Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
sijui kwa nini sikuuona huu Uzi angalau 2015 Leo ningekuwa binge la millionaire
1 bitcoin ni zaidi ya TZS 20mmy question is nawezaje kuzipata bitcoins...???
i heard recently zimepanda sana thamani 1 bitcoin is equal to 1200 usd's kama sikosei
Wakuu,
Katika pita pita zangu nikakutana na hii kitu inayoitwa BITCOIN. Kwamba unaweka hela afu kila siku unakuwa unapata angalau asilimia kumi ya hela uloweka. Kabla ya kuweka hela yangu naomba kwa mwenye kujua anijibu maswali haya:
1. Haina chembechembe zozote za utapeli?
2. Ukishaweka hela yako inaanza kuzaa baada ya mda gani?
3. Unaruhusiwa kutoa kila siku hela inayoingia kama faida?
Muwe munasoma Timeline ya uzi kabla ya kujibu.1 bitcoin ni zaidi ya TZS 20m
Shukran mkuu, ila hii nilisha achana nayokUNA SCAMS NA LEGIT WEBSITES.......90%+ ni scams......ila ukipatia ni biashara nzuri sana...mi nilianza nayo 2017...nimepigwa pigwa lakini nilipoipatia sasa si haba
NB: 1 BITCOIN = 21M kwa leo
Kiranga ungekua tajiri wa dunia leo hiiI bought some 50$ worth of bitcoin in 2009, but I lost my encryption key. How do I access my bitcoin account and cash?
Patience paysSi walionywa lakini tangu mwanzo kuhusiana na hii sarafu. Acha waisome namba
Na sasa ni 59100 as we speakNa sasa ni 14,000 usd as we speak
YesWill it reach 13,000 before next year or re-rate?
And 11 years later here we are BTC is valued around $59212And 7 years later here we are BTC is valued around $9212
Niliposti 2017!
SOMA KWANZA HIVO VITU,KISHA MENGINE YOTE YATAFUATAOk kuna ndugu yangu anataka kunitumia pesa sasa naweza kutumia localbitcoin au?
Sawa mkuuSOMA KWANZA HIVO VITU,KISHA MENGINE YOTE YATAFUATA
Mkuu unaweza kutupa ujuzi kidogo wa kufungua account localbitcoin,Mkuu, kuna sehem nyingi za kununua Bitcoins, unaweza kununua kwa kutumia debit card yako, lakini mara nyingi ukitumia credit card au debit card inachukua siku nyingi mpaka uje kupata bitcoins zako, njia rahisi kama unataka kununua ingia localbitcoins.com utakuta wauzaji wengi, bei tofauti na njia mbalimbali za malipo, mimi huwa nalipia kwa westernunion ndani ya dakika 20 muuzaji ananipatia coins zangu. Bei inabadilika siku hadi siku, juzi ilipanda mpaka $1300 kwa BTC moja, leo imesimamia $950 kwa hiyo unaponunua kuwa mwangalifu, nunua siku unapoona imeshuka kama hivi, mimi huwa nanunua wakati wa crisis na kuuza inapopanda.
Mkuu yaani wakati Bitcoin inauzwa hio Bei ulikuwepo .Mkuu, kuna sehem nyingi za kununua Bitcoins, unaweza kununua kwa kutumia debit card yako, lakini mara nyingi ukitumia credit card au debit card inachukua siku nyingi mpaka uje kupata bitcoins zako, njia rahisi kama unataka kununua ingia localbitcoins.com utakuta wauzaji wengi, bei tofauti na njia mbalimbali za malipo, mimi huwa nalipia kwa westernunion ndani ya dakika 20 muuzaji ananipatia coins zangu. Bei inabadilika siku hadi siku, juzi ilipanda mpaka $1300 kwa BTC moja, leo imesimamia $950 kwa hiyo unaponunua kuwa mwangalifu, nunua siku unapoona imeshuka kama hivi, mimi huwa nanunua wakati wa crisis na kuuza inapopanda.
Ni rahisi sana kama kuhesabu 1, 2,3. Tumia link hii kusajili account yako ndani dakika chache sana na urahisi
Boss hii ni kama unavyofungua account yako ya facebook au ulivyo jiunga Jf.Ni rahisi sana kama kuhesabu 1, 2,3. Tumia link hii kusajili account yako ndani dakika chache sana na urahisiMkuu nataka kununua bitcoin sijui kwa bongo hapa nitapata wapi cash ninayo na vipi nikitaka kuuza pia cash napataje?