Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Siyo kweli kuna baadhi wamewashindwa CIA inamuondoa pale kukiwa na hujuma ndani ya utawala wa wanayemuhitaji. Wapo wengi wamewashindwa na juzijuzi walimshindwa Maduro wa Venezuela pamoja na propaganda zaoAbdul Fattah el Sisi CIA Project,
Ufalme wa Saudia CIA Project.
CIA wanamuondoa yeyote anayekwamisha maslahi yao bila kujali ni mwanademokrasia au dikteta