa na mtanzania abaye baadaye alikuja kuwa mjomba wake Ponda anayeitwa Iddy Matata. Mara baada ya kahamia kwenye mji huo na kupewa kiwanja na mzee Matata mzee Issa ndipo alipomuoa Mariam Ally Kassa (huyu ndiye mama wa Shehe Issa Ponda) na alimzaa Shehe Ponda Mwaka 1958.
Taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa, mzee Ponda baada ya kuoa na kupata mtoto, alianza kutafuta namna ya kuzoeleka kwenye eneo alilokuwa anaishi ili aonekane ni mzaliwa wa Tanzania na alifanikiwa kwa hilo hadi akagombea udiwani uliodumu kuanzia mwaka 1964 hadi 1965.
Taarifa za uhamiaji zinaonyesha kuwa, Ponda ambaye alipata elimu yake ya msingi Kigoma na kuishia darasa la saba, hakuwai kuukana uraia wake kama sheria ya uhamiaji inavyoelekeza, kwa hiyo bado anatambulika kama raia wa Burundi.
Hata hivyo Sheikh Ponda kwa kutumia njia anazozijua (njia za panya), mwaka 1995 alpohamia njini Dar es salaam akitokea Kigoma alikuwa anafanya biashara, alaipata hati ya kusafiria namba A0143978 (nakala chanzo cha habari kinayo) iliyotolewa Juni mwaka 1995 kwa jina la Pondamali Issa Pondamali ambayo ilitakiwa kuisha 21, June mwaka 2000, ingawa aliongezewa muda hadi 2005, na inaonyesha anuani yake ya posta ni 21842 Kigoma namba ya simu ni 21842.
Sheikh Ponda aliamia Dar es salaam baada ya tukio la kupigwa risasi mguuni na polisi wakati akisafirisha magendo ziwa Tanganyika kati ya Tanzania na Burundi, ambapo duru za kiusalama zinaonyesha kuwa, alipelekwa kwa gari hadi Mwanza na kisha kwa ndege mpaka jijini Dar es salaam na kuojiwa na aliyekuwa afisa upelelezi pamoja na aliyekuwa mkuu wa usalama wa taifa wakati huo Haidery Zuberi kabla ya kuachiwa (Ponda).
Sheikh Ponda pia amewahi kuhusishwa na uuzaji wa madawa yaliyokwisha muda wake na mara kadhaa amekamatwa akijaribu kuyavusha kuelekea nchi jirani.
Sheikh na kundi lake ni wanasadikika kutumiwa na vyama fulani vya kisiasa ili kuanzisha vurugu na uvunjifu wa amani nchini, Sheikh Ponda pamoja na wenzake walikutana 7, Septemba kwenye msikiti wa kichangani (TIC), Magomeni Mpipa jijini Dar es salaam na 8, septemba kwenye msikiti wa Mtambani Kinondoni na kupanga namna ya kufanikisha vurugu hizo, pamoja na mkakati wa kumung'oa Mufti wa Tanzania Sheikh mkuu Shabani Bin Simba.
Wanaomfahamu vizuri Ponda wameishauri idara ya uhamiaji kumrudisha kwao Burundi kwa kuwa ni kinara wa vurugu na uvunjifu wa amani hapa nchini.
Chanzo cha habari ni gazeti la Afrika leo la Jumatano Septemba 12-18, 2012 Toleo namba 60.
Katika gazeti la Kiislamu la safina la tarehe 7, Septemba 2012 toleo namba 25, lineeleza kuwa Ponda analo genge linalomfadhili limempa ponda hadhi ya usheikh licha ya kujua kuwa hastihili kuwa sheikh.
Nanukuu: Gazeti moja linalojiweka mbele katika kudai haki za waislamu limekuwa likiandika habari zake si kwa kuwasilina naye bali kwa kupitia kumbukumbu za zamani tu.
Katika kuhakikisha malengo yao yanafanikiwa genge hili limempa Ponda, hadhi ya Sheikh wa kiislamu licha ya kujua fika kwamba Ponda si sheikh hana elimu ya dini inayompa hadhi hiyo. Baadhi ya watu wanadai sheikh huyu hajamaliza hata juzuu 30 zinzzokamilisha msahafu wa qu'raan licha ya kutojua masomo mengine yanayomfanya mtu afikie kiwango cha usheikh, kama Figh na kadhalika.
Mwisho wa kunukuu.
Tuangalie kwa ufupi mtu anayeitwa Farid Had
Farid Had ni kiongozi wa kikundi cha uhamsho au genge la vurugu na machafuko Zanzibar ambalo wengi wa wafuasi wake ni watu kutoka Pemba wenye kuutukuza uarabu. Ni mtu anayemwataka Wazanzibar wjiondoe kwenye muungano. Lakini wazanzibar wanafikiri ni mwenzao kumbe sivyo. Farid Had ana uraia wa mchi mbili, kinyume na katiba ya nchi yetu.
Yupo mtu aliyesema aliwahi kukutana na Farid kwenye mkusanyiko mmoja wa wanadini wa kiislamu nchini Mauritania akiwa anawakilisha si Zanzibar wala Tanzania, bali aliwakilisha nchi ya Oman. Hakuna anayejua mtanzania aliwezaje kupata nafasi ya kuwakilisha Oman nje ya nchi yake lakini hayo yanasemwa na sina shaka kama hayapo yanakuja, maana pafukapo moshi usikanyage moto upo.
Huyo ndiye bwana Farid Had.