Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,989
- 103,373
Demokrasia ni swala la kipropaganda. Maswala halisi ya nchi sio propaganda. Demokrasia ni mchezo wa danganya toto. Ililetwa kutufunika macho ili ipatikane gap ya kupangiwa viongozi. Mataifa makini huandaa na kupanga vongozi wao kwa ndani kabisa. Kinachosemwa mkuu sicho kinachotokea au kufanyika katika hali halisi.
Unaelewa unachokisema au umelewa madaraka hivyo unaogopa kuyapoteza?