chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,718
Habari zenu JF
mimi ni mmoja wa watumiaji wa sarafu za kidigital kwa jina crypto currency.
Nitapenda kutoa historia ya kwa nini kuanzishwa sarafu hizi ni ilikuwa kwa ajili ya nini na kwa sababu hipi.
Tuna fahamu tokea dunia kuanza mpaka kufika leo mifumo mingi ya malipo ilianza kwa kubadilishana vitu kwa vitu,madini kwa vitu mpaka kufikia njia za pesa tunazo zitumia mpaka leo.
Hila kutokana na dunia kubadilika na wakati leo tuna kitu kinaitwa mfumo wa kidigitali wa pesa ambao leo tuna tumia kwa njia kama za m-pesa,tigo pesa,airtel money, paypal na bank account mobile vyote hivi vina tuweka kwenye mfumo wa kumiliki pesa kidigitali.
Historia ya crypto currency:
Kutokana na watu kuumiza vichwa ni nini mbeleni dunia inataka kulingana na maendeleo yake tuje kwenye upande wa kipesa na malipo. Nchi nyingi pesa zao zinakuwa na nguvu kutokana na kitu kinaitwa Reserve currency(backup currency)
Reserve currency (backup currency):
ni sarafu ya kigeni ambayo inashikiliwa kwa kiasi kikubwa na benki kuu au mamlaka nyingine za fedha kama sehemu ya hifadhi zao za fedha za kigeni. Sarafu ya akiba inaweza kutumika katika shughuli za kimataifa, uwekezaji wa kimataifa na nyanja zote za uchumi wa dunia.
KIUFUPI:
Jambo ambalo limefanya kuanzishwa sarafu hizi za kidigitali ni kwa sababu ya kuunganisha dunia kuwa na mfumo wa mmoja ambao utakuwa na sarafu moja ambayo hiyo sarafu unaweza kutumia kokote duniani kulingana na thamani ya pesa ya nchi yako.
Sarafu ambazo zilianza kuingizwa ilikuwa ni bitcoin
Nini maana bitcoin
Ni mfumo wa malipo dijitali ambao unatumiwa na mamilioni ya watu bila msimamizi wa juu kama Benki Kuu ilivyo katika nchi mbalimbali. Sarafu hiyo huweza kutumika kwa kubadilishana na sarafu nyingine, bidhaa au huduma.
Bitcoin wakati inaanzishwa walitengeneza sarafu ambazo idadi yake ni milioni 21 na matarajio ya kutengeneza bitcoin nyengine mpya ifikapo mwaka 2114,ndio bitcoin zitaongezwa kuendeleza idadi ya bitcoin zilipo fikia.
Wamiliki wa bitocoin mpaka sasa idadi yao ni 18,903,837.5. na data zinavo sema kila siku wanunuaji wa bitcoin kwa siku zina nunuliwa bitcoin 900 kwa siku.
Mpaka mwaka 2021 idadi ya bitcoin ambazo azijanunuliwa ni milioni 2 makadilio.
Bitcoin ilianza kwa thamani ya dola 0.06 mwaka 2010 kwa bitcoin moja.ilikuwa ngumu watu kukubali aina mpya ya pesa hizi kwa sababu ilikuwa bado ijakubalika kufikia mwaka 2015 bitcoin ilianza kupanda kufikia bitcoin 1 =$190.
2016 1= $360
2017 1=$775
2018 1=$3,214
2019 1=$3,385
2020 1=$4,106
2021 1=$28,624
Na kipindi cha mwaka huu bitcoin 2021 ilifikia kupanda 1= $ 64000 ila kwa sasa imefikia usd 45000.
Wanufaika wa sarafu za kigeni ni wengi hata hapa nchini kwetu wapo vijana na wazee walioweza kuliona hili.
Sarafu za kigeni ndio njia mpya ya malipo kwa sasa ya kulipa na kulipwa na pia njia ambayo inatumika kama kuwekeza hisa ya baadae ya thamani ya sarafu.
Makampuni mengi sasa yameshaanza kukubali mifumo hii na moja wapo kama tanzania ili kukabiliana na soko la dunia katika sarafu za kidigitali.
Sarafu za kidigital kwa sasa zinakadiliwa zipo aina zaidi ya 10000 kuendelea na kila siku zinazalishwa aina mpya za sarafu.
Bitcoin ina kadiliwa kuwa inashikilia asilimia 40 ya sarafu zote kutokana na thamani yake kubwa.
Mimi nimeanza kuwekeza ili zikiisha bitcoin niwe nazo kama hisa
View attachment 2048335
mimi ni mmoja wa watumiaji wa sarafu za kidigital kwa jina crypto currency.
Nitapenda kutoa historia ya kwa nini kuanzishwa sarafu hizi ni ilikuwa kwa ajili ya nini na kwa sababu hipi.
Tuna fahamu tokea dunia kuanza mpaka kufika leo mifumo mingi ya malipo ilianza kwa kubadilishana vitu kwa vitu,madini kwa vitu mpaka kufikia njia za pesa tunazo zitumia mpaka leo.
Hila kutokana na dunia kubadilika na wakati leo tuna kitu kinaitwa mfumo wa kidigitali wa pesa ambao leo tuna tumia kwa njia kama za m-pesa,tigo pesa,airtel money, paypal na bank account mobile vyote hivi vina tuweka kwenye mfumo wa kumiliki pesa kidigitali.
Historia ya crypto currency:
Kutokana na watu kuumiza vichwa ni nini mbeleni dunia inataka kulingana na maendeleo yake tuje kwenye upande wa kipesa na malipo. Nchi nyingi pesa zao zinakuwa na nguvu kutokana na kitu kinaitwa Reserve currency(backup currency)
Reserve currency (backup currency):
ni sarafu ya kigeni ambayo inashikiliwa kwa kiasi kikubwa na benki kuu au mamlaka nyingine za fedha kama sehemu ya hifadhi zao za fedha za kigeni. Sarafu ya akiba inaweza kutumika katika shughuli za kimataifa, uwekezaji wa kimataifa na nyanja zote za uchumi wa dunia.
KIUFUPI:
Jambo ambalo limefanya kuanzishwa sarafu hizi za kidigitali ni kwa sababu ya kuunganisha dunia kuwa na mfumo wa mmoja ambao utakuwa na sarafu moja ambayo hiyo sarafu unaweza kutumia kokote duniani kulingana na thamani ya pesa ya nchi yako.
Sarafu ambazo zilianza kuingizwa ilikuwa ni bitcoin
Nini maana bitcoin
Ni mfumo wa malipo dijitali ambao unatumiwa na mamilioni ya watu bila msimamizi wa juu kama Benki Kuu ilivyo katika nchi mbalimbali. Sarafu hiyo huweza kutumika kwa kubadilishana na sarafu nyingine, bidhaa au huduma.
Bitcoin wakati inaanzishwa walitengeneza sarafu ambazo idadi yake ni milioni 21 na matarajio ya kutengeneza bitcoin nyengine mpya ifikapo mwaka 2114,ndio bitcoin zitaongezwa kuendeleza idadi ya bitcoin zilipo fikia.
Wamiliki wa bitocoin mpaka sasa idadi yao ni 18,903,837.5. na data zinavo sema kila siku wanunuaji wa bitcoin kwa siku zina nunuliwa bitcoin 900 kwa siku.
Mpaka mwaka 2021 idadi ya bitcoin ambazo azijanunuliwa ni milioni 2 makadilio.
Bitcoin ilianza kwa thamani ya dola 0.06 mwaka 2010 kwa bitcoin moja.ilikuwa ngumu watu kukubali aina mpya ya pesa hizi kwa sababu ilikuwa bado ijakubalika kufikia mwaka 2015 bitcoin ilianza kupanda kufikia bitcoin 1 =$190.
2016 1= $360
2017 1=$775
2018 1=$3,214
2019 1=$3,385
2020 1=$4,106
2021 1=$28,624
Na kipindi cha mwaka huu bitcoin 2021 ilifikia kupanda 1= $ 64000 ila kwa sasa imefikia usd 45000.
Wanufaika wa sarafu za kigeni ni wengi hata hapa nchini kwetu wapo vijana na wazee walioweza kuliona hili.
Sarafu za kigeni ndio njia mpya ya malipo kwa sasa ya kulipa na kulipwa na pia njia ambayo inatumika kama kuwekeza hisa ya baadae ya thamani ya sarafu.
Makampuni mengi sasa yameshaanza kukubali mifumo hii na moja wapo kama tanzania ili kukabiliana na soko la dunia katika sarafu za kidigitali.
Sarafu za kidigital kwa sasa zinakadiliwa zipo aina zaidi ya 10000 kuendelea na kila siku zinazalishwa aina mpya za sarafu.
Bitcoin ina kadiliwa kuwa inashikilia asilimia 40 ya sarafu zote kutokana na thamani yake kubwa.
Mimi nimeanza kuwekeza ili zikiisha bitcoin niwe nazo kama hisa
View attachment 2048335