Halafu amini usiamini; babangu alikuwa anasema amesoma na Azizi Ally wakati hata hiyo 1950 yenyewe alikuwa hajaliona hata jua!!Mkuu Maalim asante kwa simulizi hizi murua, nilikuwa napasikia tuu Mtoni kwa Aziz Ali, sikupata kumjua wala kumsikia mzee huyu!.
Tutafutie na habari za Musa Hassan wa jila la Msasani, na wazee wengine waliolipa jiji letu majina.
P
Najua wazee wetu ni wahongo kishenzi lakini babangu mimi kazidi aisee, dah!
Mkuu malcolm Lumumba, eti mzee wako alisoma na Kwame Nkhurumah na Bi. Mkubwa alikuwa shoga ake na Bibi Titi?!