Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,949
- 103,302
Kwahiyo ni afadhali walibya haya wanayoyapitia sasa kuliko Gadaffi kuendelea kuwa madarakani?
Ndio,
Kwahiyo ni afadhali walibya haya wanayoyapitia sasa kuliko Gadaffi kuendelea kuwa madarakani?
Project yao ilikuwa ni kuufuta mfumo wa ki-dictator wa kicomunist, na kuweka mfumo wa kidemocrasia ya kibepari, nami naungana nao mfumo wa kijamaa ni wa ki-dictator na unachochea umasikini
Asante, kwa ukweli wako. Hivyo yeyote anayeshirikiana na hizo nchi ulizotaja hajali utu wala demokrasia?!Uzi wako ni wa uongo 100% mkuu.CIA wanaondoa viongozi wanaotawala kwa maslahi ya watu wao na kushirikiana na wale ambao wanashirikiana nao katika uporaji wa rasimali za watu wao.Kama wangekuwa wanajali democrasia kamwe wasingeshirikiana na Saudi Arabia wala Bahrain.Wamarekani wanachojali ni pesa,utu and the so called democracy is nothing to them.Ni danganya toto tu mkuu.
Uko sahihi kabisa mkuu.Asante, kwa ukweli wako. Hivyo yeyote anayeshirikiana na hizo nchi ulizotaja hajali utu wala demokrasia?!
We jamaa una kichwa kigumu sana, CIA ipo kwa ajili ya marekani hata wakimuweka huyo unayesema kiongozi wa wengi kama baadae ataenda tofauti nao nasi watamtoa tu! Yaan hawajali raisi awe dikteta au mwanademokrasia, wanachojali maslahi yao na marekani! Yaani uende nao sawaLakini maslahi yao kuondoa utawala wa mtu na kuweka uongozi wa wengi ni faida kwa wananchi kuliko labda hata maslahi yao kisiasa au kiuchumi, nchi hizi za kiafrika watawala wamezidi kuonea raia wengi wenye nchi wakilinda maslahi yao wachache, binafsi ningeomba CIA wasaidie kuondoa watawala wachache na wasaidie kusimika viongozi wa wengi kwa maslahi ya nchi zetu hizi.
Mkuu unataka kumlengaMnisaidie tafakuri hii, zama hizi hawa CIA, wanashindwa wapi, vipi na kwanini wamekuwa tofauti na huko miaka ya nyuma, tulisoma jinsi walivyokuwa wakiondoa makandokando nchi zetu hizi, juzi juzi walifanikiwa Iraq, na hata Libya, lakini Syria wanaelekea kukwama, huku kusini mwa jangwa la sahara ni kama hawajishughulishi kabisa, au hivi vilio vyetu havisikiki au havijawafikia au vimepuuzwa.
Kwanini wasifundishe vijana wa nchi hizi mbinu za kutekeleza hazima hizo wenyewe bila wao kushiriki ikiwa hawataki kuhusika au kuhusishwa.
Nchi zetu hizi sio priority zao, kwanini wamekuwa wakikosoa bila kutoa solution, binafsi ningependa hata watoe mafunzo yale kwa wazawa kuliko kuangalia mambo kwa mbali bila kusaidia kutatua.
Waliua madikteta nini kimewasibu, hadi kutokutekeleza haya tena?!
Sina cha kuongeza. Nilikuwa nimepanga kumpa elimu kama hii lakini umemaliza. CIA wapo kwa maslahi ya Marekani sio kwa maslahi ya watu wa Taifa lingine lolote. Labda kidogo UK kutokana na urafiki wa muda mrefu na historia yenyewe kwamba wengi wao wanatokea UK. mleta uzi go and re-do your assigment.Nani alikuwambia CIA wanataka viongozi waliochaguliwa kidemokrasia ?
1. Mobutu CIA project baada ya kumuua Patrick Lumumba
2. Sadam hussein CIA PROJECT
3. Fidel Marcos CIA Project
4. Charles Taylor CIA Project
5. Shah wa Iran CIA Project
6. Mwaka 1973 CIA walimuua Rais Allende wa Chile aliyechaguliwa kidemokrasia na kumweka dikteta Pinochet
Hao ni.baadhi tu
CIA gani hao waliweka viongozi wa kidemokrasia?? Hivi unajua raisi wa USA aliwahi kuomba msamaha kwa kilichotokea kwa Guetamala? Sina hakika kama unaijua Guetamala
2016 Obama aliomba radhi kwa walichokifanya Libya, na wanajutia kwa uamuzi ule wa kumuondoa Gadaffi
Karibu
Hatutaki vibaraka. Tumeshawashinda 2015; Ndio ulikuwa mwaka wa ushindi. Our minds have been opened now. We will be be implanting our leaders especially presidents. Tutapandikiza wenyewe, sio kusubiri kupandikiziwa.Kumbe watu wa aina mpo?!.
Yaani tuletewe vibaraka?!.
Wazalendo wa kweli wa taifa hili, tutakubali?.
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa kwa ku over stay?, kufuatia JPM anavyotetea rasilimali za nchi yetu tusiendelee kunyonywa, kufisadiwa...www.jamiiforums.com
P
Demokrasia ni swala la kipropaganda. Maswala halisi ya nchi sio propaganda. Demokrasia ni mchezo wa danganya toto. Ililetwa kutufunika macho ili ipatikane gap ya kupangiwa viongozi. Mataifa makini huandaa na kupanga vongozi wao kwa ndani kabisa. Kinachosemwa mkuu sicho kinachotokea au kufanyika katika hali halisi.Uko sahihi, je kinachoendelea sasa hivi ndani ya box la kura kwenye nchi yetu unaweza kusema viongozi wanapatikana kidemokrasia?
Ushauri wako ni mzuri.Kuna mtu nimemjibu hapo juu, kama huna sababu ya kugombana na hawa watu ni bora ukajikalia kimya na kuendelea kuongoza kwa hekima na busara kuliko kupiga mayoye na kuleta athari kwa jamii yako..
Mchina juzi hapa kajaribu kunyanyua mdomo fimbo aliyochapwa nayo naona kaanza kwenda kwa hekima na busara maana amesahau Taiwan na Hongkong ni fimbo rahisi ya kumchapia..
Lakini demokrasia zetu hizi sijui nikueleze vipi, yani hata tume kumtangaza mtu kwa shinikizo la kisiasa na uoga kupoteza vyeo vyao kwasababu wanao wateua ndio hutakiwa kuwatangaza, na watawala kutumia majeshi ya ulinzi kana zana zao binafsi za kujitwalia maharaja, wakitumia majeshi kutesa au kupoteza wapinzani wao sisi huku tunaita hiyo nayo demokrasia.
Demokrasia ni swala la kipropaganda. Maswala halisi ya nchi sio propaganda. Demokrasia ni mchezo wa danganya toto. Ililetwa kutufunika macho ili ipatikane gap ya kupangiwa viongozi. Mataifa makini huandaa na kupanga vongozi wao kwa ndani kabisa. Kinachosemwa mkuu sicho kinachotokea au kufanyika katika hali halisi.
Nchi gani Ulaya kuna demokrasia tunayohubiriwa Africa? UK, Belgium, Netherlands, Luxembourg na Spain ni Falme hizo. Ujerumani hakuna term limits kwa Chancellor wala kwa Rais, Naongelea Ulaya Magharibi wa sababu ndio wadau wakubwa na wahubiri wa haya mamabo.Mbona demokrasia ulaya imefanya matokeo Mazuri
Unadhani walibya walifikiria kuwa matokeo yatakuwa hivi ilivyo sasa ila wakaona bora iwe hivyo kuliko utawala wa Gadaffi? Maana kinachoendelea sasa Libya kila mtu anakiona na ndiyo maana kinazungumziwa ila sijajua kama walibya wanaona ni bora hali ya sasa kuliko Gadaffi.Ndio,
Achana na mawazo hayo....Zama ni hizi hizi,, tena ni Zama mbaya.....usituletee balaaaaa....piga vita..Vita ya Tatu ya Dunia... Kinyago cha Chifu Burigi Chato ni laana.Mnisaidie tafakuri hii, zama hizi hawa CIA, wanashindwa wapi, vipi na kwanini wamekuwa tofauti na huko miaka ya nyuma, tulisoma jinsi walivyokuwa wakiondoa makandokando nchi zetu hizi, juzi juzi walifanikiwa Iraq, na hata Libya, lakini Syria wanaelekea kukwama, huku kusini mwa jangwa la sahara ni kama hawajishughulishi kabisa, au hivi vilio vyetu havisikiki au havijawafikia au vimepuuzwa.
Kwanini wasifundishe vijana wa nchi hizi mbinu za kutekeleza hazima hizo wenyewe bila wao kushiriki ikiwa hawataki kuhusika au kuhusishwa.
Nchi zetu hizi sio priority zao, kwanini wamekuwa wakikosoa bila kutoa solution, binafsi ningependa hata watoe mafunzo yale kwa wazawa kuliko kuangalia mambo kwa mbali bila kusaidia kutatua.
Waliua madikteta nini kimewasibu, hadi kutokutekeleza haya tena?!
Huyo haijui CIA naona anajisemea tu. CIA ndio ilikuwa inakumbatia madikiteta Africa hii. Anamfahamu Mobutu? Anamfahamu Bokasa? Anamfahamu Amin? Anamfahamu Savimbi (japo hakuwa Rais lakini alitumika kumwaga damu).CIA gani hao waliweka viongozi wa kidemokrasia?? Hivi unajua raisi wa USA aliwahi kuomba msamaha kwa kilichotokea kwa Guetamala? Sina hakika kama unaijua Guetamala
2016 Obama aliomba radhi kwa walichokifanya Libya, na wanajutia kwa uamuzi ule wa kumuondoa Gadaffi
Karibu