stujadiliane
Member
- Jun 2, 2017
- 66
- 84
Nimewaza sana Juu ya watawala waliopita toka enzi za Biblia.Mfalme Sulemani anatajwa kwa hekima aliyopewa na Mungu.Mfalme Daudi anasifika kwa kumuua goliati na uhodari wake wa vita.Hata hivyo historia hakumuacha bila kutaja alivyo chukua Mke wakamanda wake huria
Historia haifi watu tunakufa.Niki kumbuka hilo na umiza kichwa changu Juu ya watawala wababe watukutu na wakatili nini ambacho Historia itakisema Juu ya utawala wao
Napenda kuwa kumbusha wanasiasa kuwa haijawai kutokea mahali popote mwanadamu akatawala milele maana yake akadumu malakani. Ayubu 14:10 biblia inasema mwanafamu hufa hufariki Dunia.ukumbuke kuwa lazima utakufa.
Hata kama umezingukwa na madaktari bingwa au majeshi na ndege za kivita iko siku utakufa .Je utaacha historia gani kwa vizazi vitavyo faata badala yako? Je kizazi cha tatu hadi cha kumi baada yako watasema nini wakiliona kaburi lako?
Namaliza kwa kuwakumbusha watawala watende mema waishi maisha ya haki.wahukumu kwa haki ili istoria iwaandike vema
Historia haifi watu tunakufa.Niki kumbuka hilo na umiza kichwa changu Juu ya watawala wababe watukutu na wakatili nini ambacho Historia itakisema Juu ya utawala wao
Napenda kuwa kumbusha wanasiasa kuwa haijawai kutokea mahali popote mwanadamu akatawala milele maana yake akadumu malakani. Ayubu 14:10 biblia inasema mwanafamu hufa hufariki Dunia.ukumbuke kuwa lazima utakufa.
Hata kama umezingukwa na madaktari bingwa au majeshi na ndege za kivita iko siku utakufa .Je utaacha historia gani kwa vizazi vitavyo faata badala yako? Je kizazi cha tatu hadi cha kumi baada yako watasema nini wakiliona kaburi lako?
Namaliza kwa kuwakumbusha watawala watende mema waishi maisha ya haki.wahukumu kwa haki ili istoria iwaandike vema