jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Chama kikongwe AfricaMkuu CCM ni zaidi ya uijuavyo wamepita maraisi wengi na chama kinaendelea hata BWANA YULE nae atapita na CCM itabaki kuwepo kama ilivyokuwepo, Muda ni muamuzi mzuri sana.
Chama kikongwe AfricaMkuu CCM ni zaidi ya uijuavyo wamepita maraisi wengi na chama kinaendelea hata BWANA YULE nae atapita na CCM itabaki kuwepo kama ilivyokuwepo, Muda ni muamuzi mzuri sana.
Hapana hauko peke yako mi pia sijaelewa...nimetoka kapa!labda ndo kama ulivyosema uelewa wetu....mmmh nimejaribu kurudia kusoma ila bado sijaelewa lengo hasa la andiko lako ni nini!
anyway labda uelewa wangu mdogo
You are absolutely rightNdugu yangu Mjengwa, nyakati zote hizo ccm ilikuwa kitu kimoja na hakukuwa na chuki KUBWA miongoni mwa wanachama. Wanachama walijionea fahari kuitwa wanaccm, tofauti kabisa na enzi hii ya msukuma.
Kumponda nyalandu ndiyo order of the day kwa lumumba fc!!ila ndiyo hivyo tena wanaponda kiuoga uoga maana hata hawajiamini!mmmh nimejaribu kurudia kusoma ila bado sijaelewa lengo hasa la andiko lako ni nini!
anyway labda uelewa wangu mdogo
Ni wewe Maggid ndio umeandika hizi pumba au ni wale machotara wako umewaachia hii ID?Ndugu zangu,
Nimekumbushia hilo mara nyingi, kwamba historia ni Mwalimu Mzuri. Hata kama wengine mlikuwa hamjazaliwa, lakini, hakuna marufuku ya kusoma historia.
Tunapochambua haya yanayotokea sasa wengine wetu tunaitazama historia.
Ni ukweli wa kihistoria, kuwa CCM ni zaidi ya Chama, ni taasisi kubwa yenye kugusa maisha ya kila mmoja wetu, hata akiwa nje ya CCM.
Sio tu kwa kusoma historia, nina bahati ya kushuhudia miongo minne ya matukio makubwa ya kisiasa katika nchi hii nikiwa na ufahamu na kiu ya kujifunza.
Nimesoma matukio ya TANU kutikiswa kisiasa, zama za Mwalimu. Nimeshuhudia matukio ya CCM kutikiswa kisiasa, zama za Mzee Mwinyi. Vivyo hivyo kwenye zama za Mkapa na juzi tu Jakaya Kikwete.
Katika wote waliohama CCM na waliotarajiwa wangeitikisa CCM ikayumba sana ni Profesa Kighoma Ali Malima. Huyu alikuwa Waziri mwenye dhamana ya Hazina. Alikuwa msomi na mwenye ushawishi ndani ya Chama chake. Haya ya sasa, ingelikuwa enzi zile, Lazaro Nyalandu ingelikuwa ni jina maarufu kwenye vijiwe vya mtaani tu, wala si jina la kutisha ndani ya CCM.
Kwenye Daily News, Julai 17, 1995, iliripotiwa kama ifuatavyo:
" Aliyekuwa Waziri wa Fedha na Viwanda, Kighoma Ali Malima, ameondoka CCM na kujiunga na Chama chake kipya cha National Reconstruction Alliance ( NRA).
Malima alitangaza hayo kwenye mkutano mjini Tabora, na anatarajiwa kuwa mgombea Urais kupitia NRA." - Daily News, Julai 17, 1995.
Siku ya pili yake, Julai 18, 1995, Kwenye Daily News, Katibu Mwenezi wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru alilipotiwa akitoa kauli juu ya hatua hiyo ya Malima, kwa kutamka.
" Alichofanya Malima hakina maana yeyote kwa CCM!"
Ni nani anayejiuliza leo mchango wa Mzee Kingunge kwenye kutufikisha hapa?
Naam, historia ni Mwalimu Mzuri.
Maggid Mjengwa.
0688 37 36 52 ( Whatsapp)
Utaelewa vipi wakati wamepewa pesa za kuandika propaganda mitandaoni lakini wamejikuta wapo babeli.Hapana hauko peke yako mi pia sijaelewa...nimetoka kapa!labda ndo kama ulivyosema uelewa wetu....
Profesa Kigoma Malima=Horace Kolimba=Vifo vya utata. Anayeweza kuelezea zaidi atueleze.Katika wote waliohama CCM na waliotarajiwa wangeitikisa CCM ikayumba sana ni Profesa Kighoma Ali Malima. Huyu alikuwa Waziri mwenye dhamana ya Hazina. Alikuwa msomi na mwenye ushawishi ndani ya Chama chake.
Hakuna asiyejua upande wako Maggid
Pia usifananishe CCM ya miaka hiyo mpaka Kingunge akatamka hivyo na CCM ya awamu hii
CCM ya awamu hii kwanza iko vipande vipande pili iko hoi kisauti , mwenye sauti ni Mmoja tu.
Wanachama wengi sasahivi Hamna sauti mnagugumia kimya kimya.
Asante kwa ufafanuzi makini, tulimezeshwa matango pori.Naukumbuka sana huo mwaka ambao Malima aliondoka ccm, nina kumbuka sana hata maneno alio yasema Malima wakati anatoka ccm lakini pia ninakumbuka sana sababu ilio mfanya Malima kutoka ccm na pia kumbukumbu zangu bado zipo vizuri sana za sababu ya Malima kuachia nafasi yake ya uwaziri wa fedha na pia bado nina kumbuka hata mara baada ya kupata habari za kifo chake kule London, nilikua mwanafunzi A level na ulikua mwaka wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi Tanzania na nchi jirani yaani Malawi na Zambia walikua wamechagua upinzani kuongoza nchi zao miaka michache kabla yetu. Malima na Mrema waliondoka mwaka mmoja huko ccm, Malima hakutikisa kabisa ccm ila Mrema. Nakumbuka Mrema alivyo gombewa pia kuingia chama kipi; Chadema walimtaka (wakati huo Chadema wala haikua maarufu sana), UMD cha bwana Mtikila walimtaka but NCCR-Magezu ikiwa imesheheni wasomi ndio walimpata Mrema baada ya kukubaliana terms and conditions. Malima unampa sifa za BURE, hakua tishio nje ya ccm. MAlima aliondoka kwenye uwaziri kwa shinikizo while Mrema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ni la kitaalamu tu (alivunja siri za baraza la mawaziri na pia ile ya uwajibikaji wa pamoja) kimsingi hayo mambo walikua wanayajua wasomi tu. Malima Kighoma Ali hakua maarufu zaidi ya uswahiba wake na raia namba 1 wa wakati huo.
Mfundishe historia hajui uyo mtoto mdogo anataka makubwaNaukumbuka sana huo mwaka ambao Malima aliondoka ccm, nina kumbuka sana hata maneno alio yasema Malima wakati anatoka ccm lakini pia ninakumbuka sana sababu ilio mfanya Malima kutoka ccm na pia kumbukumbu zangu bado zipo vizuri sana za sababu ya Malima kuachia nafasi yake ya uwaziri wa fedha na pia bado nina kumbuka hata mara baada ya kupata habari za kifo chake kule London, nilikua mwanafunzi A level na ulikua mwaka wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi Tanzania na nchi jirani yaani Malawi na Zambia walikua wamechagua upinzani kuongoza nchi zao miaka michache kabla yetu. Malima na Mrema waliondoka mwaka mmoja huko ccm, Malima hakutikisa kabisa ccm ila Mrema. Nakumbuka Mrema alivyo gombewa pia kuingia chama kipi; Chadema walimtaka (wakati huo Chadema wala haikua maarufu sana), UMD cha bwana Mtikila walimtaka but NCCR-Magezu ikiwa imesheheni wasomi ndio walimpata Mrema baada ya kukubaliana terms and conditions. Malima unampa sifa za BURE, hakua tishio nje ya ccm. MAlima aliondoka kwenye uwaziri kwa shinikizo while Mrema aliondolewa uwaziri kwa kosa ambalo ni la kitaalamu tu (alivunja siri za baraza la mawaziri na pia ile ya uwajibikaji wa pamoja) kimsingi hayo mambo walikua wanayajua wasomi tu. Malima Kighoma Ali hakua maarufu zaidi ya uswahiba wake na raia namba 1 wa wakati huo.
maggid yuko sahihi
nyalandu hana impact kwa ccm, au haujaelewa?
hakika....hana impact yoyote akwende zakeNyalandu ni sawa na punje ya mtama kwenye gunia la mtama
Chama kikongwe Africa
Naamini ana impact na ndio maana mnahangaika sana kufungua threads za "kusema hana impact"maggid yuko sahihi
nyalandu hana impact kwa ccm, au haujaelewa?